Mkuu acha kejeli anachokisema
Sky Eclat hajakitoa kichwani mwake kakitoa kwenye maandiko
Ufunuo 1
14 Kichwa chake na nywele zake zilikuwa nyeupe kama sufu nyeupe, kama theluji; na
macho yake kama mwali wa moto;
1
5 na miguu yake kama shaba iliyosuguliwa sana, kana kwamba imesafishwa katika tanuru; na s
auti yake kama sauti ya maji mengi.
Kwahiyo instead ya kumshambulia aliyetoa hoja ungeishambulia Biblia iliyotoa description hii ya ngozi ya Yesu kuwa ni nyeusi.
View attachment 962792
Kuhusu waisrael kuwa weusi nimeshaeleza huko juu kuwa yakobo alizaa na watumwa wawili watoto 4 ambao wanatheolojia wanaclaim walikuwa na roots za kutoka misri ya kale ya watu weusi sasa mpaka hapo ina maana makabila 4 yalikuwa ni MEUSI.... let alone mtu kama musa alioa mke mweusi na waisrael kibao hata mfalme suleiman alifanya hivyo sasa huoni kuwa hoja ya kuwepo kwa wayahudi weusi ina mashiko???
JF intelligence ilitakiwa hoja ipingwe kwa hoja sio unakuja na kejeli kwa wanawake umenishangaza sana!! wakati hata wewe unayekosoa huna unalofahamu ndio maana ulishindwa ng'amua kuwa yesu mwenye nywele nyeupe imeandikwa wapi !!
Alafu inaonekana hujui historia huna habari kuwa kuna waisrael weusi kabisa wanaishi ethiopia na zimbabwe wanatambuliwa kuwa na Genes sawa sawa na waisrael wa kale...... Mind you makabila 10 ya Israel yalipotea so hata wwe huna ushahidi kuwa walikuwa wazungu kama hawa wa sasa.... Na kma huko zimbabwe na ethiopia kuna WEUSI wanatambuliwa wana share ''damu'' na Israel ya enzi hizo wewe ni nani kupinga wakati hata certificate ya archaeology hauna?
Beta Israel - Wikipedia
Lemba people - Wikipedia
Ukiamua kupinga kitu JF njoo na hoja sio mipasho kama Facebook....