Tambara Bovu
JF-Expert Member
- Dec 19, 2007
- 585
- 141
- Thread starter
- #81
jamani babuu hata mvuto uwepo ati! unadhani ufupi tu unatosha?pia nimemaanisha wafupi sio mbilikimo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mwe mwe mweeeeeeeeeee dont dare.......!!!!!!!
wanaume WENGI LAKIN SI WOTE wafup wana tabia izi:
--wana gubu...kitu kdg atakikuza icho mpk utashangaa
--hawajiamin na ikiwa umempta urefu ndo kabisa anahisi km unamdharau..unamwona mtoto ..unamchukulia poa
--wagomvi ..wanapenda bfu ao usipime..i inatokana na kudhani haeshimiwi sasa katika kuonyesha uanaume wake ndo apo sasa makonz nje nje
--hawana comprmise..MIMI NDO KICHWA CHA NYUMBA ..mimi mwanaume nshasema..i inatokana na infrty cmplx
KUHUSU MFYAGIO mmh sijui manake minajuana ile kitu ina ratio na mwili wa mdau mtu mrefu likell akawa na...mtu mfupi atakuwa na....mtu mnene+ktambi kikubwa+mfupi likelya takuwa na .....
Okay okay we ukiwa tayari uni :A S 100: then nipite hapo ni :car: twende tuka do the nidfull :tea:weekend ndo ishaanza ivyoo....:bump:
true madamu.
bt ebu chek
mtu mrefu ana kitaaaaaaamb ichoo vs mtu mfuuuuuuuuuuup ktamb ichoooo..
ilekitu itashrink sana kwa mfup yap kwa mrefu itadidimia pia lakn si kiivo..
mdwaf kitamb mbele apana aseee...ahh afu kwa kukoroma aooooooo weeeee hawafai NASKIA KWA JIRAN YANGU JINS JAMAA ANAVYOKOROMA UKIMCHEK ASUBUI UYO MTU MFUP KM KIKOMBE CHA KAHAWA TUMBO KULEEEEEEEEEEE KUSEMA KAKIMBIA LEBA..ahh stak mie..
GY kwani we ni mfupi au mrefu?
mwe mwe mweeeeeeeeeee dont dare.......!!!!!!!
wanaume WENGI LAKIN SI WOTE wafup wana tabia izi:
--wana gubu...kitu kdg atakikuza icho mpk utashangaa
--hawajiamin na ikiwa umempta urefu ndo kabisa anahisi km unamdharau..unamwona mtoto ..unamchukulia poa
--wagomvi ..wanapenda bfu ao usipime..i inatokana na kudhani haeshimiwi sasa katika kuonyesha uanaume wake ndo apo sasa makonz nje nje
--hawana comprmise..MIMI NDO KICHWA CHA NYUMBA ..mimi mwanaume nshasema..i inatokana na infrty cmplx
KUHUSU MFYAGIO mmh sijui manake minajuana ile kitu ina ratio na mwili wa mdau mtu mrefu likell akawa na...mtu mfupi atakuwa na....mtu mnene+ktambi kikubwa+mfupi likelya takuwa na .....
Gy acha kujifanya ujui.si uniambie tu ili nijue nami ntafute mfupi wangu...!we jipime kama mfupi niambie shughuli yako,kama u mrefu utakuwa unajielewa.
hahahahahahahahahahah!mwe mwe mweeeeeeeeeee dont dare.......!!!!!!!
wanaume WENGI LAKIN SI WOTE wafup wana tabia izi:
--wana gubu...kitu kdg atakikuza icho mpk utashangaa
--hawajiamin na ikiwa umempta urefu ndo kabisa anahisi km unamdharau..unamwona mtoto ..unamchukulia poa
--wagomvi ..wanapenda bfu ao usipime..i inatokana na kudhani haeshimiwi sasa katika kuonyesha uanaume wake ndo apo sasa makonz nje nje
--hawana comprmise..MIMI NDO KICHWA CHA NYUMBA ..mimi mwanaume nshasema..i inatokana na infrty cmplx
KUHUSU MFYAGIO mmh sijui manake minajuana ile kitu ina ratio na mwili wa mdau mtu mrefu likell akawa na...mtu mfupi atakuwa na....mtu mnene+ktambi kikubwa+mfupi likelya takuwa na .....
Hiii ngumu banaaaa:A S crown-1::A S crown-1:hahahahahahahahahahah!
LEEEGREEEEEENNND MAAAAAA SHAAPSHAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA!
Hayo mambo hayana mrefu au mfupi ni suala la ubunifu na utundu wa mhusika kwani hata kama utakuwa na " mpini" mpaka umevalishwa ringi ya kuzuia kuwa usizidishe kipimo unapoingia bado unaweza usimfurahishe mpenzi wako wakati kuna mtu ana kampini ka kawaida kabisa lakini gwaride analotoa mwanamke akitoka hapo anatafuta na maji baridi ya kunywa......
hahahahahahahahahahahah!Nimekumbuka nilivyokuwa naikariri Archmedes Principle:
"When ze bode is totale oo pashiele imesdi in fluidi, ze apthast is dairektly proportional to ze amaunt of ze fluidi displesd"
Wakati huo nlikuwa fom too foo shule ya sekandari Moshi Tekniko, sijawahi kuuona mwili wa mwanamke ambao haujavaa nguo na umelala kitandani tayari kupima saizi ya bamia za watu wafupi na warefu....... ngoja nirudi kwenye matiti kule.