Je, ni kweli Tanzania ni nchi ya wajinga?!

Je, ni kweli Tanzania ni nchi ya wajinga?!

Hata wewe kwa haya uliyoandika imejidhihirisha wazi ni mjinga. Badala ya kutetea nchi yako, kazi kupiga propaganda za kijinga za kuwatetea viongozi wajinga.
Huna akili kabisa
Wajinga endeleeni na kalele zenu zisizokuwa na maana yoyote wakati serikali ikiendelea na hatua zinazofuata.
 
Wajinga endeleeni na kalele zenu zisizokuwa na maana yoyote wakati serikali ikiendelea na hatua zinazofuata.
Sawa tu, waendelee..
Ikiwezekana hata ardhi badala ya kuwa chini ya Rais, wawakabidhi tu wawekezaji kwa muda usio na kikomo ili akili zitukae sawa.
 
Huoni kama kelele tulizopiga, zilimwogopesha Kamala Harris asituletee ujinga wao?
Na hili la Bandari zetu za Tanganyika, lazima tulipigie kelele tu. Kwamba watatusikia au watatupuuza, haijalishi, ila muda ndo utakaoamua.
Haiwezekani kupokonywa uhuru ambao wazee wetu waliutafuta kwa gharama kubwa sana.
Wengine hadi walipoteza maisha katika kutafuta uhuru wa nchi hii, halafu wapuuzi wachache tu kwa sababu ya kuendekeza tamaa ya mali, watuuze kwa bei nafuu, NEVER.
Jinga namba 1 hili hapa!.
IMG-20230621-WA0037.jpg
 
Kama sura yako haipo kwenye ile picha ya walioandamana jumatatu ile huna uhalali wa kumuita mwenzio mjinga .,.hakunaga shujaaa nyuma ya keyboard
Mimi nilkuwepo kabisa pale.
Ndo nilishikilia lile bango la bendera yetu tukufu ya Tanganyika.
😁😁
 
Hukusoma vita ya majimaji iliyoongozwa na shujaa Kinjekitile Ngwale?
Kina Mtemi Mirambo, Mtemi Isike, Mtemi Mkwawa, Mtemi ........ n.k

Unadhani walikufa wakipigania nini kwa unavyofikiria wewe?!

Nyinyi ni kati ya watu ambao ni wajinga wanaolitesa Taifa hili.

Tanzania haikupaswa kuwa hivi ilivyo kama ingekuwa na viongozi hodari na wenye akili zao kama JPM.

Tulipaswa kuwa superpower, si Afrika tu,, bali duniani.


Lakini kwa sababu ya ujinga na upuuzi wa baadhi (siyo wote) ya viongozi wetu na ambao hata hawakustahili kuwa viongozi, ila wamejikuta ni viongozi kwa sababu ya "connection", ndo maana tuko hapa tulipo!
Kifaranga analazimisha kutaga![emoji23][emoji23][emoji23]
Watu waliovaa magunia katika nchi hii, unadhani walivishwa magunia na nani?.

Wewe ni:
JamiiForums1886858926.jpg
 
Ipo siku watadondokea kwenye 18 za wathubutu, kilichoanza Urusi leo nani alikitegemea?
Ogopa watu wanaoonekana ni wajinga wajinga, maana siku wakiamua, huwa wanakuwa moto wa kuotea mbali.
Ombi kwa viongozi wetu; waache mambo ya kijinga kijinga katika nchi yetu. Wakumbuke nchi inawatunza na kuwafanya waishi "comfortably". Hivyo wanapaswa kulipa fadhila kwa nchi yetu badala ya kuendelea kutuchokoza na kutuchokonoa kila kunapokucha.
 
Tuangalie hapa tutapata majibu.
 
Tanzania kwa siku za hivi karibuni imedhihirisha kile ambacho Naibu waziri wa Afya Dk. Mollel aliwahi kusema; kwamba Tanzania wajinga ni wengi.

Kwa bahati mbaya sana hata viongozi wakubwa na wasaidizi wa Rais, nachelea kusema kwamba na wao wamejidhihirisha kwamba ni wajinga. Hii pamoja na mambo mengine, imekuja baada ya Mkataba wa Kimangungo-mangungo wa DP World.

