Boeing787-8
JF-Expert Member
- Aug 16, 2018
- 1,155
- 1,209
4.5 ya UDSM au ya Tofila KisanjuKwa hiyo sisi wenye GPA 4.5 tuanze kufua nguo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
4.5 ya UDSM au ya Tofila KisanjuKwa hiyo sisi wenye GPA 4.5 tuanze kufua nguo
Udsm4.5 ya UDSM au ya Tofila Kisanju
😁😁😁😁😁Mtu anamakarai ya kutosha alafu ndio mwalimu, wafanye hivyohivyo waanze na vipanga kwanza
Fua begiDuuu kwaiyo wazee wa jentomani GPA itakuja?
Wewe una A zote sio?Mtu anamakarai ya kutosha alafu ndio mwalimu, wafanye hivyohivyo waanze na vipanga kwanza
🤣🤣🤣🤣 Weeeh mie nina GPA nzuri tu. Ila pia nipo kazini 20+ years. Hapo umeona kuna malalamiko au swali?Mbna unalalamika sana bwasheikh vipi upo kwenye ×<3.0 nini?
Shikamoo bibi🤣🤣🤣🤣 Weeeh mie nina GPA nzuri tu. Ila pia nipo kazini 20+ years. Hapo umeona kuna malalamiko au swali?
Marahabaa mjukuu.Shikamoo bibi
Umemaliza Kwa swali ya kipima joto la itv ama? Nenda Uliza vyuo vikuu kwanini hawakuwahi badili kigezo Cha GPA kuajiri wakufunzi.Hello wakuu,
Kuna tetesi nimezipata kuwa Utumishi ,hawatawafanyisha usahili walimu, badala yake wame wamechagua selection criteria, nazo ni mwenye GPA kubwa atapata ajira.
Na tetesi zinasema kuwa below 3.0, unaweza husi
chaguliwe.
Je yanaukweli hayo? Na ni kweli mwenye GPA ya 4.0 anaweza kuwa mwalimu mzuri kuliko mwenyewe GPA ya 2.0?
Karibu
Katibu
Si ndio maana hata wanao maliza chuo bado ni vilaza kumbe tatizo limeanzi hapaIla hata vyuomi Ili uwe Tutorial lecturer lazima uwe na GPA ya 3.8+
Nina 3.9 ya Mzumbe MorogoroWewe una A zote sio?
Bila picha huu ni uongoNina 3.9 ya Mzumbe Morogoro
😁😁😁😁Bila picha huu ni uongo
GPA sio kigezo kizuriiUmemaliza Kwa swali ya kipima joto la itv ama? Nenda Uliza vyuo vikuu kwanini hawakuwahi badili kigezo Cha GPA kuajiri wakufunzi.
Miaka mitatu kozi msururu upate 2.0 it gives pipo hard times when comes to trustworthy.
Lakn tujiulize kama walikuwa wame shortlist. Wakiwaweka Tena Kwenye hiyo watapata Idadi inayotakiwa na wale wabunge wengi waliosimama wakidai Idadi ndogo ya walimu majimboni na wakajibiwa Kila Mmoja jibu Moja kuwa kibali kimeshatoka.
Wanangu wa NAH wataelewaBila picha huu ni uongo
NAH ndo niniWanangu wa NAH wataelewa