Je, ni kweli Mtumishi wa KKKT Kijitonyama kadokoa sadaka madhabahuni?

Je, ni kweli Mtumishi wa KKKT Kijitonyama kadokoa sadaka madhabahuni?

Msipende kushadadia msivyo vijua, hizo sio sadaka, hayo ni maombi, na unaona kabisa pameandikwa Sanduku la Maombi. Na wakati wa kuyakusanya huwa wanaambiwa kabisa msiweke sadaka. Hizo ni bahasha, ndani yake kuna maombi ambayo watu wameyaandika, sasa ingawa wanatangaziwa wasiweke Sadaka, bado kuna watu huwa wanaweka, so ni kawaida viongozi huwa wanaangalia bahasha kama kuna hela, na kuiweka kwenye sanduku lingine la Sadaka ambalo hapo halionekani, so huyo mchungaji alichofanya ni kuhamisha kuipeleka sehemu husika.
Sawa sawa, umeeleza vizuri...ila sasa sie tutajuaje kama mtumishi wa bwana aliipeleka hiyo sadaka huko kwenye chombo kingine kama unavyosema, kumbuka haonekani akifanya hivyo kwenye kamera!.
 
Kama Facebook tu kwenye ma group yetu ya kiduanzi ***** hujui lolote
 
Kuna Video nimeona sehemu, ambayo watu wanasema Mtumishi huyu wa Mungu kadokoa Sadaka Madhabahuni mwa Bwana.

Mimi naiangalia mara mbilimbili siamini macho yangu. Nimeamua kupost hapa ili wataalamu wa Video wasaidie kudadavua.

Je, huyu Kadokoa sadaka? Kama kadokoa sadaka, karma itamuacha salama?Camera za Kanisa ndizo zimemdaka au ni miujiza?

Karibuni.
View attachment 2500547

Pia soma Mchungaji Eliona Kimaro wa KKKT Kijitonyama apewa likizo ya siku 60 na kutakiwa kuripoti Makao Makuu
Aseee ....
 
Mnachofanya ni kuchafua tu watu. Siyo chombo cha sadaka ni sanduku la Maombi na limeandikwa kabisa hapo na watu wameweka maombi yao kwenye bahasha. Kueni jamani msiwachafue tu watu..
Sasa Kwa Nini achungulie maombi ya watu na kuyachukua na KUONDOKA nayo kama ni maombi!!??... Mind you na Mimi ni mkristo pia.
 
Kuna Video nimeona sehemu, ambayo watu wanasema Mtumishi huyu wa Mungu kadokoa Sadaka Madhabahuni mwa Bwana.

Mimi naiangalia mara mbilimbili siamini macho yangu. Nimeamua kupost hapa ili wataalamu wa Video wasaidie kudadavua.

Je, huyu Kadokoa sadaka? Kama kadokoa sadaka, karma itamuacha salama?Camera za Kanisa ndizo zimemdaka au ni miujiza?

Karibuni.
View attachment 2500547

Pia soma Mchungaji Eliona Kimaro wa KKKT Kijitonyama apewa likizo ya siku 60 na kutakiwa kuripoti Makao Makuu
Imenitisha [emoji848]
 
Moderators tafadhalini futeni huu uzushi wa kulichafua Kanisa na watumishi wake. Video iliyoambatishwa kwenye uzi huu inaonyesha wazi kuwa lile ni sanduku la maombi na siyo sadaka,na pia inaonyesha wazi mchungaji amefungua bahasha na kutoa ile karatasi ndani ya bahasha na kuirudisha ndani ya sanduku. JF inaanza kupoteza mwelekeo kwa kuonekana inatumika kuchafua watu na taasisi.
 
Kwani hizo sadaka zinatolewa kwa ajili ya nini? Si ziwasaidie wachungaji? Wakale wapi kama hawajala kutoka kwa mikondoo yao?
 
Back
Top Bottom