Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
- #21
Ngoja nikipata link nakutumia hapaSiamini kama ni kweli. Na huyo atakuwa ni Shehe Ubwabwa tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja nikipata link nakutumia hapaSiamini kama ni kweli. Na huyo atakuwa ni Shehe Ubwabwa tu
HaswaUisilamu unamatatizo sana
Kwako au kwao?Uisilamu unamatatizo sana
Kwa Africa wala havitenganishwi ni utahira moja kwa moja.DINI na UTAHIRA huwa vinatenganishwa na mstari mwembamba sana
Wakristo wa Jf wao kutwa mada kuu ni kutukana waislam na uislam, utadhani huo udini wanaoupandikiza ukikomaa ukaleta vita wao hawatohusika, watu wa ajabu sana, kwani huko makanisani mahubiri makubwa ni juu ya kuwatukana waislam au? Hizo dini zenu zitatuletea machafuko huko tuendeko,Daah punguzeni udini hautawasaidia kitu dini zenyewe zote zimeletwa na Wazungu na Waarabu mnatengana kwa vitu mlivyoletewa na mnakua maadui kabisa.
Ni katika kupandikiza chuki tu za kipuuziKinachozungumziwa ni kuaga sio kuzika..
Halafu Mambo ya tik tok sio kila mtu anatumia hiyo mitandao yenu unatuambatanishia hiyo video hapa..
Kwani hujui unapokula nyama ya mnyama aliyechinjwa na muislam unakuwa unashiriki ibada yake au unajitoa akili.Kwa hiyo wakristu wanapokula nyama iliyochinjwa na Ibadan ya kiislamu nasi tumeshiriki Ibadan ya wengije?
Tuache kulishana matango pori. Hiyo shekh nimeona clip yake na nimpotoshaji.
Mfano maiti ya kiislamu ikishaoshwa haipaswi kutizamwa tena wakati Kwa wakristu sivyo. Ndio maana tunaaga Kwa kuitizama maiti (kwetu sio kosa) na hata Kwa uislamu sio kosa.
Kwa waislamu sio kosa Kwa sababu wanaruhuaiwa kuiona kabla ya kuoshwa, so sio kosa kuona maiti.
We mwehu, sasa kama haikukatazi si ushiriki? Unakuja kumuambia nani humu na udini wakoLakin din hainikatazi kushiriki mazishi ya kiislamu
Halunaga mkristo ana muda na muislam huo ni uongo,always Waislam ndio huwafatilia wakristo.Wakristo wa Jf wao kutwa mada kuu ni kutukana waislam na uislam, utadhani huo udini wanaoupandikiza ukikomaa ukaleta vita wao hawatohusika, watu wa ajabu sana, kwani huko makanisani mahubiri makubwa ni juu ya kuwatukana waislam au? Hizo dini zenu zitatuletea machafuko huko tuendeko,
Bora siye wapiga beer hatuna time na dini zenu
Ndio usile sasa mkuu, nyie wapuuzi mnawaza udini tu,kutwa mnaphirana huko lakini mnajifanya watu wa MunguKwani hujui unapokula nyama ya mnyama aliyechinjwa na muislam unakuwa unashiriki ibada yake au unajitoa akili.
Umehahamia upande wangu tena mkuu 😀Kwa Africa wala havitenganishwi ni utahira moja kwa moja.
Ni kweliSio kweli
Kwa kitendo hiki basi fika umefungua uzi ili kukebehi pasi na kujua nini umeandika.Mimi bahat mbaya huwa siendagi kuzika kwasababu na mashetani yaan majini kichwani
Yupo sahihi, ni kweli, hiyo ipo waziNimemsikia sheeee uko tik tok kuwa muislamu anapo hudhuria ibada ya mazishi ya kikristo wakati yeye muislamu anakuwa amekiukya taratibu za kiislamu
Link yanini wakati sheikh yupo sahihiNgoja nikipata link nakutumia hapa
Kama mazishi ya mkristo hayahudhuriwi na muislam kiku-quruan, na ikatokea mkristo amefia Pemba na hana ndugu, ataoza anuke kwa kuwa na kuitenga maiti yake ?Nimemsikia sheeee uko tik tok kuwa muislamu anapo hudhuria ibada ya mazishi ya kikristo wakati yeye muislamu anakuwa amekiukya taratibu za kiislamu