Je, ni kweli kuwa Wayahudi walikuwa weusi?

Je, ni kweli kuwa Wayahudi walikuwa weusi?

Mkuu hii topic ni sensitive kidogo maana kuna misinterpretation kibao mfano utakuta wanaosupport Israel wanaona waarab ni kama mashetani bila kufahamu mke wa yakobo yaani ISRAEL mwenyewe alioa muarabu kutoka Syria hivyo ikimaanisha Waisrael wote original wana damu ya waarabu pia!!!

Kingine Yakobo alizaa na Zilpah na Bilhah ambao walikuwa ni watumwa na walikombolewa na laban ambaye ndiye baba wa wake wawili wa yakobo yaani Rachel na Leah.

Hivyo hoja ya wayahudi kuwa weusi inapitia kwa Bilhah na zilpah ambao walikuwa ni watumwa weusi possibly wacush ama khemet ambao ndio walizaa watoto 4 wa yakobo yaani Gad,Dan,Asher,Naphtali hivyo hapa lazima kuna damu ya weusi kwenye race ya Israel.

Kuhusu Ismael naye alioa mwanamke kutoka Misri hivyo probability alikuwa mweusi ila kuhusu descendants kutokuwa wote weusi nafikiri ni intermarriage maana kama mtu mweusi umezungukwa na nchi za weupe probability ni kwamba utazaa na weupe hivyo with time asili yako inapotea sawa sawa tu wayahudi wanaoona waarabu kama maadui ila wanasahau mama yao alikuwa muarab pure!!

Anyway maadam makabila 10 yaliyopotea na hayo manne ya weusi basi huenda yako huku uzaramoni maybe!!
Lakini kule israel kuna waarabu na wanatambulika kama waisraeli na wao hao waarabu wanadai chimbuko lao walizaliwa pale pale hata makaburi ya wazee wao yapo hivi hii inakuwaje kwa upande wa waisraeli huko baadae haitakuja kuwaletea shida
 
mkuu unaweza kutoa vyanzo vya kihistoria vinavyokubaliana na haya ukiacha para ya mwisho.
maana naona kama ni maelezo kutoka kwenye vyanzo vya kiimani.

Aya ya kwanza chanzo chake:
Kulikuwa na haya matatizo ya ubaguzi hata kabla ya Biblia kuunganishwa.

Arabia - People
Aya ya pili chanzo chake:
Ashkenazi | people

Chanzo kikubwa kingine kinaitwa The Antiquities of the Jews by Flavuis Josephus.
Kitabu hiki nilimpa ndugu Zitto Junior nadhani anaweza akawa na nakala zake bado.
 
Aya ya kwanza chanzo chake:
Kulikuwa na haya matatizo ya ubaguzi hata kabla ya Biblia kuunganishwa.

Arabia - People
Aya ya pili chanzo chake:
Ashkenazi | people

Chanzo kikubwa kingine kinaitwa The Antiquities of the Jews by Flavuis Josephus.
Kitabu hiki nilimpa ndugu Zitto Junior nadhani anaweza akawa na nakala zake bado.
naona hata hiyo britannica inasema '' Tradition seemingly delivered from BIBLE''. Inaonekana Bibilia na historia ya wayahudi ni vigumu kuitenganisha sana inamchango pia kwenye mjadala huu.
Ila tuko pamoja mkuu. Ngoja tupate madini mbalimbali hapa kutoka kwa wananzuoni mbalimbali.
elimu haina mwisho.
 
naona hata hiyo britannica inasema '' Tradition seemingly delivered from BIBLE''.
Ila tuko pamoja mkuu. Ngoja tupate madini mbalimbali hapa kutoka kwa wananzuoni mbalimbali.
elimu haina mwisho.
Unamfahamu Flavius Josephus mkuu ??
Alikuwa ni myahudi na mwanahistoria wa Kaisari wa Roma.Huyu ndiye amendika historia ya Wayahudi tokea mwanzo hadi mwisho na kitabu chake hakihesabiwi kama cha kidini bali ni chanzo cha kihistoria.....


Amendika vitabu kumi kuhusu wayahudi "The Aniquities of the Jews" na ni moja kati ya vyanzo nje ya Biblia ambavyo vinatumiwa sana na wasomi wa thiolojia. Sasa ameandika lini ndiyo swali muhimu sana: Amendika hata kabla ya Biblia ya Agano jipya kuandikwa, na vyuo vya Agano la kale kuunganishwa.
 
