Je, ni kweli udhamini GSM ni wa kimkakati?

sheria inasema huwezi kudhamini ligi km una maslahi ktk timu yyte iliyoko ktk ligi hiyo.

Mambo yote yanayolalamikiwa na Simba yapo kikanuni, MF. nembo nk.
hiyo sheria ni kifungu gani na cha ngapi naomba niione
 
hiyo sheria ni kifungu gani na cha ngapi naomba niione
ukielekezwa unafuatilia kujua Ni kifungu gani. Naweza kukwambia kufungu namba fulani ukaanza kubisha.Ingia mtandaoni tafuta .

Tatizo unadhani kila kitu ni porojo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…