Je, ni kweli Mtumishi wa KKKT Kijitonyama kadokoa sadaka madhabahuni?

Je, ni kweli Mtumishi wa KKKT Kijitonyama kadokoa sadaka madhabahuni?

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
Kuna Video nimeona sehemu, ambayo watu wanasema Mtumishi huyu wa Mungu kadokoa Sadaka Madhabahuni mwa Bwana.

Mimi naiangalia mara mbilimbili siamini macho yangu. Nimeamua kupost hapa ili wataalamu wa Video wasaidie kudadavua.

Je, huyu Kadokoa sadaka? Kama kadokoa sadaka, karma itamuacha salama?Camera za Kanisa ndizo zimemdaka au ni miujiza?

Karibuni.


Pia soma Mchungaji Eliona Kimaro wa KKKT Kijitonyama apewa likizo ya siku 60 na kutakiwa kuripoti Makao Makuu
 
Mchungaji aliebaki kanaswa kwenye camera akidokoa sadaka
Sijaona hiyo clip,unaweza kuiweka hapa.Lakini hata kama kaiba si jambo la ajabu sana.Yaani hata nikisikia mchungaji kabaka si shangai sana.Ni hiv mchungaji ni mtu kamili mwenye tabia zake.uchungaji ni koti tuu.Ila anabaki kuwa binadamu.

Mchungaji wa kweli kila siku anaugomvi na shetani.So siku mchungaji akiingia kwenye anga zake(akiachwa na Mungu kwa kuasi)analiwa kichwa chap.

So huwa najuaga mchungaji kaliwa timing na shetani. Ndiyo maana ni vizuri kuwaombea wachungaji wetu bila kujali dhehebu
 
Kuna Video nimeona sehemu, ambayo watu wanasema Mtumishi huyu wa Mungu kadokoa Sadaka Madhabahuni mwa Bwana.

Mimi naiangalia mara mbilimbili siamini macho yangu. Nimeamua kupost hapa ili wataalamu wa Video wasaidie kudadavua.

Je, huyu Kadokoa sadaka? Kama kadokoa sadaka, karma itamuacha salama?Camera za Kanisa ndizo zimemdaka au ni miujiza?

Karibuni.
View attachment 2500547

Pia soma Mchungaji Eliona Kimaro wa KKKT Kijitonyama apewa likizo ya siku 60 na kutakiwa kuripoti Makao Makuu
Kuna jambo yule mwanamke kafanya hapo kwenye mchakato wa kuchambua pesa au hajui kama kuna camera? So sad ni aibu sana tena mchaga huyu mdada
 
Very interesting video clip, these people
Kuna Video nimeona sehemu, ambayo watu wanasema Mtumishi huyu wa Mungu kadokoa Sadaka Madhabahuni mwa Bwana.

Mimi naiangalia mara mbilimbili siamini macho yangu. Nimeamua kupost hapa ili wataalamu wa Video wasaidie kudadavua.

Je, huyu Kadokoa sadaka? Kama kadokoa sadaka, karma itamuacha salama?Camera za Kanisa ndizo zimemdaka au ni miujiza?

Karibuni.
View attachment 2500547

Pia soma Mchungaji Eliona Kimaro wa KKKT Kijitonyama apewa likizo ya siku 60 na kutakiwa kuripoti Makao Makuu
wanakula ganji lao mapema kumbe😆😆😆
 
Mnachofanya ni kuchafua tu watu. Siyo chombo cha sadaka ni sanduku la Maombi na limeandikwa kabisa hapo na watu wameweka maombi yao kwenye bahasha. Kueni jamani msiwachafue tu watu..
Ni box la maombi ndiyo!

Ila kuna bahasha ilikuwa na karatasi iliyoandikwa maombi na hela vyote vilikuwa kwenye bahasha moja!

Alichofanya huyo mama ni kufungua ile bahasha kisha akatoa karatasi ya maombi akaiacha kwenye box na ila ile hela ameondoka nayo!
 
Mnachofanya ni kuchafua tu watu. Siyo chombo cha sadaka ni sanduku la Maombi na limeandikwa kabisa hapo na watu wameweka maombi yao kwenye bahasha. Kueni jamani msiwachafue tu watu..
Liwe sanduku la maombi au sadaka zote nipesa zimetolewa kwa kanisa. Zote ni mali ya kanisa haijalishi zimetolewa kwa sababu gani, mwisho wake ni kipato cha kanisa kwa ajili ya kuendeleza neno au kazi ya Mungu.
 
Msipende kushadadia msivyo vijua, hizo sio sadaka, hayo ni maombi, na unaona kabisa pameandikwa Sanduku la Maombi. Na wakati wa kuyakusanya huwa wanaambiwa kabisa msiweke sadaka. Hizo ni bahasha, ndani yake kuna maombi ambayo watu wameyaandika, sasa ingawa wanatangaziwa wasiweke Sadaka, bado kuna watu huwa wanaweka, so ni kawaida viongozi huwa wanaangalia bahasha kama kuna hela, na kuiweka kwenye sanduku lingine la Sadaka ambalo hapo halionekani, so huyo mchungaji alichofanya ni kuhamisha kuipeleka sehemu husika.
 
Huo mfumo wa kuombea sadaka sio wa ki KKKT, labda ndio maana Kimaro aliondolewa. Sadaka unashikashika za nini? Maombi unaandika kwenye barua? Mi najua watu wanatakiwa watoe sadaka Ila wainuizie kwa Imani mioyoni mwao Yale wanayotaka Mungu awatendee
 
Ndio Mana sipendi kumuamini mwanamke.imani imemtoka kwa pesa za kazi ya kanisa
 
Kuna Video nimeona sehemu, ambayo watu wanasema Mtumishi huyu wa Mungu kadokoa Sadaka Madhabahuni mwa Bwana.

Mimi naiangalia mara mbilimbili siamini macho yangu. Nimeamua kupost hapa ili wataalamu wa Video wasaidie kudadavua.

Je, huyu Kadokoa sadaka? Kama kadokoa sadaka, karma itamuacha salama?Camera za Kanisa ndizo zimemdaka au ni miujiza?

Karibuni.
View attachment 2500547

Pia soma Mchungaji Eliona Kimaro wa KKKT Kijitonyama apewa likizo ya siku 60 na kutakiwa kuripoti Makao Makuu
Acha uzushi kama hujui ni afadhali ukanyamaza.....hilo ni sanduku la Maombi na limeandikwa kabisa SANDUKU LA MAOMBI...sasa hayo ni mambo na siri za watu zimeandikwa humo kwenye hizo bahasha na yakimaliza kuombewa huwa yanachomwa moto chini ya uangalizi wa Mtu anayeweza kutunza siri..

Kwa hiyo kuna nyingine unakuta zinachanganyika na sadaka kwa hiyo nilazima zitolewe kama wakati wa maombi ikigundulika kuna Fedha ili zisije kuchomwa na Karatasi za maombi baada ya kuombewa..
 
Back
Top Bottom