Bora yule, maana alikataa mikataba ya Kijinga kijinga aliyoikuta na alisema ukweli ambao hatukuwahi kuujua.Kuna mmoja aliwahi kusema yeye hashauriki, hii nchi hii
Kwani uongo? Nchi ya watu wasioweza kuhoji na kujisimamia wenyewe unashindwaje Kuwaita wajingaTanzania kwa siku za hivi karibuni imedhihirisha kile ambacho Naibu waziri wa Afya Dk. Mollel aliwahi kusema; kwamba Tanzania wajinga ni wengi.
Kwa bahati mbaya sana hata viongozi wakubwa na wasaidizi wa Rais, nachelea kusema kwamba na wao wamejidhihirisha kwamba ni wajinga. Hii pamoja na mambo mengine, imekuja baada ya Mkataba wa Kimangungo-mangungo wa DP World.
Hivi kama kweli siyo ujinga na umbumbumbu, utaingia mkataba ambao hauna kikomo na wenye masharti ya kuondoa uhuru wa nchi na wananchi wake katika kutumia rasilimali walizojaaliwa na Mwenexi Mungu?!
Hivi kama kweli hatuongozwi na wajinga, mtatuleteaje mkataba ambao tayari Rais alishasaini yapata mwaka mzima huko nyuma, eti tuujadili (kupitia wawakilishi wetu wabunge ambao pia wamedhirisha ni wajinga wa kutupwa!?)? Kama siyo ujinga huu, nini basi??
Viongozi wengi wa Tanzania ni waoga!
Wengi wako kwa ajili ya maslahi ya matumbo yao wenyewe na familia zao.
Na huwezi kuutenganisha uoga na ujinga. Wengi wanajidhalilisha kwa kutetea mambo ya kijinga ili tu waendelee kuwepo kwenye nafasi zao au wapewe promotion!
Hivi kweli hadi lini tutaendelea kuongozwa na wajinga wa aina hii?!
Mwisho, japo siyo kwa umuhimu; mjinga huwa hapendi kukosolewa, maana utashangaa baada ya ujumbe huu kusomwa na wanajamvi (ambao pia wajinga ni wengi), utashangaa uzi unatoweka kwenye mazingira ya kutatanisha na kumfuatilia mwandishi badala ya kuhangaika na kuondokana na ujinga!
Hatuwezi kuendelea kushuhudia mambo ya kijinga yakifanywa na viongozi wajinga yakiendelea katika nchi yetu.
Yaani kina Nyerere walifanya juhudi za kututoa utumwani, halafu wajinga wachache wanataka kuturidisha huko tena kwa bei chee kabisa; HAIWEZEKANI.
Amandraaaaaaaa..................
Aluta continua.
Dr. Msuku-**** siyo?!Hapana . Ni ya werevu na majiniazi. Kwa mfano Msukuma.
Mimi naamini watanzania sio wajinga bali ni watu wanaojali sana kufanikiwa kibinafsi !! Kwahiyo kila mtu kwa nafasi yake anaangalia wapi ataipata fursa ya kujipatia fweza kama yeye binafsi !!Tanzania kwa siku za hivi karibuni imedhihirisha kile ambacho Naibu waziri wa Afya Dk. Mollel aliwahi kusema; kwamba Tanzania wajinga ni wengi.
Kwa bahati mbaya sana hata viongozi wakubwa na wasaidizi wa Rais, nachelea kusema kwamba na wao wamejidhihirisha kwamba ni wajinga. Hii pamoja na mambo mengine, imekuja baada ya Mkataba wa Kimangungo-mangungo wa DP World.
Hivi kama kweli siyo ujinga na umbumbumbu, utaingia mkataba ambao hauna kikomo na wenye masharti ya kuondoa uhuru wa nchi na wananchi wake katika kutumia rasilimali walizojaaliwa na Mwenexi Mungu?!
Hivi kama kweli hatuongozwi na wajinga, mtatuleteaje mkataba ambao tayari Rais alishasaini yapata mwaka mzima huko nyuma, eti tuujadili (kupitia wawakilishi wetu wabunge ambao pia wamedhirisha ni wajinga wa kutupwa!?)? Kama siyo ujinga huu, nini basi??
Viongozi wengi wa Tanzania ni waoga!
Wengi wako kwa ajili ya maslahi ya matumbo yao wenyewe na familia zao.
Na huwezi kuutenganisha uoga na ujinga. Wengi wanajidhalilisha kwa kutetea mambo ya kijinga ili tu waendelee kuwepo kwenye nafasi zao au wapewe promotion!
Hivi kweli hadi lini tutaendelea kuongozwa na wajinga wa aina hii?!
Mwisho, japo siyo kwa umuhimu; mjinga huwa hapendi kukosolewa, maana utashangaa baada ya ujumbe huu kusomwa na wanajamvi (ambao pia wajinga ni wengi), utashangaa uzi unatoweka kwenye mazingira ya kutatanisha na kumfuatilia mwandishi badala ya kuhangaika na kuondokana na ujinga!
Hatuwezi kuendelea kushuhudia mambo ya kijinga yakifanywa na viongozi wajinga yakiendelea katika nchi yetu.
Yaani kina Nyerere walifanya juhudi za kututoa utumwani, halafu wajinga wachache wanataka kuturidisha huko tena kwa bei chee kabisa; HAIWEZEKANI.
