Kuna athari gani negative, usipo endeleza ukoo?Ndoa siyo kwa ajili ya watu wote, hata Mtume Paulo alikuwa jambazi tu na hakuwahi kuwa na familia.
Ila kama umelelewa vyema kwenye familia yenu ndoa ni muhimu sana kwa strong succession generation.
Huwezi kuendeleza ukoo wenu kwa kuwakaza madada powa au kuzaa bila utaratibu na mwanamke yeyote yule.
Mwanaume ukiacha ubinafsi unakuta jukumu la ndoa ni lazima, mfano Mimi Baba yangu mzazi alipokufa Mimi ndio successor wake kuendeleza jina na empire.
Sasa nikijiunga na kataa ndoa miaka 50 ijayo hakutakuwa na ukoo uliotokea mlangoni kwetu, unakuwa umezaa kama panya tu na mashangingi tofauti.
Yes😃😃Wewe☻️
Uko sahihi kabisa......Najaribu kufikiria kwenye familia yenu au ukoo wenu wote mkikataa ndoa miaka 30 ijayo itakuwaje. Wote mtakuwa wazee hakuna vijana na ndio utakuwa mwisho wa kizazi chenu na jamii itakuwa imeingia hasara ya uwepo wa watu fulani.
You can't avoid nature kijana. Si mambo yote tunayofanya kwenye jamii ni kwa faida yetu pekee. Huenda yaliyo ya faida kwetu ni 30%.
Mweee sasa wee unasikiliza ya walimwengu kweliSio lazima ila jamii ya wamatumbi haiwezi kukuelewa, utaanza kupewa kila aina ya majina ili tu wakuumize ujitwishe FURUSHI
Mweee sasa wee unasikiliza ya walimwengu kweli
Na kibamia hichi changu nioe sii kujitakia majanga tuu ya kugegedewa mke kila leo[emoji23][emoji23][emoji23] Wewe mbona upo na mama Ngina?!!
Na kibamia hichi changu nioe sii kujitakia majanga tuu ya kugegedewa mke kila leo
Wee bwana nyie wenyewe mnapenda kugegedwa ndio maana mnatupea mbususu zenuKugegedewa ni kugegedewa tu, no mara waa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wee bwana nyie wenyewe mnapenda kugegedwa ndio maana mnatupea mbususu zenu
Ah wapi sina ubavu huo bwana. Kwanza mie majanga mengi...kibamia mie, domo zege mie.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Na wewe tafuta mnyonge ummegee ila ndoa iko pale pale lazima vijana wako waoe
Kwahiyo utaishi kwa kufanya watu wasijiulize km usalama upoo??Sio lazima
Ila kibongobongo lazima watu wajiulize kama usalama upo kutokana na hali ya siku hizi
Ongezaa sautiiiifanya unachoona ni sahihi sio lazima kuiga kila jambo kama halikupi amani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee sema kweliiiSio lazima ila jamii ya wamatumbi haiwezi kukuelewa, utaanza kupewa kila aina ya majina ili tu wakuumize ujitwishe FURUSHI
Mbna [emoji304] wengi wako kwa mahusiano sahivi.Ndio ni lazma hata dini zinataka hivyo. Ukiona mtu hataki kuwa kwenye mahusiano kuna walakini either ni [emoji304] upinde au ana mengineyo.
Hapa muanzisha uzi anazungumzia mahusiano ya ke na me na sio me na me au ke na ke.Mbna [emoji304] wengi wako kwa mahusiano sahivi.
Kuendeleza ukoo kuna faida gani??Huwezi kuendeleza ukoo wenu kwa kuwakaza madada powa au kuzaa bila utaratibu na mwanamke yeyote yule.
Ah wapi sina ubavu huo bwana. Kwanza mie majanga mengi...kibamia mie, domo zege mie.