Je, ni kweli Waislamu mnakatazwa kuhudhuria mazishi ya kikristo?

Je, ni kweli Waislamu mnakatazwa kuhudhuria mazishi ya kikristo?

Utapokimbilia mahala kwenye msiba kitendo hicho ni ibada iwe kwako au kwao
Unataka kushiriki ibada ipi tena

Kesho mtakuja kusema kumsaidia mtu ambae sio imani yako utakuna umeririki ibada ya mtu mwingie ni kosa
Mnasahau ya kua kutenda jambo jema ni ibada
 
Daah punguzeni udini hautawasaidia kitu dini zenyewe zote zimeletwa na Wazungu na Waarabu mnatengana kwa vitu mlivyoletewa na mnakua maadui kabisa.
Wakristo wa Jf wao kutwa mada kuu ni kutukana waislam na uislam, utadhani huo udini wanaoupandikiza ukikomaa ukaleta vita wao hawatohusika, watu wa ajabu sana, kwani huko makanisani mahubiri makubwa ni juu ya kuwatukana waislam au? Hizo dini zenu zitatuletea machafuko huko tuendeko,
Bora siye wapiga beer hatuna time na dini zenu
 
Kwa hiyo wakristu wanapokula nyama iliyochinjwa na Ibadan ya kiislamu nasi tumeshiriki Ibadan ya wengije?


Tuache kulishana matango pori. Hiyo shekh nimeona clip yake na nimpotoshaji.

Mfano maiti ya kiislamu ikishaoshwa haipaswi kutizamwa tena wakati Kwa wakristu sivyo. Ndio maana tunaaga Kwa kuitizama maiti (kwetu sio kosa) na hata Kwa uislamu sio kosa.

Kwa waislamu sio kosa Kwa sababu wanaruhuaiwa kuiona kabla ya kuoshwa, so sio kosa kuona maiti.
Kwani hujui unapokula nyama ya mnyama aliyechinjwa na muislam unakuwa unashiriki ibada yake au unajitoa akili.
 
Wakristo wa Jf wao kutwa mada kuu ni kutukana waislam na uislam, utadhani huo udini wanaoupandikiza ukikomaa ukaleta vita wao hawatohusika, watu wa ajabu sana, kwani huko makanisani mahubiri makubwa ni juu ya kuwatukana waislam au? Hizo dini zenu zitatuletea machafuko huko tuendeko,
Bora siye wapiga beer hatuna time na dini zenu
Halunaga mkristo ana muda na muislam huo ni uongo,always Waislam ndio huwafatilia wakristo.
 
Nimemsikia sheeee uko tik tok kuwa muislamu anapo hudhuria ibada ya mazishi ya kikristo wakati yeye muislamu anakuwa amekiukya taratibu za kiislamu
Kama mazishi ya mkristo hayahudhuriwi na muislam kiku-quruan, na ikatokea mkristo amefia Pemba na hana ndugu, ataoza anuke kwa kuwa na kuitenga maiti yake ?
 
Back
Top Bottom