Je, ni kweli kuwa Wayahudi walikuwa weusi?

Je, ni kweli kuwa Wayahudi walikuwa weusi?

Wewe nae zitto sijui umelewa maharage ya wapi.kwanza ujue kuwa hakuna Race ya Waarabu (Cauccasians) katika mashariki ya kati isipokuwa Dark brown skin ambao mnawaita Black Africans.ndiyo wenye asili ya pale, hayo majitu meupe unayoyaona hapo ni Greeks tupu na wametokana na Neandethal Genes pool,ambayo nayo yalipukutika sana karne ya nyuma kutokana na miingiliano ya makabila ya wawindaji huko Giblatar peninsula ndo wa mwisho kufa walipatikana hapo.sasa basi tukija kwa hawa Hellenistic yaani wazungu ma greek wao walipata nguvu ya kukalia maeneo hayo, kuzaliana na kutawala kwa miaka kadhaa pia kutapakaaa tangu enzi za Hellenisation military rule 130 BC.Dola la Warumi baadaye sana likaja nalo hapo ujue weupe wanaongezeka kwa idadi na mojawapo ya Amri kubwa ilokuwa ikitilewa na watawala wale ni kuoana tu kama alivo fanya Karume kule Zanzibar.

Na Mnamo Takribani vita ya karne ya saba AD(Crusade),Weusi walifurushwa kutoka Mesopotamia ya wakati huo na wengi wakakimbilia Kusini mwa jangwa laSahara mahali ambapo palikuwa salama zaidi kwao.na wakati huo Misri ilikuwa ni Taifa lenye neema kubwa kama unavoona Marekani ya leo. kwa maana hiyo weupe hawa ambao mnawaita waarabu walipatamani sana kutawala paleivo ikapelekea vita kubwa ya karne ya saba na kusababisha mateka wengi sana, na wakimbizi wengi walikwepa Strong empire za wakati huo kama;Cush empire za sudan ya sasa, na Ethiopia ya wakti huo kwani huko nako walikamatwa na kupelekwa utumwani tu.hivo basi kupitia pwani ya Yemen ya leo baadhi walipanda majahazi pale mpaka pwani ya Afrika mashariki wakaingilia Mlima kilimanjaro kutokea mashariki ya Bahari hindi na wengine wakitokea ziwa victoria kwa maana kuwa walifuata mto Nile.na wengine nao wakazidi kwenda Kusini zaidi baadhi yao Km Wazulu,waxhosa nk.nabii amos alisema kitambo kabla. hivi
amos 9;7 beyond the livers of cush my doughter will bring suppliants.na alisema hayo wakati akiwa Mashariki ya kati,yaani israel ya leo.kwa hiyo hakuna kabila la Waarabu weupe.bali greecs'
 
Kwa Kutumia Bibilia. Sipingi kuwepo kwa Wayahudi Weusi ila sioni kama wote walikuwa weusi.

Ile nchi hakuahidiwa kila mtu bali Watoto wa Ibrahimu Uzao wa Isaka, Aliyemzaa Yakobo. Ibra na Sara wote walitokea huko Ur hivyo ni kabila Moja. Isaka alipotaka Kuoa alirudishwa kwa Ndugu zake, Yakobo Pia. Hivyo michanganyiko ilianza hapo Baada ya watoto wq Yakobo.
Kama Ibrahimu alitokea Huko karibu na Iran na Iraq. Atakuwa alikuwa kama mwarabu flani au muajemi.
Kama Mke wa Ketura alikuwa Mmisri alikuwa ni Mweusi na Ibrahimu alizaa watoto weusi.
Musa Alimuoa Sipora ambaye Bibilia inasema alikuwa Mweusi, Hivyo Watoto wa Israel baadhi lazima wawe weusi.
Suleiman alioa wake 1000, miongoni mwao kwa mujibu wa masimulizi aliozwa watoto wa malkia wa Sheba, Hivyo lazima mbegu nyeusi iwepo.
Kwa Sababu Pia walienda utumwani Misri, Yusufu akapewa mke wa kimisri kuna uwezekano wa watu weusi kuzaliwa.

