Sang'udi
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 9,138
- 22,236
#kataawahuniTatizo ni hao wahuni kwa sasa wanazua mambo ya kutunga kila siku.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
#kataawahuniTatizo ni hao wahuni kwa sasa wanazua mambo ya kutunga kila siku.
Uongo mtupu.
Bashiru na Polepole wamefanya kazi isiyo tia shaka kwa ccm na watanzania
Polepole na Bashiru inatakiwa wakafie jelaTaarifa zilizopo zinadai kwamba baada ya Polepole kuanza kubishana na wenye nchi huku akimkosoa Mwenyekiti wake Kuhusu awamu ya sita tayari mkakati WA kuwahoji yeye na Bashiru Kuhusu fedha mbalimbali walizoidhinisha kutumika na hazionekani kufika Kwa walengwa. Mchakato huu unaelezwa kuwa mkakati wakunyamazisha watu wanaoibuka na kutaka kumkwamisha Mwenyekiti wakati watu hao hakuna SIKU wamewahi kumwoji JPM.
Swali, je watavumulia kuhojiwa nakwenda mahakama ya mafisadi au watakaa kimya na kwenda kuomba radhi kama Nape? Wakinyamazishwa watakuwa watii Kwa chama Cha mapinduzi? Ikumbukwe tayari dhambi ya ubaguzi ndani ya CCM imeanza kufanya kazi na Bashiru anaitwa mwana CUF huku kauli mbiu ya kurejesha chama Kwa wanachama ikipamba moto. Gwajima aliona gereza la mahabusu akanyamaza, tusubiri Polepole na bashiru
Wote wezi watupu haoUongo mtupu.
Bashiru na Polepole wamefanya kazi isiyo tia shaka kwa ccm na watanzania
Badala ya kuwahoji wale wahuni waliotengeneza mgao wa umeme bandia na kuingia mkataba na wahindi kuendesha tanesco na kununua 'Satellite monitoring' kwa gharama ya shilingi bilioni 70, mnaenda kuwahoji wazalendo Bashiru na HPP!Taarifa zilizopo zinadai kwamba baada ya Polepole kuanza kubishana na wenye nchi huku akimkosoa Mwenyekiti wake Kuhusu awamu ya sita tayari mkakati WA kuwahoji yeye na Bashiru Kuhusu fedha mbalimbali walizoidhinisha kutumika na hazionekani kufika Kwa walengwa. Mchakato huu unaelezwa kuwa mkakati wakunyamazisha watu wanaoibuka na kutaka kumkwamisha Mwenyekiti wakati watu hao hakuna SIKU wamewahi kumwoji JPM.
Swali, je watavumulia kuhojiwa nakwenda mahakama ya mafisadi au watakaa kimya na kwenda kuomba radhi kama Nape? Wakinyamazishwa watakuwa watii Kwa chama Cha mapinduzi? Ikumbukwe tayari dhambi ya ubaguzi ndani ya CCM imeanza kufanya kazi na Bashiru anaitwa mwana CUF huku kauli mbiu ya kurejesha chama Kwa wanachama ikipamba moto. Gwajima aliona gereza la mahabusu akanyamaza, tusubiri Polepole na bashiru
Naona safari hii mafisadi na wahuni wamejipanga kwelikweli kunyamazisha kila mtu anayetoa sauti. Yajayo yanasikitisha!!Polepole na Bashiru inatakiwa wakafie jela
Hebu weka nyama kidogo hapoGwajima aliona gereza la mahabusu akanyamaza,
Ni kweli waliwasumbua sana mafisadi na wahuni ila kwa sisi wanyonge tuko pamoja nao iwe mvua au jua.Kama hizo tetesi ni za kweli hiyo ni habari njema. Hawa watu walisumbua sana na ndo walikuwa mstari wa mbele kuvuruga uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu.
Wote wezi watupu haoUongo mtupu.
Bashiru na Polepole wamefanya kazi isiyo tia shaka kwa ccm na watanzania
Bashiiiru na Polepole inatakiwa waminywe kisawasawa, iwe mfano kwa wapuuzi Wengine,Naona safari hii mafisadi na wahuni wamejipanga kwelikweli kunyamazisha kila mtu anayetoa sauti. Yajayo yanasikitisha!!
Weka ushahidi hii sheria sio ya baba yako yakuminya watu hovyo hovyo bila makosaWote wezi watupu hao
Bashiiiru na Polepole inatakiwa waminywe kisawasawa, iwe mfano kwa wapuuzi Wengine,
Lengo wamkwamishe Rais na wapindue mamlaka kenge hao
Ya kuwanunua kina gekuli na waitara???????Uongo mtupu.
Bashiru na Polepole wamefanya kazi isiyo tia shaka kwa ccm na watanzania
Polepole alifanya mradi wa kununua wapinzani. Leo kageuka mtetetezi. Mwizi mkubwa huyu.Taarifa zilizopo zinadai kwamba baada ya Polepole kuanza kubishana na wenye nchi huku akimkosoa Mwenyekiti wake Kuhusu awamu ya sita tayari mkakati WA kuwahoji yeye na Bashiru Kuhusu fedha mbalimbali walizoidhinisha kutumika na hazionekani kufika Kwa walengwa. Mchakato huu unaelezwa kuwa mkakati wakunyamazisha watu wanaoibuka na kutaka kumkwamisha Mwenyekiti wakati watu hao hakuna SIKU wamewahi kumwoji JPM.
Swali, je watavumulia kuhojiwa nakwenda mahakama ya mafisadi au watakaa kimya na kwenda kuomba radhi kama Nape? Wakinyamazishwa watakuwa watii Kwa chama Cha mapinduzi? Ikumbukwe tayari dhambi ya ubaguzi ndani ya CCM imeanza kufanya kazi na Bashiru anaitwa mwana CUF huku kauli mbiu ya kurejesha chama Kwa wanachama ikipamba moto. Gwajima aliona gereza la mahabusu akanyamaza, tusubiri Polepole na bashiru
unasemea WATZ mkeo na watoto au Ni hawa WATZ wote milioni 60+Uongo mtupu.
Bashiru na Polepole wamefanya kazi isiyo tia shaka kwa ccm na watanzania
Chemchem ya furaha amani.................................[emoji23][emoji23][emoji23]Tazama zramani utaona nchi nzuri, yenye mito na mabonde mengi ya nafaka.