Je, ni kweli Vumbi la Kongo linaongeza nguvu wakati wa kufanya mapenzi?

kaka hyo kitu noma sana mm ni shuhuda nilikaa km lisaa napiga mfululizo bila kukojo,yaan mmmh unaeza ukakesh mpk asubh bila kuchoka baadae takutumia namba ya mshkaj aliyeniuzia,nilimpata humuhumu
Naitaka pia
 
Sasa kama ulikuwa unatumia dakika moja, halafu vumbi linakusaidi unatumia dakika arobaini,

Wapi kwenye Possibility ya kupata michubuko? Grow up!
Unatest zali la HIV sio? kajarib siku moja utletee mrejesho.
 
Mapenzi ni starehe jamaan sio kutesana hivyo na mavumbi ya congo sasa hapo mtu utasikia utamu au kutesana tu

Kabisa.

Vijana wa Leo wanataka hii kitu iwe Kama vita!?
 
Mnataka kumkomoa nani? Badala ya kuwafurahisha wapenzi wenu wataanza kuwakimbia.
 
Kabisa.

Vijana wa Leo wanataka hii kitu iwe Kama vita!?
Na ukiona mpenzi wako anatumia madawa ya kuongeza nguvu jua hakupendi anataka kukutesa eti masaa upo kifuani tu mbona nitakusukuma
 
Kumbe hilo vumbi ni hatar kwa afya zetu mweeeeh
 
Usijitafutie maradhi
 
Kumbe hilo vumbi ni hatar kwa afya zetu mweeeeh

Hazifai.

Mwanamke anayependa kuwa kwenye game muda mrefu anafurahia game.

Ila, Kwa kijana madhara yake atayaona baada ya miaka miwili ijayo, maana hata kukojoa mkojo wa kawaida vijana wengi watakuwa hawawezi itabidi wakojoreshwe kama vitoto vidogo.

Ila Nikiandika hivi wauzaji wa vumbi wanaona nawapeperushia ndege wao. Lakini wao hawasemi madhara ya hizo dawa!!
 
Kama utapita mitaa ya tandika ukimkuta msela yoyote walioweka meza zile wanaouza uza viatu na nguonguo muulizie wapi unaweza kupata kilemba basi apo utakuwa umepata vumbi la kongo
 
Sawa, ila lazima INA side effect;!! kazi kwenu mnaofanya ngono kama jihad!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…