Je, ni kweli Waislamu mnakatazwa kuhudhuria mazishi ya kikristo?

Je, ni kweli Waislamu mnakatazwa kuhudhuria mazishi ya kikristo?

Wewe utakuwa mtoto wa wale watumwa waliokuwa wakibakwa na Muddy. Au umetokana na uzao wa kale katoto Aisha. Ndo maana umebeba akili za baba yako mzinzi,mwasherati,muuaji,mbakaji na mchafu kabisa. Au ndo uliyenyonywa uboh na muddy ukiwa mdogo?
Wakiristo wenzio wanakucheka humu
 
Wakiristo wenzio wanakucheka humu
Wewe utakuwa mtoto wa wale watumwa waliokuwa wakibakwa na Muddy. Au umetokana na uzao wa kale katoto Aisha. Ndo maana umebeba akili za baba yako mzinzi,mwasherati,muuaji,mbakaji na mchafu kabisa. Au ndo uliyenyonywa uboh na muddy ukiwa mdogo? Mama yako huyu hapa.
Screenshot_2024-11-05-15-10-21-300_org.mozilla.firefox~2.jpg
 
Mazishi ni ibada

Kila mtu achunge ibada zake

Muislamu akihudhuria misiba ya wakristo Kuna mambo hatakiwi kuyafanya

Yale yote yanayohusu ibada au imani zao

Hata mkristo hawezi kwenda kwenye msiba wa kiislamu kisha akamswalia maiti au kushiriki dua labda awe mnafiki.

Muislamu anaweza kwenda msibani kuwafariji na kushiriki baadhi ya shughuli zisizokuwa za ibada ya kikristo, wakianza ibada zao anatembea zake
NB
UISLAMU HAUTAKI UNAFKI NA KUJIONESHA KWA WATU
Kwa mtazamo wako huo, shekhe yupo sahihi, kwa maana shughuli ya maziko, toka mwanzo mpaka mwisho, ni ibada? Kwa maana kwenye maziko, utaratibu wote ni wa kidini kuanzia kwenye sala/swala, mpaka tendo la kumwingiza marehemu kaburini.

Ila haya mambo ya utengano kwenye maisha ya kijamii, ni upuuzi inaofanywa na sisi wapokea dini, tofauti na walioleta dini.

Kule Uturuki, Papa Francis alipotembelea nchi hiyo, shekhe mkuu aliruhusu na kuambatana na papa msikitini ambapo Papa na shekhe mkuu walifanya ibada ya pamoja.

Kule India, kuna eneo moja lina wakristo wengi na waislam idadi yao ni ndogo sana. Waislam wa mahali pale, hawana hata msikiti. Paroko wa kanisa la mahali pale aliruhusu waislam pia wawe wanafanyia ibada kanisani kuliko nje kwenye jua na mvua. Kanisa linatumika Ijumaa na waislam, Jumapili linatumika na wakristo.

Mafundisho ya dini zote yanasisitiza upendo. Upendo uko wapi kama huwezi kusaidiana na jirani au ndugu yako? Kuna watu wamechakachua mafundisho ya kweli, halafu wanaeneza chuki kupitia dini. Ninachoamini ni kuwa kama Mungu hataki dini fulani iwepo Duniani, hashindwi kuiangamiza au kuifuta, wala hahitaji msaada wa mwanadamu kuofuta au kuiadhibu. Dini zote zinafundisha kuwa Mungu ni muweza wa yote. Kilichopo kiwe kibaya au kizuri, kwa hekima yake, ameruhusu kiwepo. Tuendelee kufundishana yote yaliyo mema kwa kadiri ya mpango wa Mungu, lakini mwamuzi wa mwisho ni Mungu mwenyewe, maana yeye anayaona na kuyajua hata yale ambayo tuna uwezo wa kuyaficha kwa wanadamu wenzetu.

Watu wenhgi hawajui, ila kiuhalisia uislam na ukristo, kwenye masuala ya msingi ya kiimani, vinakaribiana sana kuliko dini yoyote. Wote wanaamini:
1) Uwepo wa Mungu mmoja (waislam hawatambui utatu mtakatifu)

2) Yesu Kristo/ Isa ni mteule wake Mungu, alizaliwa na Bikira Maria kwa njia ya muujiza, alipaa mbinguni akiwa na mwili, atarudi tena (waislam hawamtambui kama ni nafsi ya Mungu bali ni nabii, hawakubali kuwa alikufa msalabani kwa vile alikuwa mteule wake Mungu, atakaporudi itaitawala Dunia yote).

3) Upendo na huruma kwa maskini.

