Je ni kweli kuwa wanaume wafupi wanayajua mahaba....?

Je ni kweli kuwa wanaume wafupi wanayajua mahaba....?

jamani babuu hata mvuto uwepo ati! unadhani ufupi tu unatosha?pia nimemaanisha wafupi sio mbilikimo
 
mwe mwe mweeeeeeeeeee dont dare.......!!!!!!!
wanaume WENGI LAKIN SI WOTE wafup wana tabia izi:
--wana gubu...kitu kdg atakikuza icho mpk utashangaa
--hawajiamin na ikiwa umempta urefu ndo kabisa anahisi km unamdharau..unamwona mtoto ..unamchukulia poa
--wagomvi ..wanapenda bfu ao usipime..i inatokana na kudhani haeshimiwi sasa katika kuonyesha uanaume wake ndo apo sasa makonz nje nje
--hawana comprmise..MIMI NDO KICHWA CHA NYUMBA ..mimi mwanaume nshasema..i inatokana na infrty cmplx
KUHUSU MFYAGIO mmh sijui manake minajuana ile kitu ina ratio na mwili wa mdau mtu mrefu likell akawa na...mtu mfupi atakuwa na....mtu mnene+ktambi kikubwa+mfupi likelya takuwa na .....

hizi tabia mbona nilizikia kuwa wanazo w.wake wafupi
 
Ni thithi baba thao,pamoja na mamathao tuliohapa! thithi ndio tunaowathaa wote mnaowaona huko,twataka muelewe ya kwamba thithi ni watu wathima thatha,ufupi thio hoja,kwani hata huko kwenu wapo wafuupi.
 
Okay okay we ukiwa tayari uni :A S 100: then nipite hapo ni :car: twende tuka do the nidfull :tea:weekend ndo ishaanza ivyoo....:bump:

Poa kaa mkao,soon nita...........
 
true madamu.
bt ebu chek
mtu mrefu ana kitaaaaaaamb ichoo vs mtu mfuuuuuuuuuuup ktamb ichoooo..
ilekitu itashrink sana kwa mfup yap kwa mrefu itadidimia pia lakn si kiivo..
mdwaf kitamb mbele apana aseee...ahh afu kwa kukoroma aooooooo weeeee hawafai NASKIA KWA JIRAN YANGU JINS JAMAA ANAVYOKOROMA UKIMCHEK ASUBUI UYO MTU MFUP KM KIKOMBE CHA KAHAWA TUMBO KULEEEEEEEEEEE KUSEMA KAKIMBIA LEBA..ahh stak mie..

I guess this is an assault to short men
 
Ufupi ni nini? Nijuavyo mimi mtu anakuwa mfupi relative na fulani. Christiano Ronaldo ni mfupi kwa Yao Ming!!! Sasa mnaongelea ufupi upi? Au mtu mwenye 2SD (standard deviation) from normal population au wa watu wawili wanaofananishwa? Wewe ukiwa na sm 150 na partner wako ana sm 156.00009, basi wewe ni mfupi, na yeye ni mrefu. Ndio waongelea ufupi huo au ule ufupi wa kuvunja Record za Guiness!!!!
 
Karibu saaana, mimi ni mfupi ukilinganisha na mwingine ila najiona mrefu nikilinganisha nanihii, sasa karibu sana, nakubaliana na wazo lako ze festi ze ledi kwani huyu mke mwenzio hapa haishi kuniganda na kila siku kila saa ananisumbua, nimepokea sms asa ivi anasema nikamchukue kazini nimrudishe home anaumwa, lakini naelewa anachomaanisha, sasa jamani mmh kama ndo faida za ufupi mie nshachoka!!!
 
Hajarishi mfupi au mrefu, kazi kazi tu unakuwa mrefu na kazia unaiweza na unakuwa mfupi na kazi huiwezi.Inatgemea mtu na mtu bwana
 
Gy acha kujifanya ujui.si uniambie tu ili nijue nami ntafute mfupi wangu...!we jipime kama mfupi niambie shughuli yako,kama u mrefu utakuwa unajielewa.
 
hahaha ....Elli unavituko.usijipime kwa mtu mmoja ati..........!
 
