Tunapoongelea suala la waisrael weusi,sijui kwanini watu husahau kuangalia fact za kihistory,
kwamba kuna kipindi Cush empire iliuangusha ufalme wa misri,
kipindi hicho Egypt empire ikitawala mpaka caanan au palestine ama israel ilipo leo,
ufalme wa cush uliokuwa na makao makuu Meroe,Sudan ya leo ,ulikuwa ni wa watu weusi,
baada ya Cush empire kuiangusha Egypt empire,wakushi walitawala mpaka huko caanan kwa miaka mamia,hata kuna baadhi ya mafarao wa misri ni weusi,kwa maana ya walikuwa wakush,
baadae tena ufalme wa cush ulisukumwa kutoka maeneo ya caanan,misri na kurudi kuwa kingdom ndogo maeneo ya sudan,lakini tayari walikuwa wameshaacha mazalia yao,Levant(caanan),
hiyo ni historic fact,ukifuata history ya Cush empire na egypt dynasty utaona naongea nini,
sio kweli kuwa wakazi wa caanan walikuwa weusi,
asili ya waisrael ni Jacob,ambaye mamake Rebeka alikuwa wa kabila la Aramaic la huko Aram ambayo ndio Syria ya leo,
isaac alirudi kuoa syria na pia hata jacob alirudi kuoa syria,
asili yawatu wa Syria,sio weusi,
kwahiyo haya madai sio kweli