simbamzeewamwakidila
JF-Expert Member
- May 4, 2013
- 1,447
- 378
Maji mengi?Si kweli,tumbo linatoka ukiamua,afanye mazoez ya tumbo aache uvivu kabisa.naamin ukifanya mazoez linatoka,pia akiamka asbuh kitu cha kwanza anywe maji ya vuguvugu glass kama mbili.
Apendelee kunywa sana maji kuliko kula.
Happy with my english figure[emoji28][emoji1][emoji106]mm nakunywa mpk three to four litres per day
Umeonaee
Dawa ya kitambi ni mazoezi best
Mwambie anitafute huyu nimtrain 3 months likiendelea basi aende kwenye maombiHabari za mida hii wapedwaaa???
Msaada:::: Nina rafiki yangu ana kitambii si kikubwa sanaa ila kinaonekanaa mfano akivaa blauzi ya kumbanaa..... Mara nyingi huwa analalamika analichukia tumboo lake na amejaribu kufanya mazoezi kashidwaaa...... Na anaogopa kuingia kwenye relationship coz hapo awali aliwahi kutoka na wanaume wawili kwa nyakati tofauti wakawa wanamsema vibaya kuhusu tumbo lake(kitambi)
Kwahiyo anaogopa kuingia tena kwenye mahusiano ......anahisi atatedwaa tena kutokana na tumbo lakeee...
......swali::je nikweli wanaume wengi hawapendi mwanamke awe na kitambii!!!?? Na km umetokea kumpenda msichana alafu ana kitambi nawewe hukipendi utafanyajeee????
USHAURI: Je, kuna njia nyingine anayoweza kuitumia ili kitambi kipungue km si kuisha kabisaaa????
akiyafata haya hakika takua kafanya la maana.Maji mengi?
Kweli jirani haitamchosha. Itamsaidia sana.Duuuuu asee jiranii we kibokooo yani umri huo alionao akaruke rede
Kwani atakuwa anatafutwa na nani wakati huo?Je mabadiliko kwa wanaume? Alikupenda ukiwa portable. Anakumudu. Leo umekuwa Bonge nyanya. Jamaa akitafutwa haonekani anaishia juu ya makende.
Kale ka kitambi ka kufutia simu mkuu ndo nakazimiaSakayo wewe unapenda mwanaume mwenye kitambi?
Jamaa ninayemtaja ni kibamia aka carrotKwani atakuwa anatafutwa na nani wakati huo?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Jamaa ninayemtaja ni kibamia aka carrot
Mwanamke mwenye kitambi ni shida sana kunako 6X6 maana kifo cha jamaa unaona kama kuna kagunia kamewekwa katika tumbo. Ukute kafungasha, hapo ni lazima utafute ngazi ili kibamia kiweze kuingia. Mwanamke lazima upige vita kitambi CC JovithaSi kweli,tumbo linatoka ukiamua,afanye mazoez ya tumbo aache uvivu kabisa.naamin ukifanya mazoez linatoka,pia akiamka asbuh kitu cha kwanza anywe maji ya vuguvugu glass kama mbili.
Apendelee kunywa sana maji kuliko kula.
Happy with my english figure[emoji28][emoji1][emoji106]mm nakunywa mpk three to four litres per day
Acha njaa hizo mpaka unaexpose mawasiliano yako kizembe namna hii.Mi nawapenda sana wanawake wenye vitambi.tuwasiliane 0654031078.
Hahaha[emoji23][emoji23][emoji23]kama gunia.mazoez muhim sn daily uvivu ndo unawaponzaMwanamke mwenye kitambi ni shida sana kunako 6X6 maana kifo cha jamaa unaona kama kuna kagunia kamewekwa katika tumbo. Ukute kafungasha, hapo ni lazima utafute ngazi ili kibamia kiweze kuingia. Mwanamke lazima upige vita kitambi CC Jovitha
Vitambi vyote ni kula kula (wanasingizia kuzaa = mbona Zari yupo vizuri pamoja na kuwa na watoto 5?) asikwambie mtu. Unafakamia makuku, michemsho, mabia etc http://www.mwananchi.co.tz/habari/F...ama-uzembe/1597578-3927950-12n2mrr/index.htmlHahahakama gunia.mazoez muhim sn daily uvivu ndo unawaponza