nzalendo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 12,106
- 12,916
Kwa kiasi kikubwa hili jambo, kimsingi limepitwa na wakati.
Watu kuumizana kihisia,wengine kupoteza maisha.
Kuna gharama ya fedha na muda katika jambo hili.
Wengine huingiamo kwa ajili ya kufuata mkumbo au kwa kushinikizwa.
Kwa sisi wanaume huduma hii waweza ipata kwa unafuu kwa kina dada poa.
Kwa Wavulana wanaokuwa huweza piga nyetoh.
Kama waweza nunua maziwa dukani, kuna haja gani ya kufuga ling'ombe?
Watu kuumizana kihisia,wengine kupoteza maisha.
Kuna gharama ya fedha na muda katika jambo hili.
Wengine huingiamo kwa ajili ya kufuata mkumbo au kwa kushinikizwa.
Kwa sisi wanaume huduma hii waweza ipata kwa unafuu kwa kina dada poa.
Kwa Wavulana wanaokuwa huweza piga nyetoh.
Kama waweza nunua maziwa dukani, kuna haja gani ya kufuga ling'ombe?