Je, Ni kweli uume usiotahiriwa ni 'mtamu' zaidi panapo '6 kwa 6'?

Je, Ni kweli uume usiotahiriwa ni 'mtamu' zaidi panapo '6 kwa 6'?

Utamu wa sukari ni mpaka ulambe siokusimuliwa
Wadada/wamama wengi wanadai 'covered penis' japo haifai ktk mambo mengine yenye relation na s.e.x,kwenye majambozi (real action) ni 'tamu' zaidi kuliko 'uncovered ones'.Je, hoja hii ina ukweli wowote kitaalam au ndo hivyo tena mambo ya kitaa? Wataalam tuwekeeni sawa mambo haya.
 
Issue ni ladha sio dini
Mkuu umegusia Mungu kwamba kama govi halitakiwi mbona aliliumba.Kumbuka Mungu huyohuyo aliagiza kwenye Biblia kwamba watu wawe wanakatwa magovi,na alienda mbali zaidi kwa wayahudi kwa kuwaambia kwamba atakaekaidi kumkata govi ya sunga mtoto wake,basi Mungu atamuua mtoto huyo! Hivyo kukata govi ni agizo la Mungu si mwanadamu tu.
 
Ngoja nimsubiri badieby atoe ufafanuzi.Katika hili mchango wa wamama/wadada ni muhimu nadhani ndo wahusika haswa.
 
Wadada/wamama wengi wanadai 'covered penis' japo haifai ktk mambo mengine yenye relation na s.e.x,kwenye majambozi (real action) ni 'tamu' zaidi kuliko 'uncovered ones'.Je, hoja hii ina ukweli wowote kitaalam au ndo hivyo tena mambo ya kitaa? Wataalam tuwekeeni sawa mambo haya.

Mbona upo interested kufahamu radha yake? Jaribu basi kisha uje kuwaambia wenzio kama tamu ama chungu
 
Yapaswa kujua kila alichoumbiwa mwanadamu kina maana yake ila tu wanadamu kwa kujiona wana akili wameamua kujibadili ndo maana unaona leo wanabadilisha hadi maumbile,ndoa jinsia moja,wanawake wa kiafrika kuvaa nywele ndefu,kubadilisha rangi na mengine mengi kwa hiyo hata kutahiri ni matokeo tu ya mwanadamu kujiona ana akili na kuweza kumkosoa mungu
 
nasikia kwa Dada mmoja kwamba alikutana na govi ilamsafi anasema show yake alitamani kuachana nae Mme wake
 
kama unaweza kulirudisha nyuma kila ukikojoa, ukikutana na mwanamke ukaliosha vyema kila wakati liache tu aisee. wakati wakuingia kale kangozi kanapogusagusa pale mwanzo, kakigusa g spot ni shiiiida .
 
kama unaweza kulirudisha nyuma kila ukikojoa, ukikutana na mwanamke ukaliosha vyema kila wakati liache tu aisee. wakati wakuingia kale kangozi kanapogusagusa pale mwanzo, kakigusa g spot ni shiiiida .

Mh!That's why you are a single mother!Ulionja kwa baba kreluu hyo inayofanana na muhndi wenye maganda?
 
Govi ni tamu asikuambie mtu jamaa alitusimulia .kwa mwanaume ad mwanamke utamu kolea .yeyote ukiitaji kusuguliwa au kuliona govi ad ulie michozi kwa utamu mtafute huyo jamaa 0743158800.ni handsome balaa mademu mtaani kwetu kawamaliza..na wanamsifia sana..mpigie 0743158800..
 
Wadada/wamama wengi wanadai 'covered penis' japo haifai ktk mambo mengine yenye relation na s.e.x,kwenye majambozi (real action) ni 'tamu' zaidi kuliko 'uncovered ones'.Je, hoja hii ina ukweli wowote kitaalam au ndo hivyo tena mambo ya kitaa? Wataalam tuwekeeni sawa mambo haya.
Acha kujitetea wee govi, ukiingiza hilo govi lako kwenye shoti ya umeme dk sifuri unakauka! Nafikiri umenielewa!
 
Back
Top Bottom