Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,229
- 50,144
NakaziaNdio ni lazma hata dini zinataka hivyo. Ukiona mtu hataki kuwa kwenye mahusiano kuna walakini either ni 🌈 upinde au ana mengineyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NakaziaNdio ni lazma hata dini zinataka hivyo. Ukiona mtu hataki kuwa kwenye mahusiano kuna walakini either ni 🌈 upinde au ana mengineyo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee sema kweliii
Hata hao [emoji304] wanakua na mahusiano ya me kwa ke.Hapa muanzisha uzi anazungumzia mahusiano ya ke na me na sio me na me au ke na ke.
Wamatumbi achana nao, umaskini ndio tatizo kuu.Kweli ukiendekeza wamatumbi unaweza kubeba zigo la misumari likuchome nakwambia [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwahyo wanajificha kwenye mwamvuli wa straight relationshipsHata hao [emoji304] wanakua na mahusiano ya me kwa ke.
Ndo maana yake. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwahyo wanajificha kwenye mwamvuli wa straight relationships
Mi nadhani mtoto ni lazima ila ndoa sÃo (wazo langu tu).Kwa kiasi kikubwa hili jambo, kimsingi limepitwa na wakati.
Watu kuumizana kihisia,wengine kupoteza maisha.
Kuna gharama ya fedha na muda katika jambo hili.
Wengine huingiamo kwa ajili ya kufuata mkumbo au kwa kushinikizwa.
Kwa sisi wanaume huduma hii waweza ipata kwa unafuu kwa kina dada poa.
Kwa Wavulana wanaokuwa huweza piga nyetoh.
Kama waweza nunua maziwa dukani, kuna haja gani ya kufuga ling'ombe?
Hata ukizaa na wanawake tofauti generation itaendelea tu. Mtu alieoa wake wanne akazaa nao watoto na mtu alieza watoto na wanawake wann tofauti ambao hakuwaoa wana tofauti gani?. Nakujibia hili swali utofauti wao ni kwamba mmoja hakufata utaratibu uliozoeleka na jamii (kuzaa ukiwa kwenye ndoa) hivyo basi akabandikwa jina muhuni na yule mwanamke shangingi na mwingine alifata utaratibu unaokubalika na wanajamii hivyo basi akaonekana mtu wa maana.Ndoa siyo kwa ajili ya watu wote, hata Mtume Paulo alikuwa jambazi tu na hakuwahi kuwa na familia.
Ila kama umelelewa vyema kwenye familia yenu ndoa ni muhimu sana kwa strong succession generation.
Huwezi kuendeleza ukoo wenu kwa kuwakaza madada powa au kuzaa bila utaratibu na mwanamke yeyote yule.
Mwanaume ukiacha ubinafsi unakuta jukumu la ndoa ni lazima, mfano Mimi Baba yangu mzazi alipokufa Mimi ndio successor wake kuendeleza jina na empire.
Sasa nikijiunga na kataa ndoa miaka 50 ijayo hakutakuwa na ukoo uliotokea mlangoni kwetu, unakuwa umezaa kama panya tu na mashangingi tofauti.
Bila ndoa mtu hawezi kutambulika kapevuka?Tujiulize ndoa inawakilisha vitu gani kwanza..
1. Kupevuka (maturity)
2. Upendo
3. Familia
4. Ulinzi
5. Majukumu
6. Uzazi
7. Heshima
8. Tamaduni
E.t.c..
Wasimbe na ma anko bachelor tupisheni kwanza [emoji23][emoji23]
Jokes.
Badoo tinder hi5[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sa unaishije??
Boss unajua username yako inasadifu wee ni mtu wa imani, anyway.. niliyoandika yameelemea kiimani na kitamaduni za muafrika japo mwishoni nmesema jokes mana nmeingiza na utani pia.. yote kwa yote ndoa ni maagizo tumepewa hivi wee una dini kweli unatoa mfano wa watoto mama wa3 tofauti? Alaf neno langu si sheria haina haja ya ku cross check kila nachoandika point moja moja duuh, kama hunielewi potezea.Bila ndoa mtu hawezi kutambulika kapevuka?
Ni kweli ndoa inawakilisha upendo? (fikiria upya)
Mtu hawezi kusema ana familia bila ndoa (ukiwa na watoto 3 hata kama mama tofauti hujawaoa huwezi kusema unafamilia)?
Bila ndoa hakuna ulinzi?
Usipooa unakosa majukumu?
Huwezi kuwa mzazi bila ndoa?
Huwezi kuheshimika bila ndoa?
Vipi tamaduni au taratibu za makundi fulani ambayo hayalazimishi au hayaruhusu kuoa?
Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
Badoo tinder hi5
Wamatumbi achana nao, umaskini ndio tatizo kuu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ah wale uzuri wao wanataka ndalama tuu....anakupiga body to body massage na kuchezea ki ocra mpaka kinatema wadhungu basi inatosha. Maana ukisema umgegede nikujitia aibu tuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787] wenyewe hawaogopi ki-okra
Kuna dada poa...hawakupi stress
Najaribu kufikiria kwenye familia yenu au ukoo wenu wote mkikataa ndoa miaka 30 ijayo itakuwaje. Wote mtakuwa wazee hakuna vijana na ndio utakuwa mwisho wa kizazi chenu na jamii itakuwa imeingia hasara ya uwepo wa watu fulani.
You can't avoid nature kijana. Si mambo yote tunayofanya kwenye jamii ni kwa faida yetu pekee. Huenda yaliyo ya faida kwetu ni 30%.
Ah wale uzuri wao wanataka ndalama tuu....anakupiga body to body massage na kuchezea ki ocra mpaka kinatema wadhungu basi inatosha. Maana ukisema umgegede nikujitia aibu tuu