Je, ni kweli udhamini GSM ni wa kimkakati?

EPL ipo chini ya FA kama independent structure na same applies to TPLB na TFF.
Hao lao MOJA.
Au Kuna kiongozi wa TPLB amelalamika?
Ila hauwezi kuacha bilioni 1 kisa kanuni.
Kitu ambacho kinarekebishika
Kuna timu ndogo hazina hela ya kujiendesha zitawasaidia
 
Wapi ulishawahi kuona jezi ya yanga au Simba imeandikwa Azam? We dhamini ligi haya matakataka yako ya nembo bandikeni kwenu hata kwenye uso
sio uso tuu hata kwenye nyapu za wake zao wabandike tuu
 
kama ni mkataba wao basi wanaweza kupewa hizo logo za GSM wakazivaa wao na mahawala zao na sio Simba.

kwani wao hawana bega la kushoto???
Duuuuh🤣🤣🤣🤣
 
ona hii mbwa, azamu ana logo ambazo zinapaswa kuvaliwa???
Kweli mmepagawa, yaani mmekuwa watu wa matusi, kulalamika na kulialia, yote hii inaonesha jinsi mlivyo wachovu uwanjani kwaio mnatafuta sababu ionekane mnaonewa/mnahujumiwa
 
Mtu anaambiwa GSM ndio mtengenezaji wa vifaa vya Yanga kama jezi nk,itakuaje timu kama simba ivae hiyo nembo wakat wanae mtengenezaji wao ambae ni vunjabei huoni kama kutakuwa na mgongano wa kimaslah? Anajibu kwani GSM udhamini wao ni wa kutengeneza jezi?[emoji3] Hapa sasa sasa nakubaliana na alichowahi kusema manara pale Yanga ukimtoa babaake na Kikwete tu, waliobaki wote hawana akili!!!
 
Kwa akili ya kawaida tu unaweza toa 2B ili uchukue ubingwa wa 500M?
 
Udhamini wa GSM KWENYE ligi utawasaidia vipi yanga kuchukua ubingwa?
Watu wana bwabwaja tu nmeuliza Simba ikivaa nembo ya GSM watacheza chini ya kiwango? au huo udhamini una uhusiano gani na matokeo
 
Yanga inaendeshwa kihuni wameshindwa kutafuta hata mwanasheria awasaidie huo upuuzi wao usiokuwa na mbele wala nyuma.
Hapa upuuzi wa Yanga upo wapi ww fala?
Mambo ya Gsm na Tff hayo wew unakurupuka tu.
 
jitoeni kwenye ligi
 
Hapa upuuzi wa Yanga upo wapi ww fala?
Mambo ya Gsm na Tff hayo wew unakurupuka tu.
Manara umehamia huku mpaka matusi tena
Ila nyie yanga ni vilaza sana hamjui sheria ndo maana mnapigwa faini mmeshindwa ya Morrison mtaweza huo upuuzi wenu wa kihuni pole manara hatuvai uhafu kwenye jezi yetu itabaki mo extra vilevile.
 
Watu wana bwabwaja tu nmeuliza Simba ikivaa nembo ya GSM watacheza chini ya kiwango? au huo udhamini una uhusiano gani na matokeo
Mimi Simba,Yule yanga.
Ndo kitu kinachotumaliza.
Nia yao kuwafanya wapanic na wamefanikiwa
 
Mbona Azam hamkulalamika, kama mnalalamika hapa inabidi malalamike na Azam sababu tofauti na hapo ni double standards za ajabu.
Ulienda shule kusomea ujinga. Watu wengine bana wapuuuzi sana
 
TFF wamejishushia heshima kwa mara nyingine tena,mabango yametolewa.Tuna safar ndefu mno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…