Kuna uwezekano kukawa na waisrael wa karibu race zote maana wamejichanganya tangu miaka ya zamani.
Mfano, Boazi alioa Ruth Mmoabu. watoto lazima wawe chotara.
Irani waliishi utumwani wayahudi.
Ulaya walisambaa kila kona enzi za uvamizi wa 70AD.
India Pia walifika.
Ethiopia Pia.
Kingine Pale ilipokuwa ni Highway ya Dunia. Carravan za watu wa kila taifa zilipita. Hivyo intermarriage waliokatwazwa nyingi zilifanyika.
Sishangai hata akitokea mchina akasema asili yake ni Uyahudi.


maoni
sulemani mwenyewe ni mweusii ukitaka kujua soma wimbo uliobora nimesahau mstari haya mambo watu hawapendi kuongelea kwa sababu ya iwongo mwingi walipmezeshwa hats yesu no mweusi kama MNA taka ushahidi upon sio tunajikweza no ikweli
 
1. Mkuu mbona Esau alizaliwa akiwa mwekundu kama albino hivi tofauti na yakobo na ndugu zake ila Isaka alimkubali jinsi alivyo na hakumkimbia ndio sembuse Yesu kuwa mweusi?? Assuming Yosefu au Mary wasn't black.... As long as Biblia imesema alizaliwa kwa uweza wa Roho mtakatifu na sio mbegu ya Yosefu kimaandiko we can conclude hakuna relationship yeyote kati ya rangi yeyote ya wazazi wake na rangi ya Yesu irrespective alitoka na rangi gani hili ndio nililotaka niliweke sawa

2. Kuhusu daniel na isaya zinaongelea ujio wa kwanza wa Yesu na wao walisema wamemuona Yesu akiwa na taswira hiyo ya Ebony jesus na pia ufunuo ambao unaongelea kurudi kwa pili kwa Yesu naye akarudia hyo statement ya kutokewa na black jesus ndio maana black supremacist wakachukua hyo hoja ya kusema Yesu ni mweusi ila inaonekana ni kama umeisikia kwa mara ya kwanza kwenye huu uzi hadi ukacheka though unajitutumua unafahamu ufunuo!!

Anyway hili la rangi ndio lilianzia hapa otherwise next time ukija kwenye mada njoo na hoja sio matusi na kejeli hilo ndio la muhimu haya mengine mbwembwe tu.

Nikutakie usiku mwema mkuu.
lazima alifanana na rangi mojawapo kati ya ranging zilizpo duniani na rangi no ya kiafrica
 
Wewe nae zitto sijui umelewa maharage ya wapi.kwanza ujue kuwa hakuna Race ya Waarabu (Cauccasians) katika mashariki ya kati isipokuwa Dark brown skin ambao mnawaita Black Africans.ndiyo wenye asili ya pale, hayo majitu meupe unayoyaona hapo ni Greeks tupu na wametokana na Neandethal Genes pool,ambayo nayo yalipukutika sana karne ya nyuma kutokana na miingiliano ya makabila ya wawindaji huko Giblatar peninsula ndo wa mwisho kufa walipatikana hapo.sasa basi tukija kwa hawa Hellenistic yaani wazungu ma greek wao walipata nguvu ya kukalia maeneo hayo, kuzaliana na kutawala kwa miaka kadhaa pia kutapakaaa tangu enzi za Hellenisation military rule 130 BC.Dola la Warumi baadaye sana likaja nalo hapo ujue weupe wanaongezeka kwa idadi na mojawapo ya Amri kubwa ilokuwa ikitilewa na watawala wale ni kuoana tu kama alivo fanya Karume kule Zanzibar.

Na Mnamo Takribani vita ya karne ya saba AD(Crusade),Weusi walifurushwa kutoka Mesopotamia ya wakati huo na wengi wakakimbilia Kusini mwa jangwa laSahara mahali ambapo palikuwa salama zaidi kwao.na wakati huo Misri ilikuwa ni Taifa lenye neema kubwa kama unavoona Marekani ya leo. kwa maana hiyo weupe hawa ambao mnawaita waarabu walipatamani sana kutawala paleivo ikapelekea vita kubwa ya karne ya saba na kusababisha mateka wengi sana, na wakimbizi wengi walikwepa Strong empire za wakati huo kama;Cush empire za sudan ya sasa, na Ethiopia ya wakti huo kwani huko nako walikamatwa na kupelekwa utumwani tu.hivo basi kupitia pwani ya Yemen ya leo baadhi walipanda majahazi pale mpaka pwani ya Afrika mashariki wakaingilia Mlima kilimanjaro kutokea mashariki ya Bahari hindi na wengine wakitokea ziwa victoria kwa maana kuwa walifuata mto Nile.na wengine nao wakazidi kwenda Kusini zaidi baadhi yao Km Wazulu,waxhosa nk.nabii amos alisema kitambo kabla. hivi
amos 9;7 beyond the livers of cush my doughter will bring suppliants.na alisema hayo wakati akiwa Mashariki ya kati,yaani israel ya leo.kwa hiyo hakuna kabila la Waarabu weupe.bali greecs'
kuongezea someni isaya 18 utamuelewa huyu bwana. kilimanjaro ni mlima wa siri kubwa na pengine Tanzania ni tata sana kwa kuwa imenenwa kwenye isaya 18 Mimi nauliza je kuna nchi gani duniani tofauti na sisi iliyoweka Bendera yake juu ya mlima
 
