Je, ni kweli udhamini GSM ni wa kimkakati?

Je, ni kweli udhamini GSM ni wa kimkakati?

Sie tunachojua mikia lazima mbandike nembo ya GSM kwenye vijora vyenu vya vunja bei
Utarudi hapa kwa aibu ,Simba havai nembo ya gsm na hakuna kitu atafanywa ,Ni Mambo mawil tu ama kalia apewe burn ya milele na FIFA au ligi yote ivurugike Sasa tuone mtapata wapi nguvu ya kubwata hapa jamvin ,maana hakuna yanga bila Simba au Simba bila yanga Hawa watu ili wawe walivyo lazima uwepo wao uwepo .

Tff Ni Malaya na Wana tamaa na Pesa lakin zinaenda kuwatokea puani ,Zama hizi sio za bla bla wasomi wamejaa kila Kona plus mitandao ndio Basi Tena kila kitu kipo wazi ,tuliendeshwa kindez Karne ya analogy Ila sio kwasasa ,uhuni mwisho kila kitu kitafuata kanuni na Sheria .

Kama ambavyo mligomea kuvaa nembo ya twiga mweupe na mkapenya bac mnaamin na hili mtapita.

Na lengo la gsm kuleta udhamin wa kihuni safar hii tunajua Ni kuzima aibu walizopata huko cas baina ya Morrison na kuwasahaurisha mandez wote wa uto Hilo Jambo ,na mlivyo vichwa panzi kweli mmejaa kwenye mbinu yao .
 
Azam Tv sio wadhamini wa ligi, isipokuwa wana haki za matangazo ya television ya ligi.

Kingine Azam haipo kwenye jezi ya timu, tofauti na timu anazozizamini.

Mkataba wa Gsm na TFF una makandokando mengi ya kikanuni. Kwanza kanuni hakuna sehemu zinaposema mdhamini mwenza anakaa kwenye jezi, isipokuwa mdhamini mkuu. Sasa kwa nini TFF walazimishe gsm akae kwenye jezi wakati ni mdhamini mwenza?

gsm ni kit supplier wa Yanga lakini baadhi ya timu zina kit supplier wengine ambao kiuhalisia ni washindani wa kibiashara wa gsm. Mfano Simba na polisi Tanzania wana vunjabei. Kuwaweka gsm na vunjabei kwenye jezi moja ambao ni washindani kibiashara hauoni ni mgongano wa kimaslahi?

Sikuwahi kudhania kama TFF na gsm ni mbumbumbu kiasi hiki.
Mkuu ni bora ungemquote jamaa nilemquote kuliko kuniquote mm. Ulichokiandika ndicho nilichokimaanisha ila in a very simple way.
 
Soka la Kiafrika ni la aina yake kabisa. Soka la Kiafrika lina utamaduni wake na mambo yake tofauti na soka la mataifa ya Ulaya. Ukifuatilia sana masuala ya ndani kwenye soka la Kiafrika unaweza jikuta unauchukia mchezo wenyewe.

Kuna vitu vinatokea kwenye soka letu badala ya kukuhuzunisha inabidi ufurahie. Juzi kati kuna baraka ilitokea kwenye Ligi yetu baada ya Kampuni ya GSM kuingia mkataba wa kuidhamini Ligi. Ni jambo la baraka ila ni baraka ambayo inaacha maswali mengi?

1. Je, ni sahihi kwa boss anayetaka kuwa na umiliki wa timu kudhamini Ligi ambayo anamiliki timu? Tumwangalie Eng. Hersi, Haji Manara na Senzo Masingiza ambao ni mabosi pale yanga na Frontmen kwenye timu na kampuni ya GSM ambao ndio walikuwepo kwenye utiaji wa SAINI pale TFF. Kwanini wao? Kwa picha ndogo tunayoipata ni kuwa GSM na YANGA ni kitu kimoja na ndio maana viongozi wake wa juu wanafanya kazi pande zote mbili. Kuna dhana inafichwa na tunazidi kufichwa mashabiki.

Mashabiki walio wengi wanatumia mwamvuli wa AZAM TV kutaka kupitisha mawazo yao lakini wanasahau kuwa Popat pale Azam FC hajawahi kukaa mezani na Mzee Tido Mhando kusaini mkataba wa haki ya Udhamini wa matangazo kupitia Television.

Na watetezi wanasahau kuwa Mzee Bakheresa hajawahi kuingia kamati ya Usajili ya Azam FC au kuonekana akijadili masuala ya timu live tena akiwa na benchi la Ufundi. Kama anafaya kuna ethics anafuata tofauti na Mzee Ghalib. Maboss wa GSM ndo wanasajili, wanalipa mishahara na kutoa bonus kadhaa, tukumbuke kauli ya Khalid Aucho.

