Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bajaji kwa dar huwa wanajiona ni watembea kwa miguu maana wanapita eneo tengwa kwa watembea kwa Miguu, unajikuta mtembea kwa miguu huna haki kwenye Njia yakoHapa GT ni bajaj. Hawa jamaa wakiona mtu tu pembeni ya barabara hata pawe na situation gani wao mguu kati.
Wanasababisha sana ajali.
Nakubali 🤣🤣🤣Duh kumbe, ni vile tu nilishatoka kwenye u-wana wa israeli, lakini nilikua mdau sana nyakati hizo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama Mdau tujitahidi kuwa ripoti kwa Namba za gari zao ili wachukuliwe hatua panapowezekana tupunguze Ajali za BarabaraniUkiwa mjini bajaji na bodaboda, noah za abiria, na ukiwa rural kuna hizi trucks za kubeba mbao, tumbaku, pamba..karibia wote wana akili moja
Sio kweli mkuu hizi zinapitia kigogo road ____mabibo_____external____riverside hadi mawasiliano zina rangi nyekundu na zambarau ni route mpyaHiyo ipo Kitambo sanaa Nimeanza kwenye Huko mwaka 2020 ilikwepo gari zao zina mstari wa Njano na dam ya mzee
Lakini Alisema Ruti ya Mwenge Mnazi mmoja Via Kigogo... Hakuna mahala amesema Riverside hapoSio kweli mkuu hizi zinapitia kigogo road ____mabibo_____external____riverside hadi mawasiliano zina rangi nyekundu na zambarau ni route mpya
Lakini Alisema Ruti ya Mwenge Mnazi mmoja Via Kigogo... Hakuna mahala amesema Riverside hapo
Na namna hiyo ruti aliyoongelea ni magari ya Mwenge Anayopita Shekilango kisha mabibo kigogo.. hiyo ya River site umeisoma wapi? 🤣🤣🤣
Kwa daladala DAR kuna hizi za kuitwa HATUPOI
Route ya MNAZI mmoja to Mwenge via KIGOGO ROAD
Hawa balaaa yanii ni kama gari za NEW FORCE na SAULI🙌🏽😄
Hawajali watumiaji wengine wa barabara ni kufukuzana tu
Horn zake sasa kama wauza koni ni kelele njia yote
Ina zaidi ya Mwaka
Na kuna mnazi to mawasiliano via kigogo road
Mnazi to mbezi
Duh kumbe, ni vile tu nilishatoka kwenye u-wana wa israeli, lakini nilikua mdau sana nyakati hizo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ipo Kitambo sanaa Nimeanza kwenye Huko mwaka 2020 ilikwepo gari zao zina mstari wa Njano na dam ya mzee
Madereva wa Magari na bodaboda.Hivi karibuni kumekuwa na matukio mengi ya Ajali za Barabarani, na chanzo kikubwa huwa uzembe wa dereva kwa kupuuza alama za usalama barabarani au mwendo kasi au kutochukua taadhari.
JE, WEWE UNAONA NI MADEREVA GANI WAKO RAFU SANA BARABARANI?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa daladala DAR kuna hizi za kuitwa HATUPOI
Route ya MNAZI mmoja to Mwenge via KIGOGO ROAD
Hawa balaaa yanii ni kama gari za NEW FORCE na SAULI[emoji1430][emoji1]
Hawajali watumiaji wengine wa barabara ni kufukuzana tu
Horn zake sasa kama wauza koni ni kelele njia yote
Makaa ya mawe, hawa ndo kibokoo wanakua km wame vurugwaa vilee.Ukiwa mjini bajaji na bodaboda, noah za abiria, na ukiwa rural kuna hizi trucks za kubeba mbao, tumbaku, pamba..karibia wote wana akili moja