Je, ni kweli Mtumishi wa KKKT Kijitonyama kadokoa sadaka madhabahuni?

Je, ni kweli Mtumishi wa KKKT Kijitonyama kadokoa sadaka madhabahuni?

Msipende kushadadia msivyo vijua, hizo sio sadaka, hayo ni maombi, na unaona kabisa pameandikwa Sanduku la Maombi. Na wakati wa kuyakusanya huwa wanaambiwa kabisa msiweke sadaka. Hizo ni bahasha, ndani yake kuna maombi ambayo watu wameyaandika, sasa ingawa wanatangaziwa wasiweke Sadaka, bado kuna watu huwa wanaweka, so ni kawaida viongozi huwa wanaangalia bahasha kama kuna hela, na kuiweka kwenye sanduku lingine la Sadaka ambalo hapo halionekani, so huyo mchungaji alichofanya ni kuhamisha kuipeleka sehemu husika.
Swali la kujiuliza,ni je huyo mama amejuaje kwamba hiyo bahasha pekee ndiyo ina sadaka?
Mbona kulikuwemo bahasha nyingi,akachagua moja.
Na nijuavyo mimi kanisa lina wazee wanaojihusisha na sadaka. Iweje mtumishi aliyetakiwa kujihusisha na maombi
kwa wakati ule ajihusishe na sadaka ilihali kuna wahudumu wanaohusika na sadaka?

Sadaka zinazochanganywa na maombi kwenye bahasha,ikibidi zinatolewa
mara ya maombi kuombewa,na wahudumu wale wanaohusika kuchoma hayo maombi
na si pale madhabahuni. Hata kama huyo mtumishi hana nia mbaya lakini kuna la kujifunza
ajirekebishe. Kazi ya sadaka awaachie wazee wa kanisa
 
Msipende kushadadia msivyo vijua, hizo sio sadaka, hayo ni maombi, na unaona kabisa pameandikwa Sanduku la Maombi. Na wakati wa kuyakusanya huwa wanaambiwa kabisa msiweke sadaka. Hizo ni bahasha, ndani yake kuna maombi ambayo watu wameyaandika, sasa ingawa wanatangaziwa wasiweke Sadaka, bado kuna watu huwa wanaweka, so ni kawaida viongozi huwa wanaangalia bahasha kama kuna hela, na kuiweka kwenye sanduku lingine la Sadaka ambalo hapo halionekani, so huyo mchungaji alichofanya ni kuhamisha kuipeleka sehemu husika.
Ulikuwepo? Una uhakika gani kama alihamishia kwenye sanduku la sadaka au alihamishia mfukoni kwake?
 
Mwizi ni mwizi tu
Hata ukitumia akili ya kawaida utaona kuwa huo ni uzushi,huyo mchungaji anajua kuwa hapo kuna camera na pia yuko na watu wengine hapo atawezaje kujilipua kiasi hicho? Huu uzi umeletwa mahsusi kuzidi kuchochea mgogoro KKKT na mods nao wamekubali kushiriki kampeni hii chafu. Mbona zikianzishwa nyuzi za uzushi zikiihusu CCM faster tu zinafutwa na mhusika kupigwa ban.
Kukubali tatizo ni mwanzo wa kulitatua huyo kama unathibitisha kweli hapo alipo ni Kanisani basi huyo hiyo hela aliichukua unless utuambie hiyo video ilichunguzwa na wataalamu wa video wakasema ni ya kutengeneza.

Mkuu huyo ni binadamu kama wengine kujisahau kupo na shetani kama tunavyoamini humuangusha mtu pale asipopategemea hilo tukubali ni tatizo acha awajibishwe iwe fundisho kwa wengine
 
Kumbe nawe ni taahira?

Hujaona kwamba ametoa karatasi ya maombi ila akaondoka na hela iliyokuwa imewekwa pamoja na karatasi ya maombi?
Sasa angeweza kuiba mbele ya watu waliomzunguka huku akijua kuwa yapo macho ya camera kila pembe ndani na nje ya Kabisa? Wewe ndiye mpumbavu kabisaaa hata hujui unashabikia nini. Bado mna akili za yule mwovu baba yenu ya kumuona kila mtu mwizi ilhali ndiye alikuwa mpigaji mkubwa
 
Kuna Video nimeona sehemu, ambayo watu wanasema Mtumishi huyu wa Mungu kadokoa Sadaka Madhabahuni mwa Bwana.

Mimi naiangalia mara mbilimbili siamini macho yangu. Nimeamua kupost hapa ili wataalamu wa Video wasaidie kudadavua.

Je, huyu Kadokoa sadaka? Kama kadokoa sadaka, karma itamuacha salama?Camera za Kanisa ndizo zimemdaka au ni miujiza?

Karibuni.
View attachment 2500547

Pia soma Mchungaji Eliona Kimaro wa KKKT Kijitonyama apewa likizo ya siku 60 na kutakiwa kuripoti Makao Makuu
Kwanza hicho sio chombo cha sadaka, hicho ni chombo cha karatasi za maombi, na hapo watumishi walikuwa wanaombea hayo maombi. Potelea mbali kama alifungua bahasha kutoa karatasi ya maombi maana maombi hayawekwi kwenye bahasha. Kama umeona mtumishi kafungua bahasha na ukaona kadokoa sadaka wakati unaona kabisa box limeandikwa MAOMBI kimbia haraka ukatubu na kuungama maana karma inakunyemelea
 
Kuna Video nimeona sehemu, ambayo watu wanasema Mtumishi huyu wa Mungu kadokoa Sadaka Madhabahuni mwa Bwana.

Mimi naiangalia mara mbilimbili siamini macho yangu. Nimeamua kupost hapa ili wataalamu wa Video wasaidie kudadavua.

Je, huyu Kadokoa sadaka? Kama kadokoa sadaka, karma itamuacha salama?Camera za Kanisa ndizo zimemdaka au ni miujiza?

Karibuni.
View attachment 2500547

Pia soma Mchungaji Eliona Kimaro wa KKKT Kijitonyama apewa likizo ya siku 60 na kutakiwa kuripoti Makao Makuu
Duuh noma sanaaaa
 
Back
Top Bottom