Waanzie 2.7 ya masters is chini ya hapo kwisha habari yaoHello wakuu,
Kuna tetesi nimezipata kuwa Utumishi ,hawatawafanyisha usahili walimu, badala yake wame wamechagua selection criteria, nazo ni mwenye GPA kubwa atapata ajira.
Na tetesi zinasema kuwa below 3.0, unaweza husi chaguliwe.
Je, yanaukweli hayo? Na ni kweli mwenye GPA ya 4.0 anaweza kuwa mwalimu mzuri kuliko mwenyewe GPA ya 2.0?
Karibu
Ata 4.0 wenye nazo ni ma elfuWaanzie 2.7 ya masters is chini ya hapo kwisha habari yao
Kk hii ni kianzio kusoma masters usipokuwa na hiyo. Masters utaisikia tu kutoka vyuo vikuu kama UDSM, UDOM,MZUMBE SUA NA VYUO VINGINE VIKUUAta 4.0 wenye nazo ni ma elfu
Kama wenyewe wanataka kuanzia3.0 ni sawaaKk hii ni kianzio kusoma masters usipokuwa na hiyo. Masters utaisikia tu kutoka vyuo vikuu kama UDSM, UDOM,MZUMBE SUA NA VYUO VINGINE VIKUU
Ni unyanyasaji huo mkuuKama wenyewe wanataka kuanzia3.0 ni sawaa
Mbona wanangu wa udom na vyuo vikuu weng wataachwa maana GPA zao ni ndogo mno tofauti na vyuo vya private ma GPA makubwa makubwaKama wenyewe wanataka kuanzia3.0 ni sawaa
yukoMbona wanangu wa udom na vyuo vikuu weng wataachwa maana GPA zao ni ndogo mno tofauti na vyuo vya private ma GPA makubwa makubwa
Una roho mbaya sana wewe itakua.Kweli kabisa! Watupangie kwa GPA, kuna watu wakikuwa wanazurura tu koridoni badala ya kusoma ππππ
KWAN ULIKATAZWA KUSOMA PRIVATE? WA PRIVATE BILA COURSE WORK YA 20 UFANYI UE, JE NYINYI UKO KWA SERIKALI VP? WA PRIVATE ANAKUA NA INTERACTION KUBWA NA LECTURERS WAKE MAANA MUDA MWNG WAPO AVAILABLE OFISN NA NDO SABABU KUBWA YA KUFAULU KWA WANAFUNZI, JE UKO SERIKALINI VP MALECTURERS UNAWAPATA MUDA WOTE UKIWA NA CHANGAMOTO? WA PRIVATE KERO ZAO ZNASIKILIZWA MAPEMA MNO NA UONGOZI HASA PALE LECTURERS WAKITAKA KUJFANYA MIUNGU WATU NA HUKU PIA MTEJA MFALME, JE HUKO SERIKALINI ZPI? BASI JUA KUNAFACTORS NYNG NJE YA MNAZOKARIRISHWA KWAMBA PRIVATE WANALEGEZEWA NDO MAANA WANA MAGPA MAKUBWA, WALE WALOSOMA PRIVATE WATAONGEZEA NYINGNE NYNY KOMAENI NA UDSM UDOM NA SUA HUKU MKIONDOKA NA GPA ZA 2.0 KWA ISHU AMBAZO NI NON ACADEMIC KABSA. MWISHO UWEZ FANANISHA TBC NA AZAMTV AU DSTVMbona wanangu wa udom na vyuo vikuu weng wataachwa maana GPA zao ni ndogo mno tofauti na vyuo vya private ma GPA makubwa makubwa