Unamfahamu Flavius Josephus mkuu ??
Alikuwa ni myahudi na mwanahistoria wa Kaisari wa Roma.Huyu ndiye amendika historia ya Wayahudi tokea mwanzo hadi mwisho na kitabu chake hakihesabiwi kama cha kidini bali ni chanzo cha kihistoria.....
mkuu namfahamu nakubaliana na wewe kuwa Yule ni chanzo cha historia ambazo hata watu wa dini tunatumia baadhi ya maandishi yake tunayatumia kuthibitisha baadhi ya mambo ya Bibilia hasa enzi za Yesu.

mkuu hapo tuko pamoja, hapo sasa umenipa chanzo cha kuhistoria.
Unaweza kutoa tips kidogo za huyu gwiji kuhusu uweusi wa waisraeli na Waparestina.
 
Huo ndio ukweli na ndio maana wazungu wanakomaa Sana kuwaaminisha walimwengu kuwa Misri haihusiani na Africa,maana kukubali kuwa Misri ni Afrika na walioko Misri si waafrika automatically una kubali kuwa wana wa Israel ni waafrika,hata kwa akili ya kawaida tuu kuwa ina maana kwa muda wote wana wa Israel walivyokaa Misri hawa ku interrupt na wenyeji hata kidogo?
 
Hapa sijakuelewa kidogo mkuu wangu naomba utolee maelezo zaidi.


For the love of God, hii picha ya pili aisee!
Ni ya karne ya ngapi ?? huyo afisa ni wa Ujerumani au Uturuki ??
Kwenye hiyo picha ya kwanza nilitaka kuonesha watu wa asili wa mashariki ya kati kuwa walikuwa weusi.. na hadi sasa wapo.. aghalab utawaona kwenye tv..

Hiyo picha ya pili maelezo yapo kwenye caption.. lakini ni picha ya mwishoni mwa karne ya 19. Katika picha, tuliozowea kuona waarabu wakiwa weupe siyo.. hawa ndo waarabu tena wafanyabiashara ya utumwa.. point hapa ni kuwa mashariki ya kati na Ulaya walikuwepo watu weusi hata wale wayahudi walikuwa blacks.. hizi mnazoona sasa ni figisu tu za albino.. kujimilkisha mambo yasiyo yao
 
Mimi naamini binadamu aliyeumbwa na Mungu ni mtu mweusi.
KuanziaAdam mpaka Yesu walikuwaweusi.
Mungu asingeweza kuumba mzungu au mwarabu kwa sababu tayari alikuwa na malaika wenye rangi hiyo na nywele hizo.
Mungu aliumba mtu mweusi mwenye sura inayofanana na Mungu mwenyewe.
Ushahidi ninao wa kutosha.
tapatalk_1540993345931.jpeg
 
😂😂😂😂
 

Attachments

  • true_arab.jpg
    true_arab.jpg
    16.2 KB · Views: 67
Lakini kule israel kuna waarabu na wanatambulika kama waisraeli na wao hao waarabu wanadai chimbuko lao walizaliwa pale pale hata makaburi ya wazee wao yapo hivi hii inakuwaje kwa upande wa waisraeli huko baadae haitakuja kuwaletea shida
Mkuu kumbuka waisrael (as a race sio taifa) walishatawanyika miaka kibao na hiyo nchi zimepita falme nyingi hivyo watu mbalimbali wamehamia na kuishi wakiwemo hao waarabu sema Israel kama nchi imepewa hiyo ardhi 1948 hivyo lazima iliwakuta kuna waarabu wanaishi na pia Israel baada ya hapo imeendelea kujitanua hata kuchukua maeneo ya wapalestina ama waarabu wengine kma kule Golan heights,West bank na huko zamani Sinai!! Sasa kwa staili hii waarabu kuingizwa kwenye taifa la Israel haiepukiki kabisa.

