Je, ni kweli tambi za Santa Lucia zimebadilishwa jina?

Je, ni kweli tambi za Santa Lucia zimebadilishwa jina?

Mwanadiplomasia Mahiri

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2019
Posts
491
Reaction score
1,907
Tambi za Santa Lucia zimeadimika sana kitaa, nikajikuta nauliza kwa wadau wa dukani wakaniambia ni kama zimebadilishwa jina na sasa zinaitwa Olivoila.

Yaani ni kama Tigo ilivyobadili jina na kuitwa Yas basi ndio hivyo hivyo kwa Santa Lucia.

Je, kuna ukweli kwenye hili?

IMG_4656.jpeg
 
Tambi za Santa Lucia zimeadimika sana kitaa, nikajikuta nauliza kwa wadau wa dukani wakaniambia ni kama zimebadilishwa jina na sasa zinaitwa Olivoila.

Yaani ni kama Tigo ilivyobadili jina na kuitwa Yas basi ndio hivyo hivyo kwa Santa Lucia.

Je, kuna ukweli kwenye hili?

View attachment 3180999
We kula tambi tu

Ova
 
Back
Top Bottom