Al maktoum
JF-Expert Member
- Nov 23, 2022
- 499
- 678
Ni kweli. Yatakiwa waislamu wawaache wafu wazike wafu wao.Sio kweli
Kuzika ni ibada , na kama ni ibada ina taratibu zake, hafanyiwi kila mtu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli. Yatakiwa waislamu wawaache wafu wazike wafu wao.Sio kweli
Sidhani kama umefanya upembuzi yakinifu ndo ukaleta hitimisho hili kwamba Jf imekua kijiwe cha udini siku hizi. Tuthibitishie jambo hilo vinginevyo huo ni uzushi.Jf imekua kijiwe cha udini siku hizi
Kila mtu si ana dini na imani yake, sasa inakuwaje wachanganye ibada ya pamoja!Nimemsikia sheeee uko tik tok kuwa muislamu anapo hudhuria ibada ya mazishi ya kikristo wakati yeye muislamu anakuwa amekiukya taratibu za kiislamu
Kama huna ujualokunyamanza ni bora kuliko kutoa hukumu ya jambo usilolojua.Hakuna mahali ilipokatazwa. Huku kwetu, Jamii yote bila kujali Imani ya mtu wote tunashiriki mazishi awe mwislamu au mkristo au asiye na dini. - tunakutanaga kuanzia nyumbani kwa marehemu, Kanisani (tena ndani ya kanisa)hadi makaburini. Hakuna shida. La msingi hapo ni kuheshimu kinachoendelea.
Dah! Kwani ibada ya mazishi wanafanyiwa watu hai waliohudhuria hapo au anafanyiwa marehemu??Ni kweli. Yatakiwa waislamu wawaache wafu wazike wafu wao.
Kuzika ni ibada , na kama ni ibada ina taratibu zake, hafanyiwi kila mtu.
Wewe ndiye muislamu ubwabwa Wala huna ujualo katika dini yako.Siamini kama ni kweli. Na huyo atakuwa ni Shehe Ubwabwa tu
Ama kweli mtu wa kitabu! Hivi ww kila unalofanya au kutenda lipo kwenye kitabu?Kama huna ujualokunyamanza ni bora kuliko kutoa hukumu ya jambo usilolojua.
Nikikuuliza kitabu kinachoruhusu muislamu kumzika kafiri utakipata wapi?!
Kila siku humu wafia dini mnakaa mnatukanana humuSidhani kama umefanya upembuzi yakinifu ndo ukaleta hitimisho hili kwamba Jf imekua kijiwe cha udini siku hizi. Tuthibitishie jambo hilo vinginevyo huo ni uzushi.
Wewe unajua na umemezeshwa lisilo sahihi katika dini yako.Wewe ndiye muislamu ubwabwa Wala huna ujualo katika dini yako.
Aaah Bhana! Je; umewasahau wale jamaa wa kula tunda kimasihara, pisi kali na uchafu kama huo na nyuzi zilizosheheni kutukanana matusi ya nguoni?Kila siku humu wafia dini mnakaa mnatukanana humu
Ule ndo uzi bora kuliko nyuzi zote jfAaah Bhana! Je; umewasahau wale jamaa wa kula tunda kimasihara, pisi kali na uchafu kama huo na nyuzi zilizosheheni kutukanana matusi ya nguoni?
Ukishaona dini inapambana kutenganisha binadamu, ujue si ya Mungu.Nimemsikia sheeee uko tik tok kuwa muislamu anapo hudhuria ibada ya mazishi ya kikristo wakati yeye muislamu anakuwa amekiukya taratibu za kiislamu
Bado hujanielewa tu, mpaka hapo mimi siko tayari kutumika ktk kutangaza utamaduni wa mtu mwigine kwa sababu nilizaliwa mwafrika na nitakufa mwafrika. Period.Mkuu, kwa uislamu siyo lazima, nina maana ya kwamba haulazimishi kua muislamu, pia Allah hato pungukiwa chochote au kuzidi chochote wewe ukiwa muislamu au kutokua muislamu, hivo ni maamuzi yako
Acha uongo. Labda ulete hiyo clip kuthibitisha unachosema.Nimemsikia sheeee uko tik tok kuwa muislamu anapo hudhuria ibada ya mazishi ya kikristo wakati yeye muislamu anakuwa amekiukya taratibu za kiislamu
Huyo sheeee (kama yupo kweli) alichosema sio cha Mungu.Ukishaona dini inapambana kutenganisha binadamu, ujue si ya Mungu.
Hiyo ni juu yakoBado hujanielewa tu, mpaka hapo mimi siko tayari kutumika ktk kutangaza utamaduni wa mtu mwigine kwa sababu nilizaliwa mwafrika na nitakufa mwafrika. Period.
Hakuna dini nzuri na simple kama Uislamu ndugu yangu. Karibu katika UislamuUisilamu unamatatizo sana