Je, ni kweli mwanamke mwenye kitambi hupoteza mvuto?

dah mademu michepuko mna mambo mnatamani mjitengeneze wenyewe.hivi unajua uzuri wa mke sio sura bali ni tabia.wanawake mama zetu ila mna laana ya kumkosoa muumba na hii hamtopona siku ya hesabu.mnapenda kukosoa maaumbile ya wenzenu kuliko kukosoa tabia
 
Mhhh hawakumpenda tu. Mie ninacho na nimeolewa, na mume wangu ananipendaaaaaaaaa, na mtoto nimezaaa, na naongeza mwingine sooon! Na mume wangu hastuki na habari hana. Mwambie kama kitambi hakitoko basi yy akae tu atatokea wa kumpenda tu na atamwoa na kitambi chake. Mwanaume akikupenda haangalii hayo.... Anaengalia hayo ujue wewe sio flavor yake! Mapenzi ni kama kuchagua kinywaji sio wote wanakunywa fanta.... Wengine wanakunywa clubsoda na wanaenjoooooooy
 
Mie napenda mwanamke mwenye kitambi kiasi ebu nipe namba yake uyo tuwasiliane
 
Kiukweli mimi binafsi sipendi mwanamke mwenye kitambi.Wanawake waelewe kua kukitokea mabadiliko kwenye miili yenu,hasa vitambi,mnatuweka kwenye hali ngumu kwani mnapunguza mvuto.
Na huo ndo mwanzo wa kutafuta mpango wa pembeni.
 
M napenda wanawake wenye matumbo nkiangalia vitovu vyao uwa naweza kupiga magoli hata kumi
 
Masimango jman Queen
 
Mwambie ajiamini na kujipenda mwili wake kama atafanya mazoezi afanye kwa afya ila sio kwa kujistress kwamba ili kitambi kipotee. Asijisumbue kwenye mapenzi kwa maana hata wakaka wenye vitambi wapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…