mwe mwe mweeeeeeeeeee dont dare.......!!!!!!!
wanaume WENGI LAKIN SI WOTE wafup wana tabia izi:
--wana gubu...kitu kdg atakikuza icho mpk utashangaa
--hawajiamin na ikiwa umempta urefu ndo kabisa anahisi km unamdharau..unamwona mtoto ..unamchukulia poa
--wagomvi ..wanapenda bfu ao usipime..i inatokana na kudhani haeshimiwi sasa katika kuonyesha uanaume wake ndo apo sasa makonz nje nje
--hawana comprmise..MIMI NDO KICHWA CHA NYUMBA ..mimi mwanaume nshasema..i inatokana na infrty cmplx
KUHUSU MFYAGIO mmh sijui manake minajuana ile kitu ina ratio na mwili wa mdau mtu mrefu likell akawa na...mtu mfupi atakuwa na....mtu mnene+ktambi kikubwa+mfupi likelya takuwa na .....

ULIVYOANZA KUCHANGIA NIKAFIKIRI UNAUZOEFU NAO, KUMBE UMEOKOTA TU STORI ZA MTAANI, MAANA KAMA HUJUI SAIZI YA MFAGIO INA MAANA HUJAWAHI KUPATA MWANAUME SHOTII WAACHIE WANAOJUA WATUJUZE BWANA :hippie:
 
Gy acha kujifanya ujui.si uniambie tu ili nijue nami ntafute mfupi wangu...!we jipime kama mfupi niambie shughuli yako,kama u mrefu utakuwa unajielewa.

We mama yake babu wewe
 
Hayo mambo hayana mrefu au mfupi ni suala la ubunifu na utundu wa mhusika kwani hata kama utakuwa na " mpini" mpaka umevalishwa ringi ya kuzuia kuwa usizidishe kipimo unapoingia bado unaweza usimfurahishe mpenzi wako wakati kuna mtu ana kampini ka kawaida kabisa lakini gwaride analotoa mwanamke akitoka hapo anatafuta na maji baridi ya kunywa......
 
mwe mwe mweeeeeeeeeee dont dare.......!!!!!!!
wanaume WENGI LAKIN SI WOTE wafup wana tabia izi:
--wana gubu...kitu kdg atakikuza icho mpk utashangaa
--hawajiamin na ikiwa umempta urefu ndo kabisa anahisi km unamdharau..unamwona mtoto ..unamchukulia poa
--wagomvi ..wanapenda bfu ao usipime..i inatokana na kudhani haeshimiwi sasa katika kuonyesha uanaume wake ndo apo sasa makonz nje nje
--hawana comprmise..MIMI NDO KICHWA CHA NYUMBA ..mimi mwanaume nshasema..i inatokana na infrty cmplx
KUHUSU MFYAGIO mmh sijui manake minajuana ile kitu ina ratio na mwili wa mdau mtu mrefu likell akawa na...mtu mfupi atakuwa na....mtu mnene+ktambi kikubwa+mfupi likelya takuwa na .....
hahahahahahahahahahah!
LEEEGREEEEEENNND MAAAAAA SHAAPSHAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA!
 
Hayo mambo hayana mrefu au mfupi ni suala la ubunifu na utundu wa mhusika kwani hata kama utakuwa na " mpini" mpaka umevalishwa ringi ya kuzuia kuwa usizidishe kipimo unapoingia bado unaweza usimfurahishe mpenzi wako wakati kuna mtu ana kampini ka kawaida kabisa lakini gwaride analotoa mwanamke akitoka hapo anatafuta na maji baridi ya kunywa......

Inawezekana saizi isiwe kitu lakini saizi ya kidole inataka bikira ati ndo radha isikike,lakini hivihivi ni soo............hizi saizi ndogo wanazo wenye vitambi,wamevifuga mpaka vinakula nyama za muhimu
 
Nimekumbuka nilivyokuwa naikariri Archmedes Principle:

"When ze bode is totale oo pashiele imesdi in fluidi, ze apthast is dairektly proportional to ze amaunt of ze fluidi displesd"

Wakati huo nlikuwa fom too foo shule ya sekandari Moshi Tekniko, sijawahi kuuona mwili wa mwanamke ambao haujavaa nguo na umelala kitandani tayari kupima saizi ya bamia za watu wafupi na warefu....... ngoja nirudi kwenye matiti kule.
hahahahahahahahahahahah!
SHIBOBOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO
 
Back
Top Bottom