DAKA MTUMBA
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 1,288
- 801
Wakuu napenda kuingia kwenye biashara hii ya uchimaji wa Tanzanite, yani ninunue kitalu changu kisha nianze kupiga kazi.
But nataka kujiridhisha japo kwa uchache.
Jee hii zawadi(Tanzanite) tuliyopewa na Mungu wetu bado tunayo au imeshajiishia?maana naogopa kupoteza pesa!
Nawasilisha:
But nataka kujiridhisha japo kwa uchache.
Jee hii zawadi(Tanzanite) tuliyopewa na Mungu wetu bado tunayo au imeshajiishia?maana naogopa kupoteza pesa!
Nawasilisha: