Je, ni kweli watu weupe (Wazungu, waarabu nk) miili yao ni ya baridi tofauti na weusi?

Je, ni kweli watu weupe (Wazungu, waarabu nk) miili yao ni ya baridi tofauti na weusi?

Ni kweli kama umewahi kulala na mzungu utaelewa. Wana damu baridi
Huo ni ungo… niko naye hata sasa ana joto Kali sana kama la Dar hata kumkumbatia sitaki…na uzuri anakula sana mzigo bila masharti yeyote au bili za hapa na pale…sio wasumbufu kama dada zetu ngozi nyeusi…
 
Hivi wanposemaga watu weusi ndio wameumbiwa ngono mbona watu weupe ndio wengi sana duniani hii imekaje maana wanazaliana hatari..hapo USA tu watu weusi ni asilimia 11 tu ila jumla ya watu ni zaidi ya million 350 USA..
Mbona research yako ina ukakasi?, Watu weupe(European),wanakaa mabara 4, au 5, hivi, watu weupe kiasi na wekundu(Waasia) wanakaa bara 1(Asia). Waafrika hawana bara(planet) yao peke yao, Maana hapa Africa, Waafrika wapo kusini mwa jangwa la Sahara wakiwa na nchi 46 katika nchi 54 za Afrika, kasikazini ya Afrika(kasikazini ya jangwa la Sahara) wanakaa waarabu. Ssa wazungu lazima wawe wengi, wametoka Europe wameamia Amerika Kusini, Amerika ya kaskazini, Australia na Oceania, pia wamekuja Afrika (South Afrika na Namibia). Hao Waafrika milioni 60 uko Marekani ni zao la utumwa sio kw ajiri ya uwingi wa kusambaa na kuzaliana. Ukikuta mwafrika nje ya bara la Afrika hilo ni zao la utumwa(Jamaika, Bahamas, Trinidad, Brazil, Colombia , Ecuador, Haiti, Bermuda,Pueto Rico, Dominica,etc). Idadi ya Wafrica ni bilioni 1.4 duniani kote, Waasia bilioni 4, Wazungu wa European/American bilioni 2.5. Dunia ina watu Bilioni 8. Hakuna mwili wenye joto au baridi kuzidi jamii nyingine, ila Waafrika wanaishi kwenye Tropical Savvana, jua kali, demu akitoka kwao kuja getoni kwako njiani anapigwa na jua kali sana, sasa wewe ukimvua geto unaona wamoto.
 
Hapana; jinsi tulivyo evolve sisi watu weusi tuna nywele chache sana mwilini kwa sababu ya jua kali yaani eneo tropical kuliko wazungu iyo inasaidia ku regulate zaidi joto kali na ndio maana rangi zetu nyeusi, brown au nyeupe ambayo sio pale km wazungu ili iyo melanin itulinde na jua kali ila wazungu wao wame evolve na nywele nyingi mwilini walivyotoka Africa ili kuwalinda na baridi kali kwaiyo iyo nayo kuregulate temperature na wazungu wana tolerate zaidi baridi kuliko sisi. Ila pia wahindi na waarabu wana nywele kama zote ila ngozi yao pia sio pale so inasaidia kw jua kali, wajapani, wachina na wakorea ni kama balance coz hawana nywele nyingi km sisi weusi ila wana baridi pia kali enzi za Winter.
 
Back
Top Bottom