View attachment 3037342
Maalim anasema Makonda aliacha harakati za kupinga ushoga kwa sababu ya mashoga kuanza kuwataja mabasha wao ambao hali ilikuwa mbaya. Je ni kweli?
Mfano mzuri ni huyu mkuu wa mkoa mzee wa kisamvu alie umbuliwa juzi Kati tuu hapo, wako watu wenye nafasi nzito ukitaka kuwataja wanaweza kuua ukoo wako wote ilimradi watunze Siri zao