2. Dhana ya Umiliki na Udhamini! Hapa ni mtego mkubwa. Ukweli ni upi? Hivi Yanga anadhaminiwa au anamilikiwa na GSM? Kabla hatujajibu swali hili tukumbuke kuwa Club ya Yanga na GSM wapo kwenye transformation kama ilivyo kwa Simba ambayo tiyari ishaanza kumilikiwa kwa 49% ya hisa zake na MO.

Nini nakiona? Endapo mchakato utakamilika inamaana GSM atakuwa anamiliki hisa asilimia kadhaa pale Yanga na probably 49% ya hisa zote na hivyo kuwa mmiliki. Je, wale tunaotetea udhamini wa GSM kwenye ligi kuwa hauna athari kwenye mpira wetu itakuwaje kesho mchakato ukikamilika rasmi? Ina maana kampuni inayomiliki timu, inadhamini ligi kuu ambayo timu hiyo inacheza.

3. Kwanini nguvu kubwa inatumika kuhalalisha udhamini huu? Udhamini wa Azam Tv ulipita bila kelele kubwa za wadau. Udhamini wa NBC ukapita bila kelele. Swali kwanini wadau wanautilia shaka udhamini huu? Hadi FCC kuingilia kati.

Hapa ndipo wenye jukumu la kuongoza soka letu wanapaswa kupatazama. Macho ya wadau wengi yanaona mbali na ndo maana wanahoji. Msemaji wa Timu, Mjumbe wa kamati ya usajili na mshauri (mtendaji mkuu) wa timu wanawakilisha kampuni kwenye utiaji saini wa issue nyeti then watu wanyamaze wasihoji? Hapana. Sio sahihi.

Nitakuwa mtu wa mwisho kuamini kuwa GSM na Yanga si kitu kimoja na udhamini huu sio kimkakati. Na soka hili lina aina yake kabisa.

Pesa kwenye soka letu inahitajika tena sana lakini tuangalie namna nzuri ya kupata udhamini wenye sura nzuri. Itakuwa sahihi zaidi kama GSM ataweka pesa yake CHAMPIONSHIP au LEAGUE ONE maana huko ndo hatutahoji sana.

Ni wakati sasa kuacha mpira uchezwe bila kelele zisizo za lazima. FAIR COMPETITION. Atakayesukuma kete yake vibaya kwenye hili asilaumu mbeleni. Heko kwa wale wanaohoji.
Mzee bakhresa anahusika vipi? Azam team ni ya yusuf na uhai ambayo inamiliki azam media ni ya yusuf
 
Yanga inaendeshwa kihuni wameshindwa kutafuta hata mwanasheria awasaidie huo upuuzi wao usiokuwa na mbele wala nyuma.
20211208_03565731704.jpg
 
Utarudi hapa kwa aibu ,Simba havai nembo ya gsm na hakuna kitu atafanywa ,Ni Mambo mawil tu ama kalia apewe burn ya milele na FIFA au ligi yote ivurugike Sasa tuone mtapata wapi nguvu ya kubwata hapa jamvin ,maana hakuna yanga bila Simba au Simba bila yanga Hawa watu ili wawe walivyo lazima uwepo wao uwepo .

Tff Ni Malaya na Wana tamaa na Pesa lakin zinaenda kuwatokea puani ,Zama hizi sio za bla bla wasomi wamejaa kila Kona plus mitandao ndio Basi Tena kila kitu kipo wazi ,tuliendeshwa kindez Karne ya analogy Ila sio kwasasa ,uhuni mwisho kila kitu kitafuata kanuni na Sheria .

Kama ambavyo mligomea kuvaa nembo ya twiga mweupe na mkapenya bac mnaamin na hili mtapita.

Na lengo la gsm kuleta udhamin wa kihuni safar hii tunajua Ni kuzima aibu walizopata huko cas baina ya Morrison na kuwasahaurisha mandez wote wa uto Hilo Jambo ,na mlivyo vichwa panzi kweli mmejaa kwenye mbinu yao .
Kikubwa heshima na ndoa yenu na tff ivunjike maana karia na kidau waliwekwa pale na top m1 wa serikali ili tu kuwawezesha mikia wachukue ubingwa miaka 10 mfululizo,heshima imerudi na mikia mzunguko wa 5 tu wa ligi washapagawa,bado huko mbele ya safari mtapagawa hadi mkome,zile dharau sijui Yanga inakula matikiti sababu ya njaa kushney soon tunaanza kurudisha makombe yetu mtake msitake,tutaheshimiana hapa
 
Unamtofautisha vipi AZAM NA BAKHRESA?.
Nembo ya yanga na GSM VINAHUUSIANO GANI?
Je timu ya Simba Peke Yale ndo itavaa nembo ya GSM?
Msiwe na AKILI za UTOPOLO
 
Kwa wale wavivu wa kusoma, kwa ufupi sana(Summary)

"TFF HAWAJIELEWI"
kwani GSM ni kampuni ya yanga?
kweli watanzania hatuna AKILI.
Na tuna Safari ndefu ya kuelimika.
Nembo ya yanga inahuusiano upi na nembo ya GSM?
 