Hivi kama kweli siyo ujinga na umbumbumbu, utaingia mkataba ambao hauna kikomo na wenye masharti ya kuondoa uhuru wa nchi na wananchi wake katika kutumia rasilimali walizojaaliwa na Mwenexi Mungu?!

Hivi kama kweli hatuongozwi na wajinga, mtatuleteaje mkataba ambao tayari Rais alishasaini yapata mwaka mzima huko nyuma, eti tuujadili (kupitia wawakilishi wetu wabunge ambao pia wamedhirisha ni wajinga wa kutupwa!?)? Kama siyo ujinga huu, nini basi??

Viongozi wengi wa Tanzania ni waoga!
Wengi wako kwa ajili ya maslahi ya matumbo yao wenyewe na familia zao.
Na huwezi kuutenganisha uoga na ujinga. Wengi wanajidhalilisha kwa kutetea mambo ya kijinga ili tu waendelee kuwepo kwenye nafasi zao au wapewe promotion!
Hivi kweli hadi lini tutaendelea kuongozwa na wajinga wa aina hii?!

Mwisho, japo siyo kwa umuhimu; mjinga huwa hapendi kukosolewa, maana utashangaa baada ya ujumbe huu kusomwa na wanajamvi (ambao pia wajinga ni wengi), utashangaa uzi unatoweka kwenye mazingira ya kutatanisha na kumfuatilia mwandishi badala ya kuhangaika na kuondokana na ujinga!

Hatuwezi kuendelea kushuhudia mambo ya kijinga yakifanywa na viongozi wajinga yakiendelea katika nchi yetu.

Yaani kina Nyerere walifanya juhudi za kututoa utumwani, halafu wajinga wachache wanataka kuturidisha huko tena kwa bei chee kabisa; HAIWEZEKANI.

Amandraaaaaaaa..................

Aluta continua.
Hapana . Ni ya werevu na majiniazi. Kwa mfano Msukuma.
 
Tanzania kwa siku za hivi karibuni imedhihirisha kile ambacho Naibu waziri wa Afya Dk. Mollel aliwahi kusema; kwamba Tanzania wajinga ni wengi.

Kwa bahati mbaya sana hata viongozi wakubwa na wasaidizi wa Rais, nachelea kusema kwamba na wao wamejidhihirisha kwamba ni wajinga. Hii pamoja na mambo mengine, imekuja baada ya Mkataba wa Kimangungo-mangungo wa DP World.

Hivi kama kweli siyo ujinga na umbumbumbu, utaingia mkataba ambao hauna kikomo na wenye masharti ya kuondoa uhuru wa nchi na wananchi wake katika kutumia rasilimali walizojaaliwa na Mwenexi Mungu?!

Hivi kama kweli hatuongozwi na wajinga, mtatuleteaje mkataba ambao tayari Rais alishasaini yapata mwaka mzima huko nyuma, eti tuujadili (kupitia wawakilishi wetu wabunge ambao pia wamedhirisha ni wajinga wa kutupwa!?)? Kama siyo ujinga huu, nini basi??

Viongozi wengi wa Tanzania ni waoga!
Wengi wako kwa ajili ya maslahi ya matumbo yao wenyewe na familia zao.
Na huwezi kuutenganisha uoga na ujinga. Wengi wanajidhalilisha kwa kutetea mambo ya kijinga ili tu waendelee kuwepo kwenye nafasi zao au wapewe promotion!
Hivi kweli hadi lini tutaendelea kuongozwa na wajinga wa aina hii?!

Mwisho, japo siyo kwa umuhimu; mjinga huwa hapendi kukosolewa, maana utashangaa baada ya ujumbe huu kusomwa na wanajamvi (ambao pia wajinga ni wengi), utashangaa uzi unatoweka kwenye mazingira ya kutatanisha na kumfuatilia mwandishi badala ya kuhangaika na kuondokana na ujinga!

Hatuwezi kuendelea kushuhudia mambo ya kijinga yakifanywa na viongozi wajinga yakiendelea katika nchi yetu.

Yaani kina Nyerere walifanya juhudi za kututoa utumwani, halafu wajinga wachache wanataka kuturidisha huko tena kwa bei chee kabisa; HAIWEZEKANI.

Amandraaaaaaaa..................

Aluta continua.
Kuna mmoja aliwahi kusema yeye hashauriki, hii nchi hii
 
Back
Top Bottom