Je, ni kweli Waislamu mnakatazwa kuhudhuria mazishi ya kikristo?

Je, ni kweli Waislamu mnakatazwa kuhudhuria mazishi ya kikristo?

Huyo shekhe wa Tiktok atakua hana hata D ya mchongo,atakuwa ni Shehena huyo
Sheikh wa TikTok Yuko sahihi kabisa.
Aliyoyazungumza ndiyo yaliyoandikwa kwenye vitabu vinaelezea taratibu za kuzikana katika uislamu.
Katika uislamu anapokufa mwislamu mwenzetu sisi tunawajibika kumfanyia mambo manne (4)
1. Kumuosha.
2. Kumvika sanda.
3. Kumswalia.
4. Kumzika. Na kati ya mambo hayo manne hakuna hata moja tuloruhusiwa kumfanyia mtu aliyekufa hali ya kuwa ni mfuasi wa dini tafauti na uislamu.
Kwa maana akifa mtu nje ya dini ya kiislamu,
A. Haturuhusiwi kumuosha.
B. Haturuhusiwi kumvika sanda.
C. Haturuhusiwi kumswalia.
D. Na haturuhusiwi kumzika isipokuwa kama amefia katika mazingira ambayo hamna wafuasi wa dini yake hapo tutaruhusiwa kumfukia kwenye shimo la aina yoyote mbali na makazi ya watu na pia mbali na makaburi ya waislamu ili asije akatunukia pale ambapo itakuwa hakuna wafuasi wa dini yake wa kumzika kwa taratibu zao.
 
Nawashangaa hao wanaokuja!.
Mimi mama yangu alisilimu toka ukristo na hadi leo wajomba zangu wengi bado ni wakristo na hadi leo sitii mguu kwenye misiba yao kwakuwa taratibu zao za kuzikana ziko kinyume na taratibu za dini yangu.
Hapo bado unajiona una dini kabisaa?
 
Sheikh wa TikTok Yuko sahihi kabisa.
Aliyoyazungumza ndiyo yaliyoandikwa kwenye vitabu vinaelezea taratibu za kuzikana katika uislamu.
Katika uislamu anapokufa mwislamu mwenzetu sisi tunawajibika kumfanyia mambo manne (4)
1. Kumuosha.
2. Kumvika sanda.
3. Kumswalia.
4. Kumzika. Na kati ya mambo hayo manne hakuna hata moja tuloruhusiwa kumfanyia mtu aliyekufa hali ya kuwa ni mfuasi wa dini tafauti na uislamu.
Kwa maana akifa mtu nje ya dini ya kiislamu,
A. Haturuhusiwi kumuosha.
B. Haturuhusiwi kumvika sanda.
C. Haturuhusiwi kumswalia.
D. Na haturuhusiwi kumzika isipokuwa kama amefia katika mazingira ambayo hamna wafuasi wa dini yake hapo tutaruhusiwa kumfukia kwenye shimo la aina yoyote mbali na makazi ya watu na pia mbali na makaburi ya waislamu ili asije akatunukia pale ambapo itakuwa hakuna wafuasi wa dini yake wa kumzika kwa taratibu zao.
Kwa hiyo unafuata yote yaliyoamriwa na uislam? Unafiki tu
 
Sasa wewe una bisha nini, na huo msiba wa mkristo ana hudhuria kwa ruhusa ya nani, nani alimuona aki do hivo , kila kitu kipo wazi, shiriki kwa kumpinga ALLAH sawa ni juu yako
Bro hamia Afghanistan ndiyo utaishi kwa raha. Unaonekana unafuata yote yaliyoandikwa na uislamu
 
Khaswaa! Dini ninayo ila haifanani na dini yako kabisa!. Wewe una dini yako na mimi Nina dini yangu.
Of course, ila moja ni imeanzishwa na mtu muongomuongo sana, jua linazama kwenye ziwa la matope🤣
 
Of course, ila moja ni imeanzishwa na mtu muongomuongo sana, jua linazama kwenye ziwa la matope🤣
Afadhali dini yangu aliyeianzisha anajulikana !. Wewe dini yako hata aliyeianzisha humjui !.
 
Afadhali dini yangu aliyeianzisha anajulikana !. Wewe dini yako hata aliyeianzisha humjui !.
Ninamjua, na huwezi kuijua dini yangu kuliko mimi. Kamwe. Dini yangu haijaanzishwa na story za uongo za kuungaunga.
 
Back
Top Bottom