Kuhusu madhara nafkiri hayatokuwepo kama watakuwa chini ya nchi moja maana watawafanyia surveillance za kutosha unless waongezeke kiidadi na ndio maana kuna wapalestina zaidi ya million 7 wanaishi huko jordan,argentina na penginepo duniani ambao wengi wao wamekatazwa kurudi Palestina hofu ni kwamba kama ikitokea Israel imeimeza palestina na hao million 7 wakirudi ina maana Israel itakuwa ina waarabu zaidi ya 60% ya population nzima ya Israel hivyo kutokea hatari ya jamii ya waisrael (as a race) kumalizwa na hao waarabu kama itatokea uprising.

Ila haya waliyataka wenyewe kipindi joshua amevamia Canaan walipoipora hiyo nchi waliambiwa waue kila kitu ila wao wakaacha kabila moja ambalo limewatesa kwa miaka mingi so naamini as long as hao waarabu wa palestina bado wapo na watoto wao wanajazwa chuki iko siku tu watalipa kisasi na itakuja kuwasumbua sana Israel.

Hayo ndio maoni yangu mkuu
 
Mkuu kumbuka waisrael (as a race sio taifa) walishatawanyika miaka kibao na hiyo nchi zimepita falme nyingi hivyo watu mbalimbali wamehamia na kuishi wakiwemo hao waarabu sema Israel kama nchi imepewa hiyo ardhi 1948 hivyo lazima iliwakuta kuna waarabu wanaishi na pia Israel baada ya hapo imeendelea kujitanua hata kuchukua maeneo ya wapalestina ama waarabu wengine kma kule Golan heights,West bank na huko zamani Sinai!! Sasa kwa staili hii waarabu kuingizwa kwenye taifa la Israel haiepukiki kabisa.

Kuhusu madhara nafkiri hayatokuwepo kama watakuwa chini ya nchi moja maana watawafanyia surveillance za kutosha unless waongezeke kiidadi na ndio maana kuna wapalestina zaidi ya million 7 wanaishi huko jordan,argentina na penginepo duniani ambao wengi wao wamekatazwa kurudi Palestina hofu ni kwamba kama ikitokea Israel imeimeza palestina na hao million 7 wakirudi ina maana Israel itakuwa ina waarabu zaidi ya 60% ya population nzima ya Israel hivyo kutokea hatari ya jamii ya waisrael (as a race) kumalizwa na hao waarabu kama itatokea uprising.

Ila haya waliyataka wenyewe kipindi joshua amevamia Canaan walipoipora hiyo nchi waliambiwa waue kila kitu ila wao wakaacha kabila moja ambalo limewatesa kwa miaka mingi so naamini as long as hao waarabu wa palestina bado wapo na watoto wao wanajazwa chuki iko siku tu watalipa kisasi na itakuja kuwasumbua sana Israel.

Hayo ndio maoni yangu mkuu
Nimekupata vema na nimekuelewa sana shukrani kwa ufafanuzi mkuu.
 
Tunapoongelea suala la waisrael weusi,sijui kwanini watu husahau kuangalia fact za kihistory,
kwamba kuna kipindi Cush empire iliuangusha ufalme wa misri,
kipindi hicho Egypt empire ikitawala mpaka caanan au palestine ama israel ilipo leo,
ufalme wa cush uliokuwa na makao makuu Meroe,Sudan ya leo ,ulikuwa ni wa watu weusi,
baada ya Cush empire kuiangusha Egypt empire,wakushi walitawala mpaka huko caanan kwa miaka mamia,hata kuna baadhi ya mafarao wa misri ni weusi,kwa maana ya walikuwa wakush,
baadae tena ufalme wa cush ulisukumwa kutoka maeneo ya caanan,misri na kurudi kuwa kingdom ndogo maeneo ya sudan,lakini tayari walikuwa wameshaacha mazalia yao,Levant(caanan),
hiyo ni historic fact,ukifuata history ya Cush empire na egypt dynasty utaona naongea nini,
sio kweli kuwa wakazi wa caanan walikuwa weusi,
asili ya waisrael ni Jacob,ambaye mamake Rebeka alikuwa wa kabila la Aramaic la huko Aram ambayo ndio Syria ya leo,
isaac alirudi kuoa syria na pia hata jacob alirudi kuoa syria,
asili yawatu wa Syria,sio weusi,
kwahiyo haya madai sio kweli

Uko sahihi Elungata, Yakobo yaani Israel kama Mungu alivyomuita, ambaye ndiye taifa la Israel, na kabila 12 za israel zimetokana na watoto 12 wa Yakobo.