4) Kumpenda na kumtii Mungu

5) Wizi, uzinzi, kuabudu miungu n.k., ni dhambi

Tofauti Kubwa:
Wakristo, rejea mafundisho ya Masiha Yesu Kristo, wanaamini sana katika msamaha, kisasi ni cha Mungu; waislam wanaamini sana katika kuadhibu na kisasi. Hii inawafanya waislam kuwa na misimamo mikali dhidi ya wanayeamini ametenda dhambi, kama vile kuua wazinzi, kukata mikono wevi, kuwaua wanaomkufuuu Allah na mtume wake, n.k. Lakini wakati huo huo, Mtume Mohamad anasema kuwa yeye ni mfuasi namba moja wa Isa bin Mariam; na huyo anayesema yeye ni mfuasi wake namba moja, alisema kuwa tuwasamehe hata maadui zetu maana kama hatutawapenda maadui zetu, tukawapenda tu marafiki zetu, tutatofautiana vipi na wale wasiomjua Mungu, maana nao huwapenda marafiki zao na kuwachukia madui zao?


Al Jazeera

Pope Francis prays in Istanbul’s Blue Mosque​

Pope prays for stronger ties between Vatican and Islam during second leg of his three-day visit to Turkey.

Pope Francis has taken part in a Muslim prayer alongside the Grand Mufti of Istanbul on the second leg of his three-day visit to Turkey.
Francis stood on Saturday morning with his head bowed and hands clasped in front of him for two minutes of silent prayer inside the 17th-century Sultan Ahmet mosque, aiming to show respect for Islam and encourage stronger ties between the two faiths.
“May God accept it,” Rahmi Yaran, the Grand Mufti of Istanbul told the pope at the end of the prayer.
 
Haikatazwi kuhudhuria misiba ya wasio waislamu ila usivuke mipaka. Kwa mfano waislamu huwa hawaagi maiti kwa hivyo watu wakiwa wanaaga wewe unakaa pembeni. Na pia kwa upande wa wanawake hawatakiwi kwenda makaburini, sasa unakuta mwanamke muislamu lakini anaenda mpaka makaburini kuzika ndio mana mashehe wanagomba.
Na wewe ukienda huko kuzika hao wanawake wa kikristo huko msibani mnachangamana au la, pia hua hao wanawake huko hua wanavaa mavazi gan,
Na wewe hua una waangali tu,
Haya ile Misa , lisala na maombolezo hapo msibani masikio yako huwa yana sikia

Sasa wewe hapo unatokaje mbele ya mahakama ya Allah
Sikio lisikie uovu,
Jicho lione uovu
Mkono ushike ouvu
Ikisha hapo useme huna dhambi , mtume hakufundisha ayo unayo tetea
 
Kwa mtazamo wako huo, shekhe yupo sahihi, kwa maana shughuli ya maziko, toka mwanzo mpaka mwisho, ni ibada? Kwa maana kwenye maziko, utaratibu wote ni wa kidini kuanzia kwenye sala/swala, mpaka tendo la kumwingiza marehemu kaburini.

Ila haya mambo ya utengano kwenye maisha ya kijamii, ni upuuzi inaofanywa na sisi wapokea dini, tofauti na walioleta dini.

Kule Uturuki, Papa Francis alipotembelea nchi hiyo, shekhe mkuu aliruhusu na kuambatana na papa msikitini ambapo Papa na shekhe mkuu walifanya ibada ya pamoja.

Kule India, kuna eneo moja lina wakristo wengi na waislam idadi yao ni ndogo sana. Waislam wa mahali pale, hawana hata msikiti. Paroko wa kanisa la mahali pale aliruhusu waislam pia wawe wanafanyia ibada kanisani kuliko nje kwenye jua na mvua. Kanisa linatumika Ijumaa na waislam, Jumapili linatumika na wakristo.

Mafundisho ya dini zote yanasisitiza upendo. Upendo uko wapi kama huwezi kusaidiana na jirani au ndugu yako? Kuna watu wamechakachua mafundisho ya kweli, halafu wanaeneza chuki kupitia dini. Ninachoamini ni kuwa kama Mungu hataki dini fulani iwepo Duniani, hashindwi kuiangamiza au kuifuta, wala hahitaji msaada wa mwanadamu kuofuta au kuiadhibu. Dini zote zinafundisha kuwa Mungu ni muweza wa yote. Kilichopo kiwe kibaya au kizuri, kwa hekima yake, ameruhusu kiwepo. Tuendelee kufundishana yote yaliyo mema kwa kadiri ya mpango wa Mungu, lakini mwamuzi wa mwisho ni Mungu mwenyewe, maana yeye anayaona na kuyajua hata yale ambayo tuna uwezo wa kuyaficha kwa wanadamu wenzetu.

Watu wenhgi hawajui, ila kiuhalisia uislam na ukristo, kwenye masuala ya msingi ya kiimani, vinakaribiana sana kuliko dini yoyote. Wote wanaamini:
1) Uwepo wa Mungu mmoja (waislam hawatambui utatu mtakatifu)

2) Yesu Kristo/ Isa ni mteule wake Mungu, alizaliwa na Bikira Maria kwa njia ya muujiza, alipaa mbinguni akiwa na mwili, atarudi tena (waislam hawamtambui kama ni nafsi ya Mungu bali ni nabii, hawakubali kuwa alikufa msalabani kwa vile alikuwa mteule wake Mungu, atakaporudi itaitawala Dunia yote).

3) Upendo na huruma kwa maskini.

4) Kumpenda na kumtii Mungu

5) Wizi, uzinzi, kuabudu miungu n.k., ni dhambi

Tofauti Kubwa:
Wakristo, rejea mafundisho ya Masiha Yesu Kristo, wanaamini sana katika msamaha, kisasi ni cha Mungu; waislam wanaamini sana katika kuadhibu na kisasi. Hii inawafanya waislam kuwa na misimamo mikali dhidi ya wanayeamini ametenda dhambi, kama vile kuua wazinzi, kukata mikono wevi, kuwaua wanaomkufuuu Allah na mtume wake, n.k. Lakini wakati huo huo, Mtume Mohamad anasema kuwa yeye ni mfuasi namba moja wa Isa bin Mariam; na huyo anayesema yeye ni mfuasi wake namba moja, alisema kuwa tuwasamehe hata maadui zetu maana kama hatutawapenda maadui zetu, tukawapenda tu marafiki zetu, tutatofautiana vipi na wale wasiomjua Mungu, maana nao huwapenda marafiki zao na kuwachukia madui zao?


Al Jazeera

Pope Francis prays in Istanbul’s Blue Mosque​

Pope prays for stronger ties between Vatican and Islam during second leg of his three-day visit to Turkey.

Pope Francis has taken part in a Muslim prayer alongside the Grand Mufti of Istanbul on the second leg of his three-day visit to Turkey.
Francis stood on Saturday morning with his head bowed and hands clasped in front of him for two minutes of silent prayer inside the 17th-century Sultan Ahmet mosque, aiming to show respect for Islam and encourage stronger ties between the two faiths.
“May God accept it,” Rahmi Yaran, the Grand Mufti of Istanbul told the pope at the end of the prayer.
Wewe bwana acho kuokota vitu ovyo ovyo, waislamu tuna quraan, iliyopokelewa na mtume , ikisha kuna Sunnah, pia Hadith na maswahaba, pia kuna tabiin, alafu kuna maimau wakubwa wanne,

Katika Mtiririko hapo juu hayo mafundisho hayapo na hakuna aliyeye thubutu, wewe ni nani, huyo sheikh wa uturuki ni nani kumzidi mtume, au quraan au maswaha au tabiin, au maimamu, hizo ni porojo na utashi wake,

Uislamu una himiza upendo kwa wote, na hauna chuki kwa Iman nyingine ata mtume alipeleka ujumbe falme mbalimbali kwa amani na alifanikiwa, na watu walimfuata na kusilimu kwa sababu ya upendo na amani,

Lakini huo upendo wa ku mfanya muislamu akufuru na umuudhi Allah hapo HAPANA
 
Wewe utakuwa mtoto wa wale watumwa waliokuwa wakibakwa na Muddy. Au umetokana na uzao wa kale katoto Aisha. Ndo maana umebeba akili za baba yako mzinzi,mwasherati,muuaji,mbakaji na mchafu kabisa. Au ndo uliyenyonywa uboh na muddy ukiwa mdogo? Mama yako huyu hapa.
View attachment 3158386
Ila jamaa alikuwa kibaka
 
OooooH! Kumbe ni mkakati wa watu fulani wanaovaa baraghashia na kujitanda nguo nyekundu shingoni. Labda watawapata watakaochangia ujenzi wa madrasa.
Ata Christmas wamekatazwa kututakia kheri. Watch and learn
 
Nimemsikia sheeee uko tik tok kuwa muislamu anapo hudhuria ibada ya mazishi ya kikristo wakati yeye muislamu anakuwa amekiukya taratibu za kiislamu
Asipohudhuria mdibani mmuulize
Ila asipohudhuria mazishi ni sawa.

Mazishi ni ibada iwe kwa waislamu au wakristo na kila ibada ina taratibu zake na lazima zifuate na kutimia. Ikiwa mazishi ni ibada hakuna mkristo wala muislam anaeruhusiwa kushiriki ibada asiyoijua wala kuiamini.

Ila kwa upande wa msiba, hili ni jambo la wote haijalishi dini. Mtu yoyote akifiwa lazima watu wote wahudhurie mdibani, ikiwa ni pamoja na kutoa pole, kutoa msaada kwa wafiwa na mengine mengi yahusuyo msiba
 
Asipohudhuria mdibani mmuulize
Ila asipohudhuria mazishi ni sawa.

Mazishi ni ibada iwe kwa waislamu au wakristo na kila ibada ina taratibu zake na lazima zifuate na kutimia. Ikiwa mazishi ni ibada hakuna mkristo wala muislam anaeruhusiwa kushiriki ibada asiyoijua wala kuiamini.

Ila kwa upande wa msiba, hili ni jambo la wote haijalishi dini. Mtu yoyote akifiwa lazima watu wote wahudhurie mdibani, ikiwa ni pamoja na kutoa pole, kutoa msaada kwa wafiwa na mengine mengi yahusuyo msiba
Ahahaha mdibani ndio wapi
 
Ama kweli mtu wa kitabu! Hivi ww kila unalofanya au kutenda lipo kwenye kitabu?
Hoja iliyopo hapa ni kuhusu Uwepo wa katazo kwa mtu Mwislamu kushiriki mazishi ya mtu Mkristo. Labda iwe sijaielewa mada.
Ninajua kwamba wapo baadhi ya watu (wakiwemo Waislam wachache sana) hutoa visingizio vya Udini kwa kutohudhuria mazishi ya wakristo au hata ya Waislam wenzao madhehebu tofauti (Shia au Suni au Ahmadiya etc)lakini ukweli ni kwamba; ama ni wavivu au wanaogopa kufika maeneo ya makaburi n.k. halafu wanatumia udini kama kichaka cha kujificha kwa mambo yao.
Ninachokuthibitishia ni kwamba katazo la kutoshiriki mazishi ya makafiri lipo. Na ni kweli kwamba kila analolifanya muislamu lazima liwe lina maelekezo kutoka kwenye Quran au hadithi au tafsiri na maelekezo ya wanachuoni wanaotambulika.
Hauwezi kusema kuwa jambo fulani linafaa au halifai, ni halali au ni jaramu bila ushahidi wa kielimu toka kwenye vitabu vinavyotambulika na kukubalika.
Ikiwa mtume صل الله عليه وآله وسلم alikatazwa kufika kwenye kaburi la mnafiki basi hukumu hiyo inawahusu makafiri wote halifai kwenda kwenye makaburi yao.
 
Ninachokuthibitishia ni kwamba katazo la kutoshiriki mazishi ya makafiri lipo. Na ni kweli kwamba kila analolifanya muislamu lazima liwe lina maelekezo kutoka kwenye Quran au hadithi au tafsiri na maelekezo ya wanachuoni wanaotambulika.
Hauwezi kusema kuwa jambo fulani linafaa au halifai, ni halali au ni jaramu bila ushahidi wa kielimu toka kwenye vitabu vinavyotambulika na kukubalika.
Ikiwa mtume صل الله عليه وآله وسلم alikatazwa kufika kwenye kaburi la mnafiki basi hukumu hiyo inawahusu makafiri wote halifai kwenda kwenye makaburi yao.
Nanukuu: "Na ni kweli kwamba kila analolifanya muislamu lazima liwe lina maelekezo kutoka kwenye Quran au hadithi au tafsiri na maelekezo ya wanachuoni wanaotambulika."
OK. 1. Sasa ghorofa la K/K limeporomoka na ww upo hapo. Unaanza kutafuta Quran ili upate kifungu chenye maelekezo nn cha kufanya au ?
2. Umepata safari ya kuelekea Mwanza haraka e.g. ww ni Askari; kutoka kwa boss wako. Ww unaenda kutafuta kitabu chenye maelekezo?
3. Wewe umekuja hapa jukwaani na kuandika hiki ulichoandika. Naomba utoe ni kifungu gani kwenye Quran kilichokupa maelekezo.
 
Ata Christmas wamekatazwa kututakia kheri. Watch and learn
Basi hiyo ni dini ya ajabu sana inayohamasisha na kuelekeza kila aina ya njia ya kuongeza gap katika ubaguzi. By the way, hatupungukiwi na wala hawatuongezei chochote kwa wao kutoshiriki mambo ya Kikristo. Acha wakomae na hali zao.
 
za ndaaani kabisa inasemekana sio kosa Mwislamu kuua mtu asiyekuwa wa dini yake, Quran inaruhusu kabisa
Twende polepole bro.
1. Ni katika mazingira gani ijambo hilo linaruhusiwa?
2. Dini zipo nyingi tofauti. Waislamu nao wapo na utofauti katika kile wanachoamini. Sasa Ruksa imetolewa kwa misingi ya dhehebu au ??
 
Dah! Kwani ibada ya mazishi wanafanyiwa watu hai waliohudhuria hapo au anafanyiwa marehemu??
Mwislamu haruhusiwi kushiriki jambo lolote linaloendeshwa kinyume na taratibu za kiislamu zilizofundishwa na mtume Muhammad صلى الله عليه وآله وسلم
 
Back
Top Bottom