Iyerdoy
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,755
- 1,939
Nanukuu:Haikatazwi kuhudhuria misiba ya wasio waislamu ila usivuke mipaka. Kwa mfano waislamu huwa hawaagi maiti kwa hivyo watu wakiwa wanaaga wewe unakaa pembeni. Na pia kwa upande wa wanawake hawatakiwi kwenda makaburini, sasa unakuta mwanamke muislamu lakini anaenda mpaka makaburini kuzika ndio mana mashehe wanagomba.
"Haikatazwi kuhudhuria misiba ya wasio waislamu ila usivuke mipaka".
Swadakta. Hii 👆 👆 ni kauli dhabiti. Wanawake wa Kiislamu kama wanafahamu hilo sidhani wapo wanaokiuka - labda hawa wa kizazi kipya.