Baada ya kukosa ubingwa mara Nne mfululizo, Engineer ameona njia ya mkato ni Kuhonga TFF.

Halafu TFF wanapiga mkwara hakuna kuhoji mkataba wa TFF na GSM

Nakumbusha tu kuwa Mawakili wa Simba SC kwa Morrison kule CAS ndo watasimama katika hili NguvuMoja
Udhamini wa GSM KWENYE ligi utawasaidia vipi yanga kuchukua ubingwa?
 
kwani GSM ni kampuni ya yanga?
kweli watanzania hatuna AKILI.
Na tuna Safari ndefu ya kuelimika.
Nembo ya yanga inahuusiano upi na nembo ya GSM?
Mkuu angalia usije kuwa wewe ndio Mtanzania usie na Akili na sio wengine, GSM ni kit supplier wa Yanga na mfadhiri mkuu kwa sasa ambae muda wowote ataenda kupata umiliki wa hisa za umiliki wa club

Team zingine ikiwemo Simba ina mikataba na kit supplier wa makampuni mengine, let's say Vunjabei anadhamini Simba na polisi kama sikosei, Leo hii akakae kwenye jersey moja na kit supplier wa team ingine we huoni kama kuna mgongano wa kimaslahi? Umewahi kuwaona Adidas na Nike kwenye jersey 1?

Kingine katiba ya TFF imeelezea vizuri kabisa juu ya mdhamini Mkuu wa ligi anatakiwa kukaa wapi kwenye jersey za team zote zinazoshiriki ligi kuu bara, na hakuna sehemu inamtaka mdhamini mwenza akae kwenye jersey, hii ya safari hii imetokea wapi?

GSM sio wadhamini wenza wa kwanza kupatikana katika ligi ya Tanzania na hao hawajawahi kukaa kwenye jersey zaidi ya kwenye mabango na kutambulika tu kama wadhamini wenza imekuaje kwa GSM ikae kwenye jersey na katiba inatumika ile ile ya miaka yote?

Kinachoonekana kuna harufu ya rushwa imetumika ili kukiuka baadhi ya kanuni zao wao wenyewe na ndomana wakati watu wanaanza kuhoji uhalali wa udhamini huu TFF ilitoa tamko kuwa watu hawaruhusiwi kuhoji Kwani huo mkataba ni kati ya TFF na GSM

Ni kama vile GSM wamefanya kuikomoa Simba na kufurahisha mashabiki wao kwamba Simba amevaa nembo yetu na sioni kama kulikuwa na dhamira ya kweli ya kudhamini ligi na kama ingekuepo basi kanuni zingefatwa

Hakuna mahusiano ya moja kwa moja yaliyopo kati ya GSM kudhamini ligi na kuchukua ubingwa wa ligi kuu ila tatizo taratibu zinavunjwa ili tu GSM akae kwenye jersey ili iweje? Lengo hasa ni nini? Ukinijibu hayo maswali niliyouliza ndio nitaweza kujiweka namie kama ni miongoni mwa watanzania ambao hatuna Akili, ila ukishindwa basi utakuwa wewe ndio Mtanzania usie kuwa na Akili
 
Mkuu angalia usije kuwa wewe ndio Mtanzania usie na Akili na sio wengine, GSM ni kit supplier wa Yanga na mfadhiri mkuu kwa sasa ambae muda wowote ataenda kupata umiliki wa hisa za umiliki wa club

Team zingine ikiwemo Simba ina mikataba na kit supplier wa makampuni mengine, let's say Vunjabei anadhamini Simba na polisi kama sikosei, Leo hii akakae kwenye jersey moja na kit supplier wa team ingine we huoni kama kuna mgongano wa kimaslahi? Umewahi kuwaona Adidas na Nike kwenye jersey 1?

Kingine katiba ya TFF imeelezea vizuri kabisa juu ya mdhamini Mkuu wa ligi anatakiwa kukaa wapi kwenye jersey za team zote zinazoshiriki ligi kuu bara, na hakuna sehemu inamtaka mdhamini mwenza akae kwenye jersey, hii ya safari hii imetokea wapi?

GSM sio wadhamini wenza wa kwanza kupatikana katika ligi ya Tanzania na hao hawajawahi kukaa kwenye jersey zaidi ya kwenye mabango na kutambulika tu kama wadhamini wenza imekuaje kwa GSM ikae kwenye jersey na katiba inatumika ile ile ya miaka yote?

