Je, ni kweli watu weupe (Wazungu, waarabu nk) miili yao ni ya baridi tofauti na weusi?

Je, ni kweli watu weupe (Wazungu, waarabu nk) miili yao ni ya baridi tofauti na weusi?

Ndo maana napenda wanawake weusi 😘😘
1714119259638.jpg
 
Nimekua nasikia siku nyingi kua watu weupe mfano wazungu,waarabu n.k miili yao ina baridi kama barafu wakati wa tendo la ndoa tofauti na watu weusi,kuna ukweli juu ya nadharia hii?
Hizo ni stori tu za huko vijiweni kwenu mmekaririshana kwa sababu mnakutana na wanawake wanaotumia mikorogo basi mnaamini kila mwanamke mweupe ni wa baridi
 
Wamekuwa wajusi au Nyoka?...All mamals are Homothemic
 
Hivi wanposemaga watu weusi ndio wameumbiwa ngono mbona watu weupe ndio wengi sana duniani hii imekaje maana wanazaliana hatari..hapo USA tu watu weusi ni asilimia 11 tu ila jumla ya watu ni zaidi ya million 350 USA..
Hizo ni propaganda tu hazina ukweli wwt. Nimewahi kuwa kwenye mahusiano na mwanamama mmoja wa kijerumani (mzungu) aseeee yule mama ni anapenda kutiana sijapata kuona
 
Nimekua nasikia siku nyingi kua watu weupe mfano wazungu,waarabu n.k miili yao ina baridi kama barafu wakati wa tendo la ndoa tofauti na watu weusi,kuna ukweli juu ya nadharia hii?
Bila ushahidi anuai utapataje jibu toshelevu?Jaribu.Have a trial!
 
Hizo ni propaganda tu hazina ukweli wwt. Nimewahi kuwa kwenye mahusiano na mwanamama mmoja wa kijerumani (mzungu) aseeee yule mama ni anapenda kutiana sijapata kuona
Anapenda,sawa.Ni wa moto?Hot and sweet?Mtundu,mwepesi,kiungo-masala na giligilani?
 
Anapenda,sawa.Ni wa moto?Hot and sweet?Mtundu,mwepesi,kiungo-masala na giligilani?
Sio wa moto kama hawa wanawake wa kiafrika, ushawahi kunywa soda iliyofunguliwa ikakaa wazi kwa muda mrefu? (not hot & sweet), kwa utundu ni mtundu haswaa, ni mwepesi sana na anajua ni nini mnatakiwa kukifanya muwapo kunako sita kwa sita
 
Sio wa moto kama hawa wanawake wa kiafrika, ushawahi kunywa soda iliyofunguliwa ikakaa wazi kwa muda mrefu? (not hot & sweet), kwa utundu ni mtundu haswaa, ni mwepesi sana na anajua ni nini mnatakiwa kukifanya muwapo kunako sita kwa sita
Basi,hiyo inatosha.Umotomoto wa hao wengine wapeleke kwenye mafiga.
 
Wao wenyewe wazungu wana msemo wao
"Once you go black, you will never come back"
Siyo imani tu?Utamu na umoto huwa upo kwenye fikra/mawazo ya muhusika.Je,unajua kwamba hata wanawake huwa wana-sense mwanaume mtamu kwao?The sweet banana!
 
Back
Top Bottom