Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa sawa, umeeleza vizuri...ila sasa sie tutajuaje kama mtumishi wa bwana aliipeleka hiyo sadaka huko kwenye chombo kingine kama unavyosema, kumbuka haonekani akifanya hivyo kwenye kamera!.Msipende kushadadia msivyo vijua, hizo sio sadaka, hayo ni maombi, na unaona kabisa pameandikwa Sanduku la Maombi. Na wakati wa kuyakusanya huwa wanaambiwa kabisa msiweke sadaka. Hizo ni bahasha, ndani yake kuna maombi ambayo watu wameyaandika, sasa ingawa wanatangaziwa wasiweke Sadaka, bado kuna watu huwa wanaweka, so ni kawaida viongozi huwa wanaangalia bahasha kama kuna hela, na kuiweka kwenye sanduku lingine la Sadaka ambalo hapo halionekani, so huyo mchungaji alichofanya ni kuhamisha kuipeleka sehemu husika.
Siku zote ukiona kitu hukijui ujue hakikuhusu, and it is not worth your time and energy.Sawa sawa, umeeleza vizuri...ila sasa sie tutajuaje kama mtumishi wa bwana aliipeleka hiyo sadaka huko kwenye chombo kingine kama unavyosema, kumbuka haonekani akifanya hivyo kwenye kamera!.
Aseee ....Kuna Video nimeona sehemu, ambayo watu wanasema Mtumishi huyu wa Mungu kadokoa Sadaka Madhabahuni mwa Bwana.
Mimi naiangalia mara mbilimbili siamini macho yangu. Nimeamua kupost hapa ili wataalamu wa Video wasaidie kudadavua.
Je, huyu Kadokoa sadaka? Kama kadokoa sadaka, karma itamuacha salama?Camera za Kanisa ndizo zimemdaka au ni miujiza?
Karibuni.
View attachment 2500547
Pia soma Mchungaji Eliona Kimaro wa KKKT Kijitonyama apewa likizo ya siku 60 na kutakiwa kuripoti Makao Makuu
Sasa Kwa Nini achungulie maombi ya watu na kuyachukua na KUONDOKA nayo kama ni maombi!!??... Mind you na Mimi ni mkristo pia.Mnachofanya ni kuchafua tu watu. Siyo chombo cha sadaka ni sanduku la Maombi na limeandikwa kabisa hapo na watu wameweka maombi yao kwenye bahasha. Kueni jamani msiwachafue tu watu..
Imenitisha [emoji848]Kuna Video nimeona sehemu, ambayo watu wanasema Mtumishi huyu wa Mungu kadokoa Sadaka Madhabahuni mwa Bwana.
Mimi naiangalia mara mbilimbili siamini macho yangu. Nimeamua kupost hapa ili wataalamu wa Video wasaidie kudadavua.
Je, huyu Kadokoa sadaka? Kama kadokoa sadaka, karma itamuacha salama?Camera za Kanisa ndizo zimemdaka au ni miujiza?
Karibuni.
View attachment 2500547
Pia soma Mchungaji Eliona Kimaro wa KKKT Kijitonyama apewa likizo ya siku 60 na kutakiwa kuripoti Makao Makuu
Vita ya Kijitonyama bado sanaMchungaji aliebaki kanaswa kwenye camera akidokoa sadaka
Dr. Kimaro ni mtu makini hawezi kujihusisha na upuuzi huu. JF ndiyo ilaumiwe kwa kulea nyuzi za uzushi na kuchafua watu na taasisi.Kimaro acha kumchafua mrithi wako.
Kula mchicha ni bei nafuu hizo ni bahasha za maombi huyo mwanamke katoa kikaratasi na sio pesaKuna jambo yule mwanamke kafanya hapo kwenye mchakato wa kuchambua pesa au hajui kama kuna camera? So sad ni aibu sana tena mchaga huyu mdada
HahahaMchungaji wa kweli kila siku anaugomvi na shetani.So siku mchungaji akiingia kwenye anga zake(akiachwa na Mungu kwa kuasi)analiwa kichwa chap.