Je, Ni kweli uume usiotahiriwa ni 'mtamu' zaidi panapo '6 kwa 6'?

Je, Ni kweli uume usiotahiriwa ni 'mtamu' zaidi panapo '6 kwa 6'?

je unajua Mungu aliagiza Ibrahim na watu wakiume wa nyumba yake watahiriwe? Hilo govi linabeba vijimelea vya magonjwa kirahisi halafu na Hii kansa ya mlango wa kizazi Unaweza kuisababisha kwa kuhamisha HPV kutoka kwa mwanamke mmoja hadi mwingine.

Very weak arguments!! The mouth, vagina, nostril, etc do also carry dangerous microorganisms!!
 
Mkuu umegusia Mungu kwamba kama govi halitakiwi mbona aliliumba.Kumbuka Mungu huyohuyo aliagiza kwenye Biblia kwamba watu wawe wanakatwa magovi,na alienda mbali zaidi kwa wayahudi kwa kuwaambia kwamba atakaekaidi kumkata govi ya sunga mtoto wake,basi Mungu atamuua mtoto huyo! Hivyo kukata govi ni agizo la Mungu si mwanadamu tu.
Ni kweli kabisa kuwa wanawake wanafurahi zaid wakigegedwaa na wenye govi. Kuna sababu nyingi. Kwanza govi linahifadhi sensitivity ya kichwa. Kwa hiyo mwenye govi anafannya kwa utamu na hamasa zaid. Hiyo hamasa inaongeza mzuka kwa mama.

Kuwa govi linahifadhi bacteria inategemeana na personal hygiene ya mtu. Ni sawa na kinywa au ----. Ieleweke kuwa Mungu asingeliweka hilo govi angejua ni hatari kwa maisha ya binadamu.

Mimi sisapoti kampeni ya kutahiri eti kuzuia ukimwi. This is very misleading because it gives a wrong impression kuwa eti aliyetahiriwa hapati UKIMWI. Hata matokeo ya tafiti za kisayansi ziko very divided on this issue. Je UKIMWI ni kidogo kwenye jamii zenye utamaduni wa kutahiri kuliko jamii nyingine? Jibu halihitaji utafiti wa kisayansi.
 
kumbe ni under16 nenda bac FB huku hakukufai
Kwani hili ni jukwaa la wakubwa tu? Mimi nadhani hapa kwa "JF daktari" kunatufaa hata sisi ambao vichuchu vinaanza kuchomoza kifuani, kumbe sivyo!
 
Ni kweli kabisa kuwa wanawake wanafurahi zaid wakigegedwaa na wenye govi. Kuna sababu nyingi. Kwanza govi linahifadhi sensitivity ya kichwa. Kwa hiyo mwenye govi anafannya kwa utamu na hamasa zaid. Hiyo hamasa inaongeza mzuka kwa mama.

Kuwa govi linahifadhi bacteria inategemeana na personal hygiene ya mtu. Ni sawa na kinywa au ----. Ieleweke kuwa Mungu asingeliweka hilo govi angejua ni hatari kwa maisha ya binadamu.

Mimi sisapoti kampeni ya kutahiri eti kuzuia ukimwi. This is very misleading because it gives a wrong impression kuwa eti aliyetahiriwa hapati UKIMWI. Hata matokeo ya tafiti za kisayansi ziko very divided on this issue. Je UKIMWI ni kidogo kwenye jamii zenye utamaduni wa kutahiri kuliko jamii nyingine? Jibu halihitaji utafiti wa kisayansi.


I concur...kwa aliyeuliza swali akitaka kujua ladha ya govi afikirie wanyama kama mbwa, ng'ombe au punda....kitu kinatoka kizima then kinashushwa ndani....atafute mbona wapo wengi....LOL


Mambo mengine haya...... tungekuwa tunaachwa mpaka tuwe watu wazima ili tuchague wenyewe aina ya maisha tunayotaka kuishi....kwani yale maumivu ya tohara somehow yana-retard hata growth ya dushelelee....kitu hichoo...mtu mpaka anarudisha hela...kulaa leki..
 
