Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Maalim anasema Makonda aliacha harakati za kupinga ushoga kwa sababu ya mashoga kuanza kuwataja mabasha wao ambao hali ilikuwa mbaya. Je ni kweli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ulikuwa wapi? Serikali ya Magufuli ilimkana Makonda kwamba hiyo ni vita yake binafsi na siyo sera ya Tanzania.View attachment 3037342
Maalim anasema Makonda aliacha harakati za kupinga ushoga kwa sababu ya mashoga kuanza kuwataja mabasha wao ambao hali ilikuwa mbaya. Je ni kweli?