Kumbuka Yakobo alimpenda Raheli mtoto wa Laban na alimtumikia Laban kwa miaka 7 ili apewe Raheli. Ila alipewa Lea dada yake Raheli. Baadae ndio akapewa Raheli. Raheli hakuzaa kwa muda hivyo alimtoa kijakazi wake Bilha alale na Yakobo amzalie wana ili kumuondolea aibu. Vile vile Lea alizaa ila ilifika muda naye hakuzaa tena hivyo naye akamtoa kijakazi wake Zilpa amzalie wana kwa Yakobo...vijakazi hawa walizaa na wana wao ni mojawapo ya makabila 12 ya Israel.

Swali ni je, hawa vijakazi walikuwa wayahudi? Vijakazi walikuwa kama watumwa, na baadhi walitoka kwenye jamii isiyokuwa ya kiyahudi.
 
Ndo nikipata mda ntasearch nijue hao vijakazi ni weusi ama sivyo,
maana kipindi hicho sidhani kama weusi walichukuliwa utumwani kwenda huko,hata wakati wa Cushi empire,wakushi ndo walikuwa watawala na haiwezekani tena wawe watumwa huko,
nachojua enzi hizo jamii zilikuwa zinapigana sana na walioshindwa walikuwa wanakuwa chini ya waliowashinda,kwa maana ya kuwatumikia,
ndiposa ilipoibukia concept ya kwamba wana wa Esau au ismael,(sikumbuki sawasawa),watakuja kuwatumikia wana wa israel,kwasababu ya baraka alizopewa yakobo,
ni concept tu iliyotokana na uhalisia wa wakati huo kuwa taifa lenye nguvu liliwafanya wengine wawatumikie wao,
lakini sasa kwa mahadliner bado wanashikilia hiyo imani kuwa itafika mahali jamii ya dunia zitakuwa watumwa kwa israel,kwa maana ya kuwatumikia,
sasa kwa maenndeleo ya sasa,kazi nyingi zinafanywa na mashine,mitambo etc,
sasa hata hao wanaotaka kutumikiwa wanasaka ajira hata ya kuendesha tingatinga,dunia ya leo tena si ya kusubiri kutumikiwa ama la utakufa njaa tu,
 
mkuu hapo tuko pamoja, hapo sasa umenipa chanzo cha kuhistoria.
Unaweza kutoa tips kidogo za huyu gwiji kuhusu uweusi wa waisraeli na Waparestina.

Josephus amezungumzia kwamba Mussa alivyooa mke wa kwanza ambaye alikuwa ni binti wa mfalme wa kushi kipindi hicho Mussa ndiye jemedari wa jeshi lote la Misri. Mwanamke huyo alikuwa ni mweusi wa ngozi (Ethiopian). Kwenye kitabu cha kwanza sura ya 6, 7, 8 na 9 anasema kwamba watu wa Misri na Kushi walikuwa ni wana wa Ham (Weusi)
 
Isaiah 45:14ESV / 26
Thus says theLord: “The wealth of Egypt and the merchandise of Cush, and the Sabeans, men of stature, shall come over to you and be yours; they shall follow you; they shall come over in chains and bow down to you. They will plead with you, saying: ‘Surely God is in you, and there is no other, no god besides him.’”

Edit one--unakuta mfano verse hapo juu inaonesha kabisa mungu wao alikuwa karidhia hawa waisrael kuwapora hao wengine mali zao na kuwafanya watumwa wao,

Edit 2-watoto wa Ham kwa mfano ni Cush,caanan,egypt na Punt,
kiuhalisia hizi ni majina ya tawala,
lakini wao waliwafanya kuwa ni watoto wa Ham,na pia kuandika ham kalaaniwa,lengo likiwa kuwapa jina baya maadui zao
 
Wayahudi na Wapalestina ni watoto wa baba moja lakini mama tofauti. Baba yao ni mtu wa Ukaldayo ambako ndiyo Iraki ya sasa. Mtoto wa kwanza wa Abraham, Ishmael alikiwa na mama mwafrika aliyetokea nchi ya Misri au Kemet.

Sasa kuna ile nadharia ya kusema hawa Wayahudi wenye asili ya Ashkenazi siyo watoto wa Abrahamu bali ni wazungu wa Ulaya. Bila kusahau kwamba kuna Wayahudi wa kiserphadi ambao wao hawakuwahi kutoka nje ya Palestina.

Kuna msemo unaotumika na baadhi ya watu na kudai kwamba Raisi wa zamani wa Misri Gamal Abdi Nasser aliwahi kusema hivi kuhusu Wayahudi "You left here black but returned white, we cannot accept that" Sasa kama jamii hii ilikuwa ya watu weusi kwanini leo hii ndugu zao wapalestina wawe ni waarabu na hakuna watu weusi kabisa ndani ya jamii ile.

Tatizo ni nini hapa, naomba kueleweshwa ?
Mkuu nimetafuta video clip moja bahati mbaya nimeikosa. BBC Swahili walihai kuonyesha miaka ya 2016 kuwa kuna wayahudi kutoka Ethiopia walipokelewa na wayahu wa Israel na kukaribishwa kwenye makazi ya kiyahudi. Kwenye ile clip niliona wayahudi weupe na hawa kutoka Ethiopia (black) wakikumbatiana na kubusiana wengine wakawa wanalia kwa furaha kana kwamba ndugu walio poteana kwa muda mrefu sasa wamekutan. Lakini pia ukifuatilia ibada za makuhani wa kiyahudi hazina tofauti na makuhani wa kiethiopia.

So naweza kubaliana na ndg mitale na midimu katika hoja yake
 
Isaiah 45:14ESV / 26
Thus says theLord: “The wealth of Egypt and the merchandise of Cush, and the Sabeans, men of stature, shall come over to you and be yours; they shall follow you; they shall come over in chains and bow down to you. They will plead with you, saying: ‘Surely God is in you, and there is no other, no god besides him.’”

Edit one--unakuta mfano verse hapo juu inaonesha kabisa mungu wao alikuwa karidhia hawa waisrael kuwapora hao wengine mali zao na kuwafanya watumwa wao,

Edit 2-watoto wa Ham kwa mfano ni Cush,caanan,egypt na Punt,
kiuhalisia hizi ni majina ya tawala,
lakini wao waliwafanya kuwa ni watoto wa Ham,na pia kuandika ham kalaaniwa,lengo likiwa kuwapa jina baya maadui zao

Isaiah 45:14ESV / 26
Thus says theLord: “The wealth of Egypt and the merchandise of Cush, and the Sabeans, men of stature, shall come over to you and be yours; they shall follow you; they shall come over in chains and bow down to you. They will plead with you, saying: ‘Surely God is in you, and there is no other, no god besides him.’”


Mungu yupi anaweza kuandika kitu kama hicho? Waku yapaswa mfaham historia vema.. chuki dhidi ya watu wa asili ni soo deep kiasi kwamba ilipenyezwa kwenye bible.. hayo ni maneno yalichomekwa kwenye bible.. ili tu kuonesha kuwa race nyeusi ni inferior na itakuwa ikiwasujudu wazungu
Isaiah 45:14ESV / 26
Thus says theLord: “The wealth of Egypt and the merchandise of Cush, and the Sabeans, men of stature, shall come over to you and be yours; they shall follow you; they shall come over in chains and bow down to you. They will plead with you, saying: ‘Surely God is in you, and there is no other, no god besides him.’”

Edit one--unakuta mfano verse hapo juu inaonesha kabisa mungu wao alikuwa karidhia hawa waisrael kuwapora hao wengine mali zao na kuwafanya watumwa wao,

Edit 2-watoto wa Ham kwa mfano ni Cush,caanan,egypt na Punt,
kiuhalisia hizi ni majina ya tawala,
lakini wao waliwafanya kuwa ni watoto wa Ham,na pia kuandika ham kalaaniwa,lengo likiwa kuwapa jina baya maadui zao
 
Ila kupata jibu sahihi la mtoa mada,yatupasa kutafuta majibu ya maswali yafuatayo.

1. Nini maana ya neno "Yahudi" yaani kwanini watu hao wameitwa Mayahudi ?


2. Je Uyahudi ni dini au uzao au kizazi au kabila ?

3. Wakina mayahudi na wapi walianzia mayahudi ?

4. Na wapi tutapata habari sahihi kuhusu uyahudi na mayahudi ?

Nipo ....!
 
Back
Top Bottom