Je, ni kweli Waislamu mnakatazwa kuhudhuria mazishi ya kikristo?

Je, ni kweli Waislamu mnakatazwa kuhudhuria mazishi ya kikristo?

ujafafanua Vizuri labda sababu ya ujinga wako na elimu yako ya Dini. Mazishi ni ibada na hizi ibada zimetofautia kuna ibada za kishetani yaani zimeanzishwa na binadamu mfano kuaga maiti kwa mara ya mwisho hiyo Muisilamu amekatazwa

lakini jirani akifa tunaruhusiwa kwenda msibani hayo mengine tunawaachia wenyewe
Matusi ya nini?
 
Kwanza ifahamike si kila mtu anayevaa kanzu au kujiita Sheikh ni Sheikh kweli,kwahiyo msiyapokee mambo kibubusa tu

Pili,Uislamu umeweka mkazo mkubwa sana katika utengamano na jamii,yani ni muhimu sana jamii kushirikiana kwa hali na mali,ndio maana ujirani katika mtazamo wa kiislamu ni jambo kubwa na muhimu sana.

Mtume Muhammad rehema na amani ziwe juu alikuwa anahusiwa sana na Malaika Jibril mara kwa mara wanapokutana juu ya swala zima la kuwajali majirani

Sasa je utawajali vipi majirani kama hauhudhurii furaha yao au wakati wa huzuni yao?

Kwahiyo kuhudhuria misiba inaruhusiwa ila kuna baadhi ya mambo hatutakiwi kushiriki kama kuangalia maiti kama wasio waislamu wanavyofanya,hata ndani ya uislamu maiti inaangaliwa na ndugu wa karibu tu lkn sio kila mtu anaweza kumuangalia maiti

Kwahiyo kushiriki misiba ni ruhusa na hata kuzika ila kuna baadhi ya ibada tunajitenga nazo,je kuna mwenye shida na hilo?
Kidogo wewe umefafanua vzr
 
Nyinyi ndio ndugu zetu ambao mnasoma dini kisha huelewa wenu unakuwa una mashaka

Kwani kuhudhuria katika maziko naingia kanisani? Nikienda makaburini kuzika je nashiriki ibada yao ya maombi?

Kwahiyo kufuata mila zao ni kushiriki misiba na maziko yao?

Kuchangamana na wanawake ni kwenye misiba tu? Vipi huko masokoni tunakoendaga,huko mashuleni na makazini?

Uisome dini kwa kuilewa ndugu yangu
Ikiwa mkono utaadhibiwa kwa kugusa kisicho stahili, vipi kuhusu sikio liliosikiliza uovo kwa makusudi , je litaachwa, Allah atazungumzisha viungo vya mwanadamu, kama ulipatamuda wa kusikiliza mahubiri na Misa za msiba na risala ya maremu, basi hilo sikio litasema ukweli wote, si maneno yangu hapana kama una bisha sikio haliulizwa kilicho sikiliza basi sawa hata macho pia
 
Nimemsikia sheeee uko tik tok kuwa muislamu anapo hudhuria ibada ya mazishi ya kikristo wakati yeye muislamu anakuwa amekiukya taratibu za kiislamu
Uislam ni dini iliyoundwa kwa misingi ya ubaguzi, fuatilia historia ya Muddy enzi zake akiwa anabaka wake za watu na kuua waume zao. Alitaka kuangamiza wasiomuabudu na kuzaa na wake zao ili kueneza Uislam na akawa anatawala kimabavu ili mradi tu Muislam awe mtu wa maana katika jamii. Usikute hata huyu Shehe hajuwi lolote kama ilivyo kwa waislam walio wengi, wao wanaabudu tu ila hawajuwi lolote kuhusu dini yao. Ukiwafungua macho wanatishia kukusomea albadiri au kukuchoma kisu ufe ili mradi tu usiongee ukweli wasioutaka.
 
Mkuu unahudhuria kwenye mazishi ya kiislam au ibada ya mazishi ya kiislam

Na je waislam wamekatazwa kuhudhuria mazishi au ibada ya mazishi?
Hakuna mahali ilipokatazwa. Huku kwetu, Jamii yote bila kujali Imani ya mtu wote tunashiriki mazishi awe mwislamu au mkristo au asiye na dini. - tunakutanaga kuanzia nyumbani kwa marehemu, Kanisani (tena ndani ya kanisa)hadi makaburini. Hakuna shida. La msingi hapo ni kuheshimu kinachoendelea.
 
Back
Top Bottom