Mimi ni under 16 sijui jibu, waulizeni wakubwa.
Govi linanukaje?????? jamani usiombe kukutana na mwenye Govi. huwezi hata kulinyonya
Govi linanukaje?????? jamani usiombe kukutana na mwenye Govi. huwezi hata kulinyonya
shosti heheh.. Natamani kukuuliza maswali..
Ni tamu xana kusuguliwa na mwenye govi. Nadata kabisa kuliko aliyetoa.
unalimenya kabla hujalitia mdomoni....
acha kulihalalisha hilo sweta lako nenda katoe mkuu kabla hujakimbiwa halafu uje tena ulalamikeWadada/wamama wengi wanadai 'covered penis' japo haifai ktk mambo mengine yenye relation na s.e.x,kwenye majambozi (real action) ni 'tamu' zaidi kuliko 'uncovered ones'.Je, hoja hii ina ukweli wowote kitaalam au ndo hivyo tena mambo ya kitaa? Wataalam tuwekeeni sawa mambo haya.
je unajua Mungu aliagiza Ibrahim na watu wakiume wa nyumba yake watahiriwe? Hilo govi linabeba vijimelea vya magonjwa kirahisi halafu na Hii kansa ya mlango wa kizazi Unaweza kuisababisha kwa kuhamisha HPV kutoka kwa mwanamke mmoja hadi mwingine.Ni kweli kabisa kuwa wanawake wanafurahi zaid wakigegedwaa na wenye govi. Kuna sababu nyingi. Kwanza govi linahifadhi sensitivity ya kichwa. Kwa hiyo mwenye govi anafannya kwa utamu na hamasa zaid. Hiyo hamasa inaongeza mzuka kwa mama.
Kuwa govi linahifadhi bacteria inategemeana na personal hygiene ya mtu. Ni sawa na kinywa au ----. Ieleweke kuwa Mungu asingeliweka hilo govi angejua ni hatari kwa maisha ya binadamu.
Mimi sisapoti kampeni ya kutahiri eti kuzuia ukimwi. This is very misleading because it gives a wrong impression kuwa eti aliyetahiriwa hapati UKIMWI. Hata matokeo ya tafiti za kisayansi ziko very divided on this issue. Je UKIMWI ni kidogo kwenye jamii zenye utamaduni wa kutahiri kuliko jamii nyingine? Jibu halihitaji utafiti wa kisayansi.