figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Kuna Video nimeona sehemu, ambayo watu wanasema Mtumishi huyu wa Mungu kadokoa Sadaka Madhabahuni mwa Bwana.
Mimi naiangalia mara mbilimbili siamini macho yangu. Nimeamua kupost hapa ili wataalamu wa Video wasaidie kudadavua.
Je, huyu Kadokoa sadaka? Kama kadokoa sadaka, karma itamuacha salama?Camera za Kanisa ndizo zimemdaka au ni miujiza?
Karibuni.
Pia soma Mchungaji Eliona Kimaro wa KKKT Kijitonyama apewa likizo ya siku 60 na kutakiwa kuripoti Makao Makuu
Mimi naiangalia mara mbilimbili siamini macho yangu. Nimeamua kupost hapa ili wataalamu wa Video wasaidie kudadavua.
Je, huyu Kadokoa sadaka? Kama kadokoa sadaka, karma itamuacha salama?Camera za Kanisa ndizo zimemdaka au ni miujiza?
Karibuni.
Pia soma Mchungaji Eliona Kimaro wa KKKT Kijitonyama apewa likizo ya siku 60 na kutakiwa kuripoti Makao Makuu