Prince_Nurudin_Tz
Senior Member
- Jun 28, 2024
- 172
- 133
Kuna wapumbavu watakuja kusema wa islam wakorofi
Wakati ni mwehu mmoja (kondoo) kufungua uzi wa kidin
Wakati ni mwehu mmoja (kondoo) kufungua uzi wa kidin
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivo ni vitu viwili , ku kimbilia msibani au ugonjwa na kushiriki mazikoUtapokimbilia mahala kwenye msiba kitendo hicho ni ibada iwe kwako au kwao
Unataka kushiriki ibada ipi tena
Kesho mtakuja kusema kumsaidia mtu ambae sio imani yako utakuna umeririki ibada ya mtu mwingie ni kosa
Mnasahau ya kua kutenda jambo jema ni ibada
Kama mazishi ya mkristo hayahudhuriwi na muislam kiku-quruan, na ikatokea mkristo amefia Pemba na hana ndugu, ataoza anuke kwa kuwa na kuitenga maiti yake ?
Sasa wewe una bisha nini, na huo msiba wa mkristo ana hudhuria kwa ruhusa ya nani, nani alimuona aki do hivo , kila kitu kipo wazi, shiriki kwa kumpinga ALLAH sawa ni juu yakoSiyo kweli,Muislamu anahudhuria misiba ya wakristo na hata ya wale wasioamini dini yoyote isipokuwa haruhusiwi kushiriki ibada na wanawake hawaruhusiwi kwenda makaburini haijalishi msiba wa Mkristo au Muislamu.
Mgonjwa sawa ila kwenye kuzika hiyo haipoSiyo kweli,Muislamu anahudhuria misiba ya wakristo na hata ya wale wasioamini dini yoyote isipokuwa haruhusiwi kushiriki ibada na wanawake hawaruhusiwi kwenda makaburini haijalishi msiba wa Mkristo au Muislamu.
Mazishi ni ibadaNimemsikia sheeee uko tik tok kuwa muislamu anapo hudhuria ibada ya mazishi ya kikristo wakati yeye muislamu anakuwa amekiukya taratibu za kiislamu
Umeuliza tunakujibu hutaki! Sasa kama ulikuwa na majibu yako umeuliza ili iweje?Waislamu tunahudhuria misiba ya mtu yeyote isipokuwa kwenye ibada hatushiriki,wakiumwa tunakwenda kuwajulia hali iwe nyumbani au hospitali, wakitukaribisha chakula tunakula ili mradi viwe halali kwa mujibu wa dini yetu na ikitokea amekudanganya na wewe hukubaini yeye ndiye atakayepata dhambi na ataadhibiwa na Mwenyezi Mungu, yaani kwa kifupi hakuna katazo lolote katika kushirikiana na asiye Muislamu ili mradi lisiwe ni jambo la kumuasi Mwenyezi Mungu.Sasa wewe una bisha nini, na huo msiba wa mkristo ana hudhuria kwa ruhusa ya nani, nani alimuona aki do hivo , kila kitu kipo wazi, shiriki kwa kumpinga ALLAH sawa ni juu yako
Kwa hiyo ,uislam na Quran, vimemtenga mkristo na kumbagua tangu akiwa hai hadi Maiti yake ? Vipi na wahindu watengwa kadhalika ? Wahindu nao wametengwa ?Mgonjwa sawa ila kwenye kuzika hiyo haipo
Sio kweliNimemsikia sheeee uko tik tok kuwa muislamu anapo hudhuria ibada ya mazishi ya kikristo wakati yeye muislamu anakuwa amekiukya taratibu za kiislamu
Sasa mkuu kumbagua kivipi, nimekwambia mgonjwa sawa, hata awe muhindu, ktk maziko kuna Misa , ibada, maombolezo na mila za ukristo hayo muislamu kakatazwa pia wanaume uchanganyika na wanawakeKwa hiyo ,uislam na Quran, vimemtenga mkristo na kumbagua tangu akiwa hai hadi Maiti yake ? Vipi na wahindu watengwa kadhalika ? Wahindu nao wametengwa ?
Ni kweliSio kweli
Mkuu ukifatilia familia nyingi ziwe za Wakristo au Waislamu wamechanganyikana kwenye koo moja wengine mpaka familia unakuta watoto wamemfata mama wengine baba hizo mambo ziacheni ni ndugu mmoja tu ninyi Wazungu na Waarabu walikuja kuwatenganisha nanyi mmechukua Copy zao..Wao ndio wanatutenga sisi
Usikurupuke mkuu, mimi nimeuliza niniUmeuliza tunakujibu hutaki! Sasa kama ulikuwa na majibu yako umeuliza ili iweje?Waislamu tunahudhuria misiba ya mtu yeyote isipokuwa kwenye ibada hatushiriki,wakiumwa tunakwenda kuwajulia hali iwe nyumbani au hospitali, wakitukaribisha chakula tunakula ili mradi viwe halali kwa mujibu wa dini yetu na ikitokea amekudanganya na wewe hukubaini yeye ndiye atakayepata dhambi na ataadhibiwa na Mwenyezi Mungu, yaani kwa kifupi hakuna katazo lolote katika kushirikiana na asiye Muislamu ili mradi lisiwe ni jambo la kumuasi Mwenyezi Mungu.
Note, mashkaji wakristo ninao na tupo poa tuKwa hiyo ,uislam na Quran, vimemtenga mkristo na kumbagua tangu akiwa hai hadi Maiti yake ? Vipi na wahindu watengwa kadhalika ? Wahindu nao wametengwa ?
Kwahiyo hilo uliloleta siyo swali! Haya sheikh.Usikurupuke mkuu, mimi nimeuliza nini
Pia huko kushiriki misiba wa ukristo umetoa ktk Sunnah au quraan,
Pia kushiriki huo msiba bila ya ibada zao thubutu, kimsingi uislamu wa sasa ni ule alio uhusia mtume, hizi ni dalili za kiyama , kila haramu itaoneka ni kawaida, kama pombe, kamari, zinaa nk
Uislamu sio jina wala kanzu bali ni kufuata misingi sahihi ya dini
Hawata kuwa radhi mayahudi na manaswara mpaka mfate mila zao
Hakuna mkiristo mwenye muda na waisilam wakati kila siku wakristo wanaanzisha nyuzi zaidi ya 5 za kufanya kejeli dhidi ya waisilam kila siku?Halunaga mkristo ana muda na muislam huo ni uongo,always Waislam ndio huwafatilia wakristo.