Ila kupata jibu sahihi la mtoa mada,yatupasa kutafuta majibu ya maswali yafuatayo.

1. Nini maana ya neno "Yahudi" yaani kwanini watu hao wameitwa Mayahudi ?


2. Je Uyahudi ni dini au uzao au kizazi au kabila ?

3. Wakina mayahudi na wapi walianzia mayahudi ?

4. Na wapi tutapata habari sahihi kuhusu uyahudi na mayahudi ?

Nipo ....!
Wakina mayahudi na wapi walianzia mayahudi ?

ila we jamaa wewe akili yako unaijua mwenyewe..[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]..
 
Wayahudi na Wapalestina ni watoto wa baba moja lakini mama tofauti. Baba yao ni mtu wa Ukaldayo ambako ndiyo Iraki ya sasa. Mtoto wa kwanza wa Abraham, Ishmael alikiwa na mama mwafrika aliyetokea nchi ya Misri au Kemet.

Sasa kuna ile nadharia ya kusema hawa Wayahudi wenye asili ya Ashkenazi siyo watoto wa Abrahamu bali ni wazungu wa Ulaya. Bila kusahau kwamba kuna Wayahudi wa kiserphadi ambao wao hawakuwahi kutoka nje ya Palestina.

Kuna msemo unaotumika na baadhi ya watu na kudai kwamba Raisi wa zamani wa Misri Gamal Abdi Nasser aliwahi kusema hivi kuhusu Wayahudi "You left here black but returned white, we cannot accept that" Sasa kama jamii hii ilikuwa ya watu weusi kwanini leo hii ndugu zao wapalestina wawe ni waarabu na hakuna watu weusi kabisa ndani ya jamii ile.

Tatizo ni nini hapa, naomba kueleweshwa ?
Nakumbuka nimewahi andika kwa kirefu kuhusu hawa wayahudi Fake inaweza kusoma thread hii hapa chini

 
Wakina mayahudi na wapi walianzia mayahudi ?

ila we jamaa wewe akili yako unaijua mwenyewe..[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]..
Maswali yako wazi hayo,kama hujaelewa ituhumu akili yako.
 
Maswali yako wazi hayo,kama hujaelewa ituhumu akili yako.
unajua maana ya kanusho?.
halafu kuwa na nidhamu ya kuuliza na nina kupa maneno ya ziada.
ama nikupe miaka 100 uthibitishe. . [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]..
sometimes nacheka sana ninapo kutana na komenti yako.
 
unajua maana ya kanusho?.
halafu kuwa na nidhamu ya kuuliza na nina kupa maneno ya ziada.
ama nikupe miaka 100 uthibitishe. . [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]..
sometimes nacheka sana ninapo kutana na komenti yako.
Najua vizuri sana maana ya tamko "Kanusha".

Kama navyocheka mimi sio ? Ungejibu maswali yangu ningekuona wa maana kidogo.

Nipo ....
 
Najua vizuri sana maana ya tamko "Kanusha".

Kama navyocheka mimi sio ? Ungejibu maswali yangu ningekuona wa maana kidogo.

Nipo ....
kwa hiyo na maneno ya ziada huyataki?.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] haya buaannaa magharibi imekaribia sheikh
 
unajua maana ya kanusho?.
halafu kuwa na nidhamu ya kuuliza na nina kupa maneno ya ziada.
ama nikupe miaka 100 uthibitishe. . [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]..
sometimes nacheka sana ninapo kutana na komenti yako.

[emoji16][emoji16][emoji16]
 
nadhan swali lingeanzia hapo hapo misri........ Je wa misri wa kale walikua weupe kama walivyo leo au walikua weusi?
Wayahudi na Wapalestina ni watoto wa baba moja lakini mama tofauti. Baba yao ni mtu wa Ukaldayo ambako ndiyo Iraki ya sasa. Mtoto wa kwanza wa Abraham, Ishmael alikiwa na mama mwafrika aliyetokea nchi ya Misri au Kemet.

