Tetesi: Je, ni kweli kwamba ndege ya ATCL, Boeing 787-8 Dreamliner haina Insurance?

Tetesi: Je, ni kweli kwamba ndege ya ATCL, Boeing 787-8 Dreamliner haina Insurance?

Status
Not open for further replies.

Determinantor

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
59,045
Reaction score
94,974
Hii Habari nimekutana nayo Twitter, na mtoa Mada amesema Kama anaongopa basi ATC wakanushe! Chanzo ni kutolipwa pesa yao jamaa wakaamua ku-cancell. Tukiacha mihemko, hili linawezekana kurusha ndege bila Insurance?

Ufafanuzi

Kwa mujibu wa mleta Mada wa Twitter ni kwamba, ATC wameshindwa au hawajalipia cover notes na hivyo kuwa cancelled! Sio kwamba hawajawahi kuwa na insurance.
Siasa tuweke mbali kwanza

2019-03-16_08.15.37.jpg

2019-03-16_08.15.11.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app

====

UFAFANUZI

=====

NUKUU: "Ndege za ATCL zinafanya safari za ndani na nje ya nchi kwasababu zina bima iliyo hai kutoka shirika la bima Tanzania (NIC) na moja ya masharti la kukuwezesha kurusha ndege lazima ziwe na bima."- Air Tanzania ATCL
 
Kama huna Insurance huwezi kurusha Ndege zako especially Kimataifa

Juzi Kati ATC imerusha Ndege kwenda Zimbabwe Na imepita Anga mbalimbali bila ya Vikwazo
Mie sikubali kabisa nadharia ya Serikal kufanya Biashara Na napinga Sana hiLi ka kuendesha ATC lakin Pia Muumini wa kusema ukweli

Hii habari Ni ya UOngo
Ukimsoma jamaa seems cover not imekua cancelled so Pengine Wakati wanakwenda walikua nayo... Ni recent news

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama huna Insurance huwezi kurusha Ndege zako especially Kimataifa

Juzi Kati ATC imerusha Ndege kwenda Zimbabwe Na imepita Anga mbalimbali bila ya Vikwazo
Hii habari Ni ya UOngo
Cover note zipo kwenye vioo na documents zote kwenye makabrasha ila hazijalipiwa premium kwahiyo mwenye bima yake kazi cancel

Jr[emoji769]
 
Ngoja tusubiri hao ATC wakanushe with evidence maana Ukimsoma jamaa seems ana uhakika na taarifa yake. Tuombe Mungu isiwe kweli

Sent using Jamii Forums mobile app

Evidence kwanza hutolewa Na alieleta tuhuma

Jee hizo tuhuma zimeambatana na ushahidi ?
Kwa sababu Kwenye kujibu tuhuma Kazi Moja wapo ni kuonesha udhaifu wa ushahidi ulipoletwa dhidi yako
 
Acha uongo. Insurance policies zipo za kitaifa na za kimataifa. Unaweza usiwe na international insurance cover lakini bado ukafanya operations internally.

I'm speaking from experience sio nadharia

Unaponunua Ndege huuziwi Kama unanunua Kandambili mwa mangi

Kuna Masharti kadhaa Na mojawapo ni kuhakikisha lazima uwe Na Insurance
Na kwa level ya Insurance company zetu hazina uwezo wa kukata Insuarance wao mpka kwa Moja kwa Kuwa mitaji yao ni Midogo hivyo lazima ukikata Insurance kwao Na wao wanakatia Insurance kimataifa


Kama ATC hawana Insurance ya Kimataifa wasingejaribu Kuwa Na Safari Za Kimataifa kwa kipindi hiki
 
Kama huna Insurance huwezi kurusha Ndege zako especially Kimataifa

Juzi Kati ATC imerusha Ndege kwenda Zimbabwe Na imepita Anga mbalimbali bila ya Vikwazo
Hii habari Ni ya UOngo

Ndiyo, mlikuwa na cover ila mlikuwa hajalipa. Sasa broker amei-cancel.

Means haitaruka mpaka mlipe za nyuma na mkate upya.
 
Hii Habari nimekutana nayo Twitter, na mtoa Mada amesema Kama anaongopa basi ATC wakanushe! Chanzo ni kutolipwa pesa yao jamaa wakaamua ku-cancell. Tukiacha mihemko, hili linawezekana kurusha ndege bila Insurance? Siasa tuweke mbali kwanza View attachment 1046597

Sent using Jamii Forums mobile app
Binadamu ukiwa ufipa sijui unakuwaje mmeanza ndege terrible teen hazifai Leo mmeibuka na bima kesho itakuwa ndege Mali zetu mtufungie feni za mapanga boi viyoyozi hatujazoea mala tukikaa ndegeni miguu inauma mtuwekee foot rest basi ilimradi tu vijana kwa wazee wamezoea kulialia tabia waliyoirithi toka kwa mwenyekiti.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
I'm speaking from experience sio nadharia

Unaponunua Ndege huuziwi Kama unanunua Kandambili mwa mangi

Kuna Masharti kadhaa Na mojawapo ni kuhakikisha lazima uwe Na Insurance
Na kwa level ya Insurance company zetu hazina uwezo wa kukata Insuarance wao mpka kwa Moja kwa Kuwa mitaji yao ni Midogo hivyo lazima ukikata Insurance kwao Na wao wanakatia Insurance kimataifa


Kama ATC hawana Insurance ya Kimataifa wasijaribu Kuwa Na Safari Za Kimataifa kwa kipindi hiki

Eti speaking from experience...!

Sema speaking on purpose of covering your boss' ass.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom