Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magufuli hajawai ajiri based on GPAItakuwa vema sana mbona Magufuli alifanya hivyo hivyo!
Labda kama unataka mabishano lakini mimi binafsi nimekumbana na hilo siyo kwamba nasema kwa kuhadithiwaMagufuli hajawai ajiri based on GPA
May beLabda kama unataka mabishano lakini mimi binafsi nimekumbana na hilo siyo kwamba nasema kwa kuhadithiwa
Ngoja tuone,ila Vyuo vingine vinalegeza kwenye GPAUmemaliza Kwa swali ya kipima joto la itv ama? Nenda Uliza vyuo vikuu kwanini hawakuwahi badili kigezo Cha GPA kuajiri wakufunzi.
Miaka mitatu kozi msururu upate 2.0 it gives pipo hard times when comes to trustworthy.
Lakn tujiulize kama walikuwa wame shortlist. Wakiwaweka Tena Kwenye hiyo watapata Idadi inayotakiwa na wale wabunge wengi waliosimama wakidai Idadi ndogo ya walimu majimboni na wakajibiwa Kila Mmoja jibu Moja kuwa kibali kimeshatoka.
Ngoja tuone,ila Vyuo vingine vinalegeza kwenye GPA
Ngoja tuone,ila Vyuo vingine vinalegeza kwenye GPA
Ngoja tuone,ila Vyuo vingine vinalegeza kwenye GPA
Ngoja tuone,ila Vyuo vingine vinalegeza kwenye GPA
Ngoja tuone,ila Vyuo vingine vinalegeza kwenye GPA
Ngoja tuone,ila Vyuo vingine vinalegeza kwenye GPA
Wamemiss interviewwalimu mbona hamjiamini acheni utoto bana
sioni shida kufanyiwa interview mbona shule za binafsi walimu wanafanyishwa mitiani kuwapima kila mara ndani ya kipindi cha mwaka na wanafuatiliwa kikamilifu...walimu wapimwe tena kila mara na wachujwe tusifanye mchezo na elimu kwani hakuna mbadala wakeWamemiss interview
Ukitaka ukorofishane na Walimu wambie habari za usaili.sioni shida kufanyiwa interview mbona shule za binafsi walimu wanafanyishwa mitiani kuwapima kila mara ndani ya kipindi cha mwaka na wanafuatiliwa kikamilifu...walimu wapimwe tena kila mara na wachujwe tusifanye mchezo na elimu kwani hakuna mbadala wake
ogopa sana inafika mahali mwalimu anakosea hata kuandaa practicalUkitaka ukorofishane na Walimu wambie habari za usaili.
😁😁😁ogopa sana inafika mahali mwalimu anakosea hata kuandaa practical
Chuo alikuwa anacheza huku akitegemea ajira.Mbna unalalamika sana bwasheikh vipi upo kwenye ×<3.0 nini?
Noma sana wanakuambia vyuo vya private GPA zao ni rahisi kuzipataWengi husema GPA kubwa sio uwezo wa kazi. OK. Je, kuwa na GPA ndogo ndio ishara ya uwezo mkubwa wa kazi? Jibu ni HAPANA kubwa. Watu wakifanana vigezo vingine ni salama zaidi kumchukua mwenye GPA kubwa.
GPA kubwa inamaanisha kuwa huyo mwanafunzi alikuwa na jitihada sana chuoni. Na pia inamaanisha kuwa ana uwezo mkubwa wa akili na kuelewa haraka kuliko mwenye GPA ndogo. Hivyo ukimuajiri atakuwa na jitihada pia kazini na atafundishika kirahisi vitu ambavyo havijui au hana uzoefu navyo.
Waajiri wanaangalia GPA. Nawapongeza sana. Sasa wewe baki kusema GPA kubwa sio uwezo wa kazi.
😂😂😂😂😂Ukitaka ukorofishane na Walimu wambie habari za usaili.
Umemiss PDF??Hivi majibu rasmi ya ajira za ualimu watazitoa lini