Sasa kuna ile nadharia ya kusema hawa Wayahudi wenye asili ya Ashkenazi siyo watoto wa Abrahamu bali ni wazungu wa Ulaya. Bila kusahau kwamba kuna Wayahudi wa kiserphadi ambao wao hawakuwahi kutoka nje ya Palestina.

Kuna msemo unaotumika na baadhi ya watu na kudai kwamba Raisi wa zamani wa Misri Gamal Abdi Nasser aliwahi kusema hivi kuhusu Wayahudi "You left here black but returned white, we cannot accept that" Sasa kama jamii hii ilikuwa ya watu weusi kwanini leo hii ndugu zao wapalestina wawe ni waarabu na hakuna watu weusi kabisa ndani ya jamii ile.

Tatizo ni nini hapa, naomba kueleweshwa ?
 
ett.jpg
et.jpg
et.jpg

hawa ndo biblical isrelite halisi
 
Mimi na pita tu maana hawa waisrael wa enzi za natanyahu siwaelewi kabisa
Maandiko yanasema israel itakanyagwa na mataifa yakijiita wayahudi lakini ni masinagogi ya shetani
Na wana wa israel watarudi kwa meri kebu kipindi na muda utakapowajia,,,,, sasa?
Mbona hawa sahivi wanakuja na ndege..
 
Kweli na kubaliana na wewe
1. Mkuu mbona Esau alizaliwa akiwa mwekundu kama albino hivi tofauti na yakobo na ndugu zake ila Isaka alimkubali jinsi alivyo na hakumkimbia ndio sembuse Yesu kuwa mweusi?? Assuming Yosefu au Mary wasn't black.... As long as Biblia imesema alizaliwa kwa uweza wa Roho mtakatifu na sio mbegu ya Yosefu kimaandiko we can conclude hakuna relationship yeyote kati ya rangi yeyote ya wazazi wake na rangi ya Yesu irrespective alitoka na rangi gani hili ndio nililotaka niliweke sawa

2. Kuhusu daniel na isaya zinaongelea ujio wa kwanza wa Yesu na wao walisema wamemuona Yesu akiwa na taswira hiyo ya Ebony jesus na pia ufunuo ambao unaongelea kurudi kwa pili kwa Yesu naye akarudia hyo statement ya kutokewa na black jesus ndio maana black supremacist wakachukua hyo hoja ya kusema Yesu ni mweusi ila inaonekana ni kama umeisikia kwa mara ya kwanza kwenye huu uzi hadi ukacheka though unajitutumua unafahamu ufunuo!!

Anyway hili la rangi ndio lilianzia hapa otherwise next time ukija kwenye mada njoo na hoja sio matusi na kejeli hilo ndio la muhimu haya mengine mbwembwe tu.

Nikutakie usiku mwema mkuu.
Hahahahaha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1. Ham ni baba wa weusi lakini sio baba wa negroes au wabantu ambao wameshathibitika kisayansi kuwa ndio Waisrael halisi hasa wa kabila la Lawi (Walawi).
2. Wimbo Ulio Bora 1:5-6, Mfalme Sulemani anajitanabaisha kuwa mweusi. Kumbuka huyu ni Muisrael
3. Waarabu wa asili ni weusi...
4. Uyahudi ni kabila pia dini. Wa uzao wa Yuda. Waisrael ama Wayahudi wengi wa leo walianza kama dini lkn baadae wakasema wao ni wa damu; Ashkenazi Jews...Ukiiangalia Mwanzo 10:1-3 utagundua Ashkenazi ni kizazi cha Yafethi, mtoto wa mwisho wa Nuhu. Israel hatokani na Yafethi bali Shem. Lakini leo hao Wayafethi wa Ashkenazi ndio Waisrael kwa asilimia kubwa!
5. Yesu alikuwa mweusi na atarudi mweusi. Ukiusoma Ufunuo 1:14-15 unamtaja Yesu katika ujio wa pili; sifa ainishwa hapo ni sifa za mtu mweusi
6. Tukumbuke Yesu mweupe na Wayahudi weupe wameanza kuwa mashuhuri mwishoni mwa karne ya 16. Hapo nyuma masanamu yote ya kanisa yalikuwa ya watu weusi: kuanzia Yesu, Yosefu, Maria, Mitume wote n.k
7. Wajuvi watajazia



Namba 4 Hao ni masinagogi ya shetani
 
Back
Top Bottom