Je, ni kweli Mtumishi wa KKKT Kijitonyama kadokoa sadaka madhabahuni?

Hata ukitumia akili ya kawaida utaona kuwa huo ni uzushi,huyo mchungaji anajua kuwa hapo kuna camera na pia yuko na watu wengine hapo atawezaje kujilipua kiasi hicho? Huu uzi umeletwa mahsusi kuzidi kuchochea mgogoro KKKT na mods nao wamekubali kushiriki kampeni hii chafu. Mbona zikianzishwa nyuzi za uzushi zikiihusu CCM faster tu zinafutwa na mhusika kupigwa ban.
 
Waafrika tutachezewa sana na viongozi wa hizi dini za kuletewa na maboti
 
Mwambie arudishe pesa ya watu kwanza
 
haonekani kama anaiba , angekua mwizi angekua na wasiwasi
 
Mama mwenye nguo nyeusi na miwani kapita na ten arudishe sadaka.
 
mkuu usipende ku romantisize kila kitu kwa nini asisubiri maombi yaishe kisha wachambue bahasha zenye pesa ya sadaka wazitenge? kukagua bahasha moja na kuondoka na pesa unaona ni sahihi?
 
SAsa mbona bahasha zingine hazijafunguliwa,
Bahasha za kuchoma huwa zote zinafunguliwa.
Pili kwann aifinye hela mkononi kwa siri? Mwambie huyo mtumishi arudishe hio ten.
Hawa ndio uwavunja moyo watu kutoa
 
mkuu usipende ku romantisize kila kitu kwa nini asisubiri maombi yaishe kisha wachambue bahasha zenye pesa ya sadaka wazitenge? kukagua bahasha moja na kuondoka na pesa unaona ni sahihi?
Hata ukiangalia dhamira unaona kabisa nia ya kukwapua ipo
 
Wizi ni roho na sio umasikini.
Pana mzee ana v8 tena la kwake alionekana Bank akipita na kiswaswadu yaani kitorch cha elf 30 bank mteja asisahau simu wakati anajaza formu.
Unaiba torch wakati unamiliki iphone.
Thus mwizi akikosa cha kuiba ujiibia mwenyewe hapa ishu ni spirit na sio uchumi.
 
Hivi kumbe kimaro ni mwanamke!!!
mona hapo mtumishi anayechukua pesa kwenye bahasha ni mwanamke aliyevaa miwani
au macho yangu yameona vibaya?
 
Hata ukiangalia dhamira unaona kabisa nia ya kukwapua ipo
kama ndio utaratibu wao huo wa kkkt basi kuna shida mahali maana hata makanisa haya ya kilokole ambayo nabii ndio top wa kila kitu hawawezi kufanya kitu cha hivi madhabahuni
 
Kwanini sasa hilo zoezi la kuhakiki bahasha zenye hela limefanyika kwa hiyo hahasha moja tu?
 
Kumbe nawe ni taahira?

Hujaona kwamba ametoa karatasi ya maombi ila akaondoka na hela iliyokuwa imewekwa pamoja na karatasi ya maombi?
 
Kula mchicha ni bei nafuu hizo ni bahasha za maombi huyo mwanamke katoa kikaratasi na sio pesa
Angalia vizuri tena!

Katoa karatasi ya maombi na hela, vyote vilikuwa kwenye bahasha moja ameondoka na hela ila karatasi ameiacha
 
πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ‘‡
Your browser is not able to display this video.
 
Huo mfumo wa kuombea sadaka sio wa ki KKKT, labda ndio maana Kimaro aliondolewa. Sadaka unashikashika za nini? Maombi unaandika kwenye barua? Mi najua watu wanatakiwa watoe sadaka Ila wainuizie kwa Imani mioyoni mwao Yale wanayotaka Mungu awatendee
Aliondolewa kisa boksi la maombi?
Hivi barua ilitolewa kusema sababu na kanisa lenu la KKKT?

Imesemwa tayari yupo bado anarudi baada ya likizo hiyo kuendelea kama Mchungaji Kiongozi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…