YesWakuu,
Kuna hili suala la meditation kuhusishwa na mambo ya kuamsha nguvu ya kiroho isiyoonekana, nimejikuta nikivutiwa na suala hili.
Je, ni kweli inaamsha nguvu ya kiroho isiyoonekana?
Pia soma: The Path of Meditation: Controlling the Mind and Senses
Jibu sahihi la hili swali hutolipata kwa kuambiwa mtu bali kwa kulitafuta ww mwenyewe.Wakuu,
Kuna hili suala la meditation kuhusishwa na mambo ya kuamsha nguvu ya kiroho isiyoonekana, nimejikuta nikivutiwa na suala hili.
Je, ni kweli inaamsha nguvu ya kiroho isiyoonekana?
Pia soma: The Path of Meditation: Controlling the Mind and Senses
Wakuu,
Kuna hili suala la meditation kuhusishwa na mambo ya kuamsha nguvu ya kiroho isiyoonekana, nimejikuta nikivutiwa na suala hili.
Je, ni kweli inaamsha nguvu ya kiroho isiyoonekana?
Pia soma: The Path of Meditation: Controlling the Mind and Senses
Wakuu,
Kuna hili suala la meditation kuhusishwa na mambo ya kuamsha nguvu ya kiroho isiyoonekana, nimejikuta nikivutiwa na suala hili.
Je, ni kweli inaamsha nguvu ya kiroho isiyoonekana?
Pia soma: The Path of Meditation: Controlling the Mind and Senses
Mimi nikijaribu kufanya hilo zoezi naishia kutetemeka mwili mzima kama mtu mwenye mapepoWakuu,
Kuna hili suala la meditation kuhusishwa na mambo ya kuamsha nguvu ya kiroho isiyoonekana, nimejikuta nikivutiwa na suala hili.
Je, ni kweli inaamsha nguvu ya kiroho isiyoonekana?
Pia soma: The Path of Meditation: Controlling the Mind and Senses
Watu wanatafuta hela sio kwa meditation, wanafanya biashara sana ya vitu vingine. Usicheze kabisa na mbongo aliyekaa India na anaenda China kama vile anaenda baa na amejifunza namna ya kufanya hili zoezi katika nchi zote hizo mbili. Huyo mtu ni mtaalamu sana katika mambo haya ya kiroho.Watu wanajua mno kutafuta pesa. Usishangae Akatokea mtu anasema anafundisha hili na utatoka nje ya mwili uende popote duniani kisha urudi huku akimalizia na njoo pm.
Mkuu, waTanganyika waangalie kama walivyo. MTanganyika haitaji kubobea kitu sana ili atengeneze pesa. Ajue tu ABC mchezo umekwisha. Atazitumia kukupiga uchakae.Watu wanatafuta hela sio kwa meditation, wanafanya biashara sana ya vitu vingine. Usicheze kabisa na mbongo aliyekaa India na anaenda China kama vile anaenda baa na amejifunza namna ya kufanya hili zoezi katika nchi zote hizo mbili. Huyo mtu ni mtaalamu sana katika mambo haya ya kiroho.
message sent and delivered kwa mlengwa/walengwaMkuu, waTanganyika waangalie kama walivyo. MTanganyika haitaji kubobea kitu sana ili atengeneze pesa. Ajue tu ABC mchezo umekwisha. Atazitumia kukupiga uchakae.
Hazikuzidi dk5 ila natetemeka midomo na kichwa then naona giza zito.Ulifanya kwa muda gani