Je, ni lazima kuwa kwenye mahusiano/ ndoa?

Je, ni lazima kuwa kwenye mahusiano/ ndoa?

nzalendo

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2009
Posts
12,106
Reaction score
12,916
Kwa kiasi kikubwa hili jambo, kimsingi limepitwa na wakati.

Watu kuumizana kihisia,wengine kupoteza maisha.

Kuna gharama ya fedha na muda katika jambo hili.

Wengine huingiamo kwa ajili ya kufuata mkumbo au kwa kushinikizwa.

Kwa sisi wanaume huduma hii waweza ipata kwa unafuu kwa kina dada poa.

Kwa Wavulana wanaokuwa huweza piga nyetoh.

Kama waweza nunua maziwa dukani, kuna haja gani ya kufuga ling'ombe?
 
Kwa kiasi kikubwa hili jambo, kimsingi limepitwa na wakati.

Watu kuumizana kihisia,wengine kupoteza maisha.

Kuna gharama ya fedha na muda katika jambo hili.

Wengine huingiamo kwa ajili ya kufuata mkumbo au kwa kushinikizwa.

Kwa sisi wanaume huduma hii waweza ipata kwa unafuu kwa kina dada poa.

Kwa Wavulana wanaokuwa huweza piga nyetoh.

Kama waweza nunua maziwa dukani, kuna haja gani ya kufuga ling'ombe?
Sio lazima ukipata kitu chochote cha kukupa furaha hayo mambo hayana nafasi sana ni kuyaendekeza tu 😀
 
Kwa kiasi kikubwa hili jambo, kimsingi limepitwa na wakati.

Watu kuumizana kihisia,wengine kupoteza maisha.

Kuna gharama ya fedha na muda katika jambo hili.

Wengine huingiamo kwa ajili ya kufuata mkumbo au kwa kushinikizwa.

Kwa sisi wanaume huduma hii waweza ipata kwa unafuu kwa kina dada poa.

Kwa Wavulana wanaokuwa huweza piga nyetoh.

Kama waweza nunua maziwa dukani, kuna haja gani ya kufuga ling'ombe?
Ndoa siyo kwa ajili ya watu wote, hata Mtume Paulo alikuwa jambazi tu na hakuwahi kuwa na familia.

Ila kama umelelewa vyema kwenye familia yenu ndoa ni muhimu sana kwa strong succession generation.

Huwezi kuendeleza ukoo wenu kwa kuwakaza madada powa au kuzaa bila utaratibu na mwanamke yeyote yule.

Mwanaume ukiacha ubinafsi unakuta jukumu la ndoa ni lazima, mfano Mimi Baba yangu mzazi alipokufa Mimi ndio successor wake kuendeleza jina na empire.

Sasa nikijiunga na kataa ndoa miaka 50 ijayo hakutakuwa na ukoo uliotokea mlangoni kwetu, unakuwa umezaa kama panya tu na mashangingi tofauti.
 
Ndoa siyo kwa ajili ya watu wote, hata Mtume Paulo alikuwa jambazi tu na hakuwahi kuwa na familia.

Ila kama umelelewa vyema kwenye familia yenu ndoa ni muhimu sana kwa strong succession generation.

Huwezi kuendelea ukoo wenu kwa kuwakaza madada powa au kuzaa bila utaratibu na mwanamke yeyote yule.

Mwanaume ukiacha ubinafsi unakuta jukumu la ndoa ni lazima, mfano Mimi Baba yangu mzazi alipokufa Mimi ndio successor wake kuendelea jina na empire.

Sasa nikijiunga na kataa ndoa miaka 50 ijayo hakutakuwa na ukoo uliotokea mlangoni kwetu, unakuwa umezaa kama panya tu mashangingi tofauti.
Bonge la point
 
Back
Top Bottom