Kuna siku tulikuwa ofisinii, topic was kuhusu magonjwa yasiyopewa kipaumbele yaani NTD, mabusha na matende yakiwemo. ilikuwa ni maongezi ya muda kidogo akina dada na akina mama walionekana kuvutiwa zaidi na maongezi yale. Daktari mmoja, MD alitokea na kuingilia zile story na alihiimisha kuwa tafiti zinaonesha kuwa wanawake wengi wana-enjoy zaidi wakifanywa na mtu mwenye govi kuliko aliiyetahiriwa kwani ile ngozi inakuwa inawasugua ovyo ovyo na hivyo wanasikia raha zaidi akaenda mbali zaidi kuwa hata wenye busha naao waanapendwa kwa sababu kile kitenesi huwa kinawaparaza mapajani hivyo ku-enjoy zaidi. katika jamii za kimasai wengi wao wanatahiriwa na kuachwa sehemu fulani ya nyama ili kusaidia kumkuna vema mwanamke wakati wa tendo hata mie nieachwa nacho kinasaidia kwa kweli!
Hata hvy alikiri kuwa ubaya wa govi ni ile kuhifandhi uchafu na hivyo kuzalisha bakteria wanaoweza kusababisha magonjwa!