Kinachoonekana kuna harufu ya rushwa imetumika ili kukiuka baadhi ya kanuni zao wao wenyewe na ndomana wakati watu wanaanza kuhoji uhalali wa udhamini huu TFF ilitoa tamko kuwa watu hawaruhusiwi kuhoji Kwani huo mkataba ni kati ya TFF na GSM

Ni kama vile GSM wamefanya kuikomoa Simba na kufurahisha mashabiki wao kwamba Simba amevaa nembo yetu na sioni kama kulikuwa na dhamira ya kweli ya kudhamini ligi na kama ingekuepo basi kanuni zingefatwa

Hakuna mahusiano ya moja kwa moja yaliyopo kati ya GSM kudhamini ligi na kuchukua ubingwa wa ligi kuu ila tatizo taratibu zinavunjwa ili tu GSM akae kwenye jersey ili iweje? Lengo hasa ni nini? Ukinijibu hayo maswali niliyouliza ndio nitaweza kujiweka namie kama ni miongoni mwa watanzania ambao hatuna Akili, ila ukishindwa basi utakuwa wewe ndio Mtanzania usie kuwa na Akili
Yanga Wana hisa asilimia ngapi pale GSM?
ukijibu hili nitakuona.
AKILI UNAZO
 
Mkuu angalia usije kuwa wewe ndio Mtanzania usie na Akili na sio wengine, GSM ni kit supplier wa Yanga na mfadhiri mkuu kwa sasa ambae muda wowote ataenda kupata umiliki wa hisa za umiliki wa club

Team zingine ikiwemo Simba ina mikataba na kit supplier wa makampuni mengine, let's say Vunjabei anadhamini Simba na polisi kama sikosei, Leo hii akakae kwenye jersey moja na kit supplier wa team ingine we huoni kama kuna mgongano wa kimaslahi? Umewahi kuwaona Adidas na Nike kwenye jersey 1?

Kingine katiba ya TFF imeelezea vizuri kabisa juu ya mdhamini Mkuu wa ligi anatakiwa kukaa wapi kwenye jersey za team zote zinazoshiriki ligi kuu bara, na hakuna sehemu inamtaka mdhamini mwenza akae kwenye jersey, hii ya safari hii imetokea wapi?

GSM sio wadhamini wenza wa kwanza kupatikana katika ligi ya Tanzania na hao hawajawahi kukaa kwenye jersey zaidi ya kwenye mabango na kutambulika tu kama wadhamini wenza imekuaje kwa GSM ikae kwenye jersey na katiba inatumika ile ile ya miaka yote?

Kinachoonekana kuna harufu ya rushwa imetumika ili kukiuka baadhi ya kanuni zao wao wenyewe na ndomana wakati watu wanaanza kuhoji uhalali wa udhamini huu TFF ilitoa tamko kuwa watu hawaruhusiwi kuhoji Kwani huo mkataba ni kati ya TFF na GSM

Ni kama vile GSM wamefanya kuikomoa Simba na kufurahisha mashabiki wao kwamba Simba amevaa nembo yetu na sioni kama kulikuwa na dhamira ya kweli ya kudhamini ligi na kama ingekuepo basi kanuni zingefatwa

Hakuna mahusiano ya moja kwa moja yaliyopo kati ya GSM kudhamini ligi na kuchukua ubingwa wa ligi kuu ila tatizo taratibu zinavunjwa ili tu GSM akae kwenye jersey ili iweje? Lengo hasa ni nini? Ukinijibu hayo maswali niliyouliza ndio nitaweza kujiweka namie kama ni miongoni mwa watanzania ambao hatuna Akili, ila ukishindwa basi utakuwa wewe ndio Mtanzania usie kuwa na Akili
GSM ni kampuni ya kibiashara sio club ya MPIRA.
Yupo kimaslahi na kibiashara.
Amedhamini udhamini mwenza wa LIGI.
sio udhamini mwenza wa TIMU YA SIMBA
kwani hyo nembo ya GSM watavaa Simba Peke yao?
ushabiki wenu wa Simba na yanga una wahusu nini GSM?
Nisinunue bidhaa ya GSM kisa GSM anawadhamini yanga?
"MUWE MNATUMIA AKILI"
msiwe Kama utopolo.
 
Yanga Wana hisa asilimia ngapi pale GSM?
ukijibu hili nitakuona.
AKILI UNAZO
mkuu twende taratibu na ujibu kwa hoja kama ambavyo me nimekuuliza kwa hoja, haya Unaonaje kwanza ukijibu maswali yangu ili namie nikuone kama AKILI UNAZO then namie ukifikia wakati wa kujibu maswali yako nitajibu ili uone kama AKILI NINAZO
 
Back
Top Bottom