Je, Ni kweli uume usiotahiriwa ni 'mtamu' zaidi panapo '6 kwa 6'?

Je, Ni kweli uume usiotahiriwa ni 'mtamu' zaidi panapo '6 kwa 6'?

Kuna jamaa zangu toka kanda flan kwa vyovyote watasapoti kuwa govi ni dili coz wao hawakatwagi,kubali usikubali govi si issue maze,wadada mpo huku tuambieni ukwel govi na cone kipi kitamu.
 
Hiyo ngumu kubaki na govi, isipokuwa msiwatahiri watoto mapema sana subirini mpaka miaka 10 hivi.
 
Kwani hili ni jukwaa la wakubwa tu? Mimi nadhani hapa kwa "JF daktari" kunatufaa hata sisi ambao vichuchu vinaanza kuchomoza kifuani, kumbe sivyo!

panakufaa mwaya wala usitoke ila usiende kujaribu hili la govinda.
 
Hilo janga Mungu aliniepusha nalo. sijawahi hata kuona so sipati picha likoje. Yuck!!
 
Kupenda utamu 'uliopindukia' umewaponza wengi katika nyanja mbali mbali za maisha... Be careful. Control your desires.
 
Ndio vinaanza? utakomaa mapema mdogo wangu, hata cjui uingie wapi labda uwe unacheck matangazo madogomadogo, jokes, siasa kwa kuwa unasoma darasani na technology kama wapenda mambo ya IT.

uSIBISHANE NA WAKUBWA HUMU UNAWEZA KULIA WAKIKUAMULIA. uSIWAJIBU WAKUBWA SAWA MDOGO WANGU?

....unampa ushauri bibi kizee huyo...
 
duh!!!..kumbe magovi pia..ni sukari ya warembo....ningejuaa nisingekata..
 
Ni kweli kabisa kuwa wanawake wanafurahi zaid wakigegedwaa na wenye govi. Kuna sababu nyingi. Kwanza govi linahifadhi sensitivity ya kichwa. Kwa hiyo mwenye govi anafannya kwa utamu na hamasa zaid. Hiyo hamasa inaongeza mzuka kwa mama.
Kuwa govi linahifadhi bacteria inategemeana na personal hygiene ya mtu. Ni sawa na kinywa au ----. Ieleweke kuwa Mungu asingeliweka hilo govi angejua ni hatari kwa maisha ya binadamu.
usiingize mambo ya MUNGU hapa, ni kitabu gani kimeandikwa MUNGU wetu amruhusu GOVI? Soma Kitabu cha Mwanzo kuhusu Ibrahimu (Abramu)
HEBU NENDENI MKATAHIRIWE kupunguza uchafu huo
ninyi km mna MANYWELE na kucha HAMTAKATA au kuoga kwa vile MUNGU hajaeleza

 
usiingize mambo ya MUNGU hapa, ni kitabu gani kimeandikwa MUNGU wetu amruhusu GOVI? Soma Kitabu cha Mwanzo kuhusu Ibrahimu (Abramu)
HEBU NENDENI MKATAHIRIWE kupunguza uchafu huo
ninyi km mna MANYWELE na kucha HAMTAKATA au kuoga kwa vile MUNGU hajaeleza


Saf kabisa kwa kumuelewesha inaonyesha haijui biblia
 
govi baya ukienda bwawani au ziwani unakataa kuogerea na wenzako
 
Govi lina athari wala halina utamu wowote, kwanza govi linanuka sana !! Lol , bora ukutane na harufu ya mavi kuliko harufu ya govi. Hicho kinyama wanachosema kinaongeza utamu sio kweli maana ikisimama vizuri rombo kile kinyama kinasukumwa ndani afu akiingiza kwenye maku.inatangulia kichwa kisicho na ngozi yoyote, govi lina tunza uchafu, mtu mwenye govi akipata u.t.i kupona kwake ni shida, lol sitaki hata kulisikia vigo.
 
Me thijui


Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom