Je, ni lazima kuwa kwenye mahusiano/ ndoa?

Je, ni lazima kuwa kwenye mahusiano/ ndoa?

Najaribu kufikiria kwenye familia yenu au ukoo wenu wote mkikataa ndoa miaka 30 ijayo itakuwaje. Wote mtakuwa wazee hakuna vijana na ndio utakuwa mwisho wa kizazi chenu na jamii itakuwa imeingia hasara ya uwepo wa watu fulani.

You can't avoid nature kijana. Si mambo yote tunayofanya kwenye jamii ni kwa faida yetu pekee. Huenda yaliyo ya faida kwetu ni 30%.
 
Ndoa siyo kwa ajili ya watu wote, hata Mtume Paulo alikuwa jambazi tu na hakuwahi kuwa na familia.

Ila kama umelelewa vyema kwenye familia yenu ndoa ni muhimu sana kwa strong succession generation.

Huwezi kuendeleza ukoo wenu kwa kuwakaza madada powa au kuzaa bila utaratibu na mwanamke yeyote yule.

Mwanaume ukiacha ubinafsi unakuta jukumu la ndoa ni lazima, mfano Mimi Baba yangu mzazi alipokufa Mimi ndio successor wake kuendeleza jina na empire.

Sasa nikijiunga na kataa ndoa miaka 50 ijayo hakutakuwa na ukoo uliotokea mlangoni kwetu, unakuwa umezaa kama panya tu na mashangingi tofauti.
Kuna athari gani negative, usipo endeleza ukoo?
 
Najaribu kufikiria kwenye familia yenu au ukoo wenu wote mkikataa ndoa miaka 30 ijayo itakuwaje. Wote mtakuwa wazee hakuna vijana na ndio utakuwa mwisho wa kizazi chenu na jamii itakuwa imeingia hasara ya uwepo wa watu fulani.

You can't avoid nature kijana. Si mambo yote tunayofanya kwenye jamii ni kwa faida yetu pekee. Huenda yaliyo ya faida kwetu ni 30%.
Uko sahihi kabisa......
Unaweza usiwe na ndoa.....ukawa na watoto.
 
Tujiulize ndoa inawakilisha vitu gani kwanza..

1. Kupevuka (maturity)
2. Upendo
3. Familia
4. Ulinzi
5. Majukumu
6. Uzazi
7. Heshima
8. Tamaduni
E.t.c..

Wasimbe na ma anko bachelor tupisheni kwanza 😂😂

Jokes.
 
Wee bwana nyie wenyewe mnapenda kugegedwa ndio maana mnatupea mbususu zenu

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Na wewe tafuta mnyonge ummegee ila ndoa iko pale pale lazima vijana wako waoe
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Na wewe tafuta mnyonge ummegee ila ndoa iko pale pale lazima vijana wako waoe
Ah wapi sina ubavu huo bwana. Kwanza mie majanga mengi...kibamia mie, domo zege mie.
 
Back
Top Bottom