Vip uneshaacha tabia yako yakuvuta bange? Na kuwa mpambe wa bdozen?Vipi ushaanza kumtengenezea lunch mama dangote hapo madale?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vip uneshaacha tabia yako yakuvuta bange? Na kuwa mpambe wa bdozen?Vipi ushaanza kumtengenezea lunch mama dangote hapo madale?
kilichoandikwa sio maoni, ni swali rudia kusomaUnasifia Utopolo, mtu anakuja na Maono ya hovyo hovyo, Yeye Mwenyewe anasema hajui
Mayowe Mweye Maono ya hovyo hovyo, Hakuna Maono aliyoyaleta humu Yakatimia,hili ono nalo anaingia Chaka ni swala la mda tu
Waimba kwaya..nijuze
alitoka muda mrefu sanaKumbe Misago ametoka EATV? Ndio maana sikuhizi FnL siielewi elewi, kila nikitune Ijumaa nakutana na sura tofauti
Sent using Jamii Forums mobile app
Sema jamaa ana tabia ya kukurupuka na kuongea pumba we mzoee tu.kilichoandikwa sio maoni, ni swali rudia kusoma
Hakuna wanalolijua wao ni Chuki tu na Ushabiki Uchwara, Cv Ya Misago hawana ila wanasema ni Msomi..Tupe cv zao mkuu..
Dozen amesoma Arusha sec hadi advance na Chuo kasoma IFM
Tupe ya Misago
Au shule unayoimaanisha ni ipi?
Kumbe na wewe unamjua ehee😆😆ushamuona.., mropokaji na kujifanya mjuaji
Nyie machalii mnaokeshaga humu celebrity forum mna argument za kitoto sana..umeonesha kuuelezea upande mmoja bila kuufanyia research upande wa pili
yupi huyo..?Hapo ndiyo tatizo, juzi nilishangaa Refresh ya Wasafi inafanana kila kitu na E.news aliyokua anafanya Misago EA Tv mbaya zaidi muuliza maswali ni jamaa ambaye alikua EA tv kwenye kipindi cha E.news na anatumia mtindo ule-ule aliokua anafanya EA Tv.
sawa, machalii tumekuelewaNyie machalii mnaokeshaga humu celebrity forum mna argument za kitoto sana..
Wewe ndo umesema Sam shule anayo,mimi sijui kuhusu hilo,nifahamishe maana ya Dozen nimekupa maana kasoma na bro wangu IFM back in the days
Kusikiliza redio ni uzamani sana.Katika vitu nimeshindwa ni kusikiliza redio,.sijui ni mazoea tu au hakuna cha kusikiliza..