Serikali inafanya kampeni kwa tohala kwa wanaume, wakati Airtel Money wanasema : HAKATWI MTU HAPA: sijui tufuate lipi? Ila nchi za kusini mwa Africa, Zambia, Malawi, Zimbambwe ni AirTel Money.

Body without head
 
Kwani hili ni jukwaa la wakubwa tu? Mimi nadhani hapa kwa "JF daktari" kunatufaa hata sisi ambao vichuchu vinaanza kuchomoza kifuani, kumbe sivyo!

Ndio vinaanza? utakomaa mapema mdogo wangu, hata cjui uingie wapi labda uwe unacheck matangazo madogomadogo, jokes, siasa kwa kuwa unasoma darasani na technology kama wapenda mambo ya IT.

uSIBISHANE NA WAKUBWA HUMU UNAWEZA KULIA WAKIKUAMULIA. uSIWAJIBU WAKUBWA SAWA MDOGO WANGU?
 
Madame B ebu njoo pande hii utoe mchango, me cjawahi kutana na govi bado.
 
Last edited by a moderator:
Kuna siku tulikuwa ofisinii, topic was kuhusu magonjwa yasiyopewa kipaumbele yaani NTD, mabusha na matende yakiwemo. ilikuwa ni maongezi ya muda kidogo akina dada na akina mama walionekana kuvutiwa zaidi na maongezi yale. Daktari mmoja, MD alitokea na kuingilia zile story na alihiimisha kuwa tafiti zinaonesha kuwa wanawake wengi wana-enjoy zaidi wakifanywa na mtu mwenye govi kuliko aliiyetahiriwa kwani ile ngozi inakuwa inawasugua ovyo ovyo na hivyo wanasikia raha zaidi akaenda mbali zaidi kuwa hata wenye busha naao waanapendwa kwa sababu kile kitenesi huwa kinawaparaza mapajani hivyo ku-enjoy zaidi. katika jamii za kimasai wengi wao wanatahiriwa na kuachwa sehemu fulani ya nyama ili kusaidia kumkuna vema mwanamke wakati wa tendo hata mie nieachwa nacho kinasaidia kwa kweli!

Hata hvy alikiri kuwa ubaya wa govi ni ile kuhifandhi uchafu na hivyo kuzalisha bakteria wanaoweza kusababisha magonjwa!

Kumbe ndo mana wanasema ya masai tamu zaid eeh! Ngja nianze kujipendekeza niujue utam wa ngoma
 
Very weak arguments!! The mouth, vagina, nostril, etc do also carry dangerous microorganisms!!
tunaangalia kiasi cha hatari kwa kulinganisha matokeo ya hao vijimelea husika. So hilo govi likibeba wadudu na saa zingine sperms za mwanaume mwenzio toka kwa mwanamke uliyelala nae huko ukamletea mwanamke wako ni sawa tu kwako?
 
Ndio vinaanza? utakomaa mapema mdogo wangu, hata cjui uingie wapi labda uwe unacheck matangazo madogomadogo, jokes, siasa kwa kuwa unasoma darasani na technology kama wapenda mambo ya IT.

uSIBISHANE NA WAKUBWA HUMU UNAWEZA KULIA WAKIKUAMULIA. uSIWAJIBU WAKUBWA SAWA MDOGO WANGU?
Duuuuuuuuuh! Unafaa kwa ushauri nasaha!
 
tunaangalia kiasi cha hatari kwa kulinganisha matokeo ya hao vijimelea husika. So hilo govi likibeba wadudu na saa zingine sperms za mwanaume mwenzio toka kwa mwanamke uliyelala nae huko ukamletea mwanamke wako ni sawa tu kwako?

Still very weak and mediocre arguments!!
 
Wadada/wamama wengi wanadai 'covered penis' japo haifai ktk mambo mengine yenye relation na s.e.x,kwenye majambozi (real action) ni 'tamu' zaidi kuliko 'uncovered ones'.Je, hoja hii ina ukweli wowote kitaalam au ndo hivyo tena mambo ya kitaa? Wataalam tuwekeeni sawa mambo haya.

Tripple H inaonekana wewe ni mfurukutwa na mpinzani wa kampeni dhiti ya Mkono Sweta!!
 
Back
Top Bottom