Je ni kweli mtu mweusi alipata laana badala ya kuchungulia utupu wa Baba yake ?

Manfried

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2024
Posts
1,288
Reaction score
4,074
Je ni kweli mtu mweusi alipata laana baada ya kuchungulia utupu wa Baba yake ?

Ukweli ni upi maana duniani kote mtu mweusi anachapika hatari.
 
Ukiamini uongo, unakuwa muongo. Karamu za uongo zilibadilisha neno la Bwana kuwa uongo.
 
Hakuna cha laana mbona siku hizi watoto
wanachungulia
nyuchi za wazazi wao hadi wanaona viungo vya ndani ya mwili hasa mzazi anayechunguliwa kama ni shoga na hawalaaniwi?

Mwafrika anachapika kutokana na upumbavu wake.
 
Hakuna cha laana mbona siku hizi watoto
wanachungulia
nyuchi za wazazi wao hadi wanaona viungo vya ndani ya mwili hasa mzazi anayechunguliwa kama ni shoga na hawalaaniwi?

Mwafrika anachapika kutokana na upumbavu wake.
Watoto wanochungulia tupu za wazazi wao wafatilie utaona hawapo sawa
 
Je ni kweli mtu mweusi alipata laana baada ya kuchungulia utupu wa Baba yake ?

Ukweli ni upi maana duniani kote mtu mweusi anachapika hatari.
Haya maswali mwisho wa siku tutaulizwa funza kaingiaje kwenye kokwa la embe
 
Je ni kweli mtu mweusi alipata laana baada ya kuchungulia utupu wa Baba yake ?

Ukweli ni upi maana duniani kote mtu mweusi anachapika hatari.
Kaini alivyomuua ndugu yake kaini Mungu alimuwekea alama, sasa tuliosoma Cuba hatuhitaji maelezo mengi, caption tu inatutosha kuelezea mpaka hitimisho😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…