Amandraaaaaaaa..................
Aluta continua.
Sawa mkuu, so ile 1.5 tr alisema ilipotelea wapi vile?Bora yule, maana alikataa mikataba ya Kijinga kijinga aliyoikuta na alisema ukweli ambao hatukuwahi kuujua.
Kama kuna kiongozi ambaye alikuwa transparent, basi ni huyo mnayemnanga kila kukicha licha ya kwamba hatunaye tena!
Hivi kweli kwa miradi iliyoanzishwa na huyo kiongozi unadhani kama tungekuwa si wajinga, unaweza kuhoji 1 5tr ilienda wapi?Sawa mkuu, so ile 1.5 tr alisema ilipotelea wapi vile?
WAJINGAMimi naamini watanzania sio wajinga bali ni watu wanaojali sana kufanikiwa kibinafsi !! Kwahiyo kila mtu kwa nafasi yake anaangalia wapi ataipata fursa ya kujipatia fweza kama yeye binafsi !!
Hapo sasa definition ya watu wa aina hiyo sijui utawaitaje !
Wengi huwa Wanasemaga hawawezi kuvipigania vitu ambavyo wao wanaamini haviwanufaishi individualy bali huwa vinawanufaisha baadhi ya watu waliopo pale panapogombewa !!Sio busara kuwaita watu wajinga ila kiukweli watanzania wengi wana uelewa mdogo
Mkuu umesema huyo jamaa wako alikuwa transparent sana, mimi nikuuliza swali dogo tu hiyo 1.5tr ilienda wapi ila sijauliza miradi kwani kila kiongozi anakuja na miradi yake. Kama unajua sema ilienda kwenye mradi flani. Nchi ukweli ilipitia kwenye tanuru la motoHivi kweli kwa miradi iliyoanzishwa na huyo kiongozi unadhani kama tungekuwa si wajinga, unaweza kuhoji 1 5tr ilienda wapi?
Fuatilia kwa uchache miradi ifuatayo:
1. JNHPP
2.SGR
3. JPM Bridge
4. Bombardiers
5. Madaraja
6. Hospitali kuanzia vituo vya afya hadi MNH n.k
Kama siyo mjinga, lazima uone aya kuhoji hela kiasi kidogo hicho kwamba iliendaga wapi.
Huo ni mtazamo wako. Endelea nao.Dr. Msuku-**** siyo?!
😁😁😁😁
Tuna safari ndefu sana kama Taifa kwa aina hii ya viongozi
SITISHWI WALA SITISHIKI.Kifaranga analazimisha kutaga![emoji23][emoji23][emoji23]
Watu waliovaa magunia katika nchi hii, unadhani walivishwa magunia na nani?.
Wewe ni:View attachment 2667463
Kabisa Mkuu, labda kiasi fulani cha ujinga kitatutoka raia na sisi tuwe wajinga kiasiCha kufanya ni 2025 kuwaondia wajinga Sana na tuwape wajinga kiasi,kwakua nchi mzima sisi ni wajinga
WAJINGA SANAWengi huwa Wanasemaga hawawezi kuvipigania vitu ambavyo wao wanaamini haviwanufaishi individualy bali huwa vinawanufaisha baadhi ya watu waliopo pale panapogombewa !!
Hivyo ndivyo wengi wanavyoamini ,
Sasa sijui watu wa namna hiyo utawaitaje !! ?
Ni kweli, lakini matokeo yake kama sisi wenyewe hatuto-appreciate, basi wajukuu wetu watafanya hivyoo.Mkuu umesema huyo jamaa wako alikuwa transparent sana, mimi nikuuliza swali dogo tu hiyo 1.5tr ilienda wapi ila sijauliza miradi kwani kila kiongozi anakuja na miradi yake. Kama unajua sema ilienda kwenye mradi flani. Nchi ukweli ilipitia kwenye tanuru la moto
Duh !WAJINGA SANA
We ndo mjinga.Huoni kama kelele tulizopiga, zilimwogopesha Kamala Harris asituletee ujinga wao?
Na hili la Bandari zetu za Tanganyika, lazima tulipigie kelele tu. Kwamba watatusikia au watatupuuza, haijalishi, ila muda ndo utakaoamua.
Haiwezekani kupokonywa uhuru ambao wazee wetu waliutafuta kwa gharama kubwa sana.
Wengine hadi walipoteza maisha katika kutafuta uhuru wa nchi hii, halafu wapuuzi wachache tu kwa sababu ya kuendekeza tamaa ya mali, watuuze kwa bei nafuu, NEVER.
Wewe ndo akili bado haijalukaa sawaSawa tu, waendelee..
Ikiwezekana hata ardhi badala ya kuwa chini ya Rais, wawakabidhi tu wawekezaji kwa muda usio na kikomo ili akili zitukae sawa.
You mean yule mshenzi wa Chato aliyetuwekea lile kusanyiko pale Dom!?Ni kweli, lakini matokeo yake kama sisi wenyewe hatuto-appreciate, basi wajukuu wetu watafanya hivyoo.
Iko siku huyo huyo mnayemnanga kila siku atatangazwa kuwa SHUJAA WA TAIFA WA MUDA WOTE..