Msipende kushadadia msivyo vijua, hizo sio sadaka, hayo ni maombi, na unaona kabisa pameandikwa Sanduku la Maombi. Na wakati wa kuyakusanya huwa wanaambiwa kabisa msiweke sadaka. Hizo ni bahasha, ndani yake kuna maombi ambayo watu wameyaandika, sasa ingawa wanatangaziwa wasiweke Sadaka, bado kuna watu huwa wanaweka, so ni kawaida viongozi huwa wanaangalia bahasha kama kuna hela, na kuiweka kwenye sanduku lingine la Sadaka ambalo hapo halionekani, so huyo mchungaji alichofanya ni kuhamisha kuipeleka sehemu husika.