KING KIGODA
JF-Expert Member
- Dec 28, 2018
- 3,893
- 3,145
Wajinga endeleeni na kalele zenu zisizokuwa na maana yoyote wakati serikali ikiendelea na hatua zinazofuata.Hata wewe kwa haya uliyoandika imejidhihirisha wazi ni mjinga. Badala ya kutetea nchi yako, kazi kupiga propaganda za kijinga za kuwatetea viongozi wajinga.
Huna akili kabisa
Inasikitisha sanaNdiyo maana yake
Ova
Sawa tu, waendelee..Wajinga endeleeni na kalele zenu zisizokuwa na maana yoyote wakati serikali ikiendelea na hatua zinazofuata.
Jinga namba 1 hili hapa!.Huoni kama kelele tulizopiga, zilimwogopesha Kamala Harris asituletee ujinga wao?
Na hili la Bandari zetu za Tanganyika, lazima tulipigie kelele tu. Kwamba watatusikia au watatupuuza, haijalishi, ila muda ndo utakaoamua.
Haiwezekani kupokonywa uhuru ambao wazee wetu waliutafuta kwa gharama kubwa sana.
Wengine hadi walipoteza maisha katika kutafuta uhuru wa nchi hii, halafu wapuuzi wachache tu kwa sababu ya kuendekeza tamaa ya mali, watuuze kwa bei nafuu, NEVER.
Haya DP World.I
Ila mjinga ni wewe na nduguzo!
Huu mfuatano wa haya matukio, tuzidi kuyatarajia. Maana lengo ni kututoa kwenye masuala ya Bandari na siyo vinginevyo.Jinga namba 1 hili hapa!.View attachment 2667456
Mimi nilkuwepo kabisa pale.Kama sura yako haipo kwenye ile picha ya walioandamana jumatatu ile huna uhalali wa kumuita mwenzio mjinga .,.hakunaga shujaaa nyuma ya keyboard
Akitaka kujua wengine, tutamwongezea listiChukua maua yako mkuu[emoji257][emoji257]
Kifaranga analazimisha kutaga![emoji23][emoji23][emoji23]Hukusoma vita ya majimaji iliyoongozwa na shujaa Kinjekitile Ngwale?
Kina Mtemi Mirambo, Mtemi Isike, Mtemi Mkwawa, Mtemi ........ n.k
Unadhani walikufa wakipigania nini kwa unavyofikiria wewe?!
Nyinyi ni kati ya watu ambao ni wajinga wanaolitesa Taifa hili.
Tanzania haikupaswa kuwa hivi ilivyo kama ingekuwa na viongozi hodari na wenye akili zao kama JPM.
Tulipaswa kuwa superpower, si Afrika tu,, bali duniani.
Lakini kwa sababu ya ujinga na upuuzi wa baadhi (siyo wote) ya viongozi wetu na ambao hata hawakustahili kuwa viongozi, ila wamejikuta ni viongozi kwa sababu ya "connection", ndo maana tuko hapa tulipo!
Ogopa watu wanaoonekana ni wajinga wajinga, maana siku wakiamua, huwa wanakuwa moto wa kuotea mbali.Ipo siku watadondokea kwenye 18 za wathubutu, kilichoanza Urusi leo nani alikitegemea?
Kuanzia raia hadi viongozi wa juu kabisa!Nchi imejaa wajinga tupu
Ni ukweli tupuKuanzia raia hadi viongozi wa juu kabisa!
Hapana . Ni ya werevu na majiniazi. Kwa mfano Msukuma.Tanzania kwa siku za hivi karibuni imedhihirisha kile ambacho Naibu waziri wa Afya Dk. Mollel aliwahi kusema; kwamba Tanzania wajinga ni wengi.
Kwa bahati mbaya sana hata viongozi wakubwa na wasaidizi wa Rais, nachelea kusema kwamba na wao wamejidhihirisha kwamba ni wajinga. Hii pamoja na mambo mengine, imekuja baada ya Mkataba wa Kimangungo-mangungo wa DP World.
Hivi kama kweli siyo ujinga na umbumbumbu, utaingia mkataba ambao hauna kikomo na wenye masharti ya kuondoa uhuru wa nchi na wananchi wake katika kutumia rasilimali walizojaaliwa na Mwenexi Mungu?!
Hivi kama kweli hatuongozwi na wajinga, mtatuleteaje mkataba ambao tayari Rais alishasaini yapata mwaka mzima huko nyuma, eti tuujadili (kupitia wawakilishi wetu wabunge ambao pia wamedhirisha ni wajinga wa kutupwa!?)? Kama siyo ujinga huu, nini basi??
Viongozi wengi wa Tanzania ni waoga!
Wengi wako kwa ajili ya maslahi ya matumbo yao wenyewe na familia zao.
Na huwezi kuutenganisha uoga na ujinga. Wengi wanajidhalilisha kwa kutetea mambo ya kijinga ili tu waendelee kuwepo kwenye nafasi zao au wapewe promotion!
Hivi kweli hadi lini tutaendelea kuongozwa na wajinga wa aina hii?!
Mwisho, japo siyo kwa umuhimu; mjinga huwa hapendi kukosolewa, maana utashangaa baada ya ujumbe huu kusomwa na wanajamvi (ambao pia wajinga ni wengi), utashangaa uzi unatoweka kwenye mazingira ya kutatanisha na kumfuatilia mwandishi badala ya kuhangaika na kuondokana na ujinga!
Hatuwezi kuendelea kushuhudia mambo ya kijinga yakifanywa na viongozi wajinga yakiendelea katika nchi yetu.
Yaani kina Nyerere walifanya juhudi za kututoa utumwani, halafu wajinga wachache wanataka kuturidisha huko tena kwa bei chee kabisa; HAIWEZEKANI.
Amandraaaaaaaa..................
Aluta continua.
Kuna mmoja aliwahi kusema yeye hashauriki, hii nchi hiiTanzania kwa siku za hivi karibuni imedhihirisha kile ambacho Naibu waziri wa Afya Dk. Mollel aliwahi kusema; kwamba Tanzania wajinga ni wengi.
Kwa bahati mbaya sana hata viongozi wakubwa na wasaidizi wa Rais, nachelea kusema kwamba na wao wamejidhihirisha kwamba ni wajinga. Hii pamoja na mambo mengine, imekuja baada ya Mkataba wa Kimangungo-mangungo wa DP World.
Hivi kama kweli siyo ujinga na umbumbumbu, utaingia mkataba ambao hauna kikomo na wenye masharti ya kuondoa uhuru wa nchi na wananchi wake katika kutumia rasilimali walizojaaliwa na Mwenexi Mungu?!
Hivi kama kweli hatuongozwi na wajinga, mtatuleteaje mkataba ambao tayari Rais alishasaini yapata mwaka mzima huko nyuma, eti tuujadili (kupitia wawakilishi wetu wabunge ambao pia wamedhirisha ni wajinga wa kutupwa!?)? Kama siyo ujinga huu, nini basi??
Viongozi wengi wa Tanzania ni waoga!
Wengi wako kwa ajili ya maslahi ya matumbo yao wenyewe na familia zao.
Na huwezi kuutenganisha uoga na ujinga. Wengi wanajidhalilisha kwa kutetea mambo ya kijinga ili tu waendelee kuwepo kwenye nafasi zao au wapewe promotion!
Hivi kweli hadi lini tutaendelea kuongozwa na wajinga wa aina hii?!
Mwisho, japo siyo kwa umuhimu; mjinga huwa hapendi kukosolewa, maana utashangaa baada ya ujumbe huu kusomwa na wanajamvi (ambao pia wajinga ni wengi), utashangaa uzi unatoweka kwenye mazingira ya kutatanisha na kumfuatilia mwandishi badala ya kuhangaika na kuondokana na ujinga!
Hatuwezi kuendelea kushuhudia mambo ya kijinga yakifanywa na viongozi wajinga yakiendelea katika nchi yetu.
Yaani kina Nyerere walifanya juhudi za kututoa utumwani, halafu wajinga wachache wanataka kuturidisha huko tena kwa bei chee kabisa; HAIWEZEKANI.
Amandraaaaaaaa..................
Aluta continua.
Sio nchi ya wajinga ila ni nchi ya watu wasiojijal na wepesi kusahau na kusamehe na weng hawajitambui ila sio wajinga ni jinsi ya maisha waliochagua kuishi ndo inakuchanganya
mjinga anaandika ujinga ili aonekane mwerevuSawa, kwa sababu ukiongozwa na mjinga, lazima na wewe uwe mjinga.
Like leader like followers
Sasa mbona huku unatumia fake ID ? Weka majina yako halisi utambulikeMimi nilkuwepo kabisa pale.
Ndo nilishikilia lile bango la bendera yetu tukufu ya Tanganyika.
😁😁
Anza wewe MkuuSasa mbona huku unatumia fake ID ? Weka majina yako halisi utambulike