Je, ni kweli watoto wa kiume siku hizi wanazaliwa wachache?

Je, ni kweli watoto wa kiume siku hizi wanazaliwa wachache?

Je ni kweli watoto wa kiume siku hizi wanazaliwa wachache?

  • Kweli

    Votes: 4 40.0%
  • Si kweli

    Votes: 4 40.0%
  • Sijui

    Votes: 2 20.0%

  • Total voters
    10

Mlenge

R I P
Joined
Oct 31, 2006
Posts
2,125
Reaction score
2,306
Je, ni kweli watoto wa kiume siku hizi wanazaliwa wachache?

"Angalia mtaani/vyombo vya habari/watu unaosikia wamejifungua: utaona miongoni mwa watoto waliozaliwa, watoto wa kiume ni adimu -- watoto wengi wakiwa ni wa kike. " alisikika mtu mzima fulani akiongea.

Yana ukweli?
 
Je ni kweli watoto wa kiume siku hizi wanazaliwa wachache?

"Angalia mtaani/vyombo vya habari/watu unaosikia wamejifungua: utaona miongoni mwa watoto waliozaliwa, watoto wa kiume ni adimu -- watoto wengi wakiwa ni wa kike. " alisikika mtu mzima fulani akiongea.

Yana ukweli?
100% kaka
 
Je ni kweli watoto wa kiume siku hizi wanazaliwa wachache?

"Angalia mtaani/vyombo vya habari/watu unaosikia wamejifungua: utaona miongoni mwa watoto waliozaliwa, watoto wa kiume ni adimu -- watoto wengi wakiwa ni wa kike. " alisikika mtu mzima fulani akiongea.

Yana ukweli?
Ndo maana mtaani mademu wananililia sana.
 
Wanaume ni mbegu adimu sana haipatikani kirahisi na kizembe.....

Unadhani mfano tungekuwa tunazaliwa wanaume 6 wanawake wawili..... Hao wanawake wakishapevuka na sisi wanaume tukapevuka tungeishi vipi?!

Mwanaume m'moja unaweza mfungia chumba kimoja na wasichana 10 wazuri wenye miili ya utamu, atawamudu na atapita nao wote na kuwaridhisha bila shida tena anaweza kuomba kuomgezewa wengine.

Mfungie mwanamke m'moja na wanaume kumi walioshiba vizuri wanaojua kupiga mashine.... Huyo mwanamke kesho ataomba kutoka katika hicho chumba haraka maana ataogopa kutolewa roho.
 
Mkuu umeandika nini lakini??

But overall, infant boys are more likely to die in childhood than girls.111213

Boys are more vulnerable in two key ways: they are at higher risk of birth complications, and infectious disease.
 
Je ni kweli watoto wa kiume siku hizi wanazaliwa wachache?

"Angalia mtaani/vyombo vya habari/watu unaosikia wamejifungua: utaona miongoni mwa watoto waliozaliwa, watoto wa kiume ni adimu -- watoto wengi wakiwa ni wa kike. " alisikika mtu mzima fulani akiongea.

Yana ukweli?
Wanaume wanapitia misukosuko mingi katika maisha, kazi ngumu, maradhi, ajali, jela...
 
Tatizo hata wakizaliwa wa kiume wengi wamejibadili jinsia!
 
Mtaani wanaume wanazaliwa wengi kuliko wanawake sema kukua Hadi kufikisha fourty ndio binde
 
Wanaume wanazaliwa wengi mbona labda wanakufa mapema lakini uwiano uko sawa.
Mimi enzi hizo nazaa watoto nakumbuka watoto wa kiume walikuwa wengi kuliko wa kike. Mwaka juzi nilienda ona mtoto wa rafiki yangu kujifungua wodi nzima ilikuwa na watoto wa kiume
 
Hapa kijijini kuna zahanati wasukuma wanazaa kila siku. Katika watoto 10-15 wanaozaliwa kwa wiki, watoto wa kiume hawazidi 4